Wanawake wenzangu njooni tuzungumze kidogo

Umemaliza, ukute na hapo kabla hajaolewa kaachika zaidi ya mara 30, kingine utafiti unaonyesha mwanamke ndo hufanya mapenzi na wanaume wengi sana kuliko mwanaume ni vile tu hayako wazi haya na hakunaga last seen
 
Muungwana akipewa ushauri anajibu siuafiki ushauri wako, akiukubali atajibh naukubali ushauri wako lakini kwakuwa wewe ni.bongo lala huyaoni hayo
We kidagaa, hii nyuzi niliita wanawake wenzangu, we ukaja. So, tuanze na swali la msingi. We ni mwanamke? Halafu ndiyo tutaenda kwenye swala la wewe kunishauri nini cha kupost humu JF.
 
Not necessarily lower them ila cha kujiuliza ni what are your standards? Je, hizo standards ulizojiwekea ni realistic? Je ni standards zinazolenga kupata au kum'qualify best candidate for what, husband material or trophy husband?
Exactly ni standards nimeweka nipate kitu bora


Unafeli sasa .
Kwa namna gani
 
Mwanamke kama umebahatika kuolewa kaa kwa kutulia na hilo komwe lako, usisikilize ushauri wa singo maza wapumbavu, wamejaa makasiriko njaa na stress za maisha magumu...
Mwanamke ni chombo cha starehe zalisha tupa kule wanaume wengine wamchezee...
Ndoa ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani umasikini na kupoteza muda kwa mwanaume...
Wanawake mkae mkijua kipaumbele cha mwanaume ktk maisha sio ndoa wala kuishi na mwanamke... Kipaumbele cha mwanaume ni kuwa na maisha mazuri. Ndiyo maana mwanaume haoni shida kumuacha mwanamke na watoto kuondoka mbali kutafuta maisha yake...
Hawa singo maza wapumbavu wasiwadanganye mkajiona mna haki mbele ya mwanaume... Singo maza wanaumia roho kuona wanawake wenzao wakiwa ktk ndoa... As long as wew ni singo maza basi wew ni useless hopeless kabisa
 
Wanawake na wasichana ,ila hasa wasichana mmezidi umalaya, mnapenda sana vya kupewa
Ili mwanaume akupende na akuoe lazima uwe msikivu,mnyenyekevu na ujiheshimu.
Sasa unakutana na dungaembe sinza ama tabata linajua kila size,kila siku liko nje usiku utaolewa na nani,data ikianza kuzima unataka umpelekee mwanaume mmoja kisima akaogelee maji machafu,mlisikia wapi
Alafu saii unakutana na vidada vina 30's ama 20's vinafundisha wenzao mambo ya ndoa wakati kako single,kudanganyana tuu,maswala ya ndoa anaeweza kuelekeza mwingine ni alie kwenye ndoa isiyopungua angalau miaka 25-30,
Mwanamke wa kuoa awe feom 18-25 ili mzae vizur na kulea vizuri na awe na vigezo vya kuwa mke,ila hawa ajuza wenye above 30's hawa watafute wazee wanaopokea pensheni ila sio wa kuolewa na kijana
Acheni tamaa,njaa na umalaya ili muolewe,
SINGLE MAZA HAWEZI KUMSHAURI YEYOTE LABDA MWANAE(labda awe amefiwa na mumewe).
 
Wakiona hela unafikiri watakusikiliza basi. kabla ya kuwashushia somo ungewasisitiza kwanza waache tamaa ya kutaka kuishi standard ya maisha ambayo hawawezi kuimudu.

Nina mshkaji wangu kajenga nyumba yake simple tu na ajira ya kula na bata mbili tatu ipo. Anawazalisha mademu kila mwaka, n kila demu anaejileta anajua kabisa mwanzake aliachwa na mtoto.

HAo wanawake wenzako unaowqshauri wakiahaona tu sehemu kuna unafuu wa maisha wanalazimosha kingi bila kufikiria mustakabali wao
 
Kumbe mnajijua nature yenu ni usumbufu
 
Sasa kama mnataka muwe mnagegedwa alafu mkiona hana tabia nzuri aende kwa mwingine tena, kilometers za nyapi si zitasoma sana?
N. B KAMA SIO BIKRA USIOE!!
 
Unaona kweli wanawake hawapendani yy kaolewa na watoto mwaka wa 7 kwenye ndoa above 30 wenzie anasema watulie kwanza mweee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ