Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Nyambaff. Wewe una sauti nzuri?
 
🀣🀣🀣
Namshtua shoga angu asijichoshe kuumiza macho kwenye simu kuangalia muamala hewa
Hahaha, lakini upo sahihi sana, tuko uchumi wa BULUU, hakuna mapene ya dezo
 
Mpk vibabu navyo vinataka kupiga free P [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna free P ila malipo yasiwe ya kukomoana as If upande mmoja ndio unafaidi sana🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…