Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Kwel kabisa mkuu
Kuna mmoja wapo Hapa ni jirani yangu akiongea na simu yaan ni kelele kama vile kimbwa nikimskiaga tu naweka volume kubwa ya redio ili akaongelee huko mbali senge huyo
 
Huijui sema unamsikiliza Kantri anavyosema nina base [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Me nina sauti traaamu ya kumtoa nyoka pangoni ohoo!
Usimsikilize kaka ako anakudanganya huyo
Hiyo traaamu umeandika kama wizo[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…