Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

Huko sio kulea acha kupotosha, pesa hailei mtoto.... wewe utakuwa ni mwanamke maskini sana unayehisi kupata unafuu kupitia mtoto akitumiwa pesa.
mtoto halelewi na pesa analelewa na MAMA YAKE

wewe unavyomchukua akija nyumbani kwako una uwezo wa kumlea?

au ndio unataka kila ukirudi tu umuone mwanao mbele yako?

Tofautisha "kulea" na "Kukaa na mtoto"

wewe unatetea kukaa na mtoto na wala huna point katika swala la malezi (kulea) ingekua unajua umuhimu wa

KULEA usingebisha mtoto kutunzwa na mama yake aliemzaaaa.
 
Unamwogopa mwanamke unayeishi naye ndani, unamwamini mwanamme mwingine aliyemuoa huyo ex akulelee mwanao nawe unakenua kwa amani kabisa.... huwezi kuwa sawa kichwani kuna namna dishi limecheza tu.
Siku zote mwanaume hana sauti kwa mwanamke. Ukioa single mother jaribu kumpiga mwanae uone kitakachokutokea. Mtoto au watoto wa single mother huwa wanalelewa kwa makini sana na mama zao. Wewe mwanaume utakuwa unampiga kwa macho tu. Tafuta wanaume walioa single mother kama huwa wanawagusa hao watoto. Kuna jamaa alioa single mother ana watoto 2, wale watoto huwa anaishia kuwaambia tu kwa maneno
 
Siku zote mwanaume hana sauti kwa mwanamke. Ukioa single mother jaribu kumpiga mwanae uone kitakachokutokea. Mtoto au watoto wa single mother huwa wanalelewa kwa makini sana na *****. Wewe mwanaume utakuwa unampiga kwa macho tu. Tafuta wanaume walioa single mother kama huwa wanawagusa hao watoto.
Yaa, mara nyingi wanaume hawana shida na watoto wa kufikia, wanawachukulia tu kama watoto wao wa kuwazaa. Shida ipo kwa mwanamke...
 
Umeongea ukweli mtupu. The best interest ya mtoto iko kwa MAMA YAKE!

Mimi nilishasema, sitomtesa mtoto wa mtu ila pia nisilazimishwe kumpa mapenzi kama mama yake kwa sababu mimi sio mama yake!

Na sitomlazimisha mtu mwingine, mwanamke au mwanaume kumpenda mtoto wangu ambaye si wake wala sitotegemea hilo.
 
Ni kweli mkuu binafsi naishi na wanangu watatu, nimewavuna toka kwa mama zao huko ila sijaoa.... nakiri inanipa changamoto nioe nani atayewalea vema ila naamini ni fedheha zaidi kulelewa na dume mwenzangu.
Ukitaka kuwalea watoto wako usioe. Tafuta housegirl alee watoto wako kama unataka kuoa tafuta nyumba nyingine ukae na huyo mwanamke tofauti na hapo watoto wako watateseka sana. Hawa wanawake ni wazuri sana kuwaona yaani hata ukimuoa mgumba bado watoto wako watateseka sana. Mwanaume anaweza kuishi na mtoto siyo wake vizuri bila matatizo yoyote ila kwa mwanamke kati ya wanawake 200,000 unaweza kumpata mmoja tu naye ni mcha Mungu.
 
Ukitaka kuwalea watoto wako usioe. Tafuta housegirl alee watoto wako kama unataka kuoa tafuta nyumba nyingine ukae na huyo mwanamke tofauti na hapo watoto wako watateseka sana. Hawa wanawake ni wazuri sana kuwaona yaani hata ukimuoa mgumba bado watoto wako watateseka sana. Mwanaume anaweza kuishi na mtoto siyo wake vizuri bila matatizo yoyote ila kwa mwanamke kati ya wanawake 200,000 unaweza kumpata mmoja tu naye ni mcha Mungu.
Yes, umemalizia vizuri kumbe wapo wanawake wanaoweza
 
100% mwanaume mwingine ana uwezo wa kumpenda mwanao kama vile ni wake

ila hamna mwanamke wa kumpenda mtoto wa mwanamke mwingine (tena aliezalishwa na mume wake)

kama wake aliyemzaa.

Uwezo huo wanao wanaume TU.

Wanaume role yao katika malezi sio kama ya wanawake. Kutoa pesa tu mtoto akala si kazi. Kuruhusu mtoto akaishi kwenye nyumba yako si kazi sana.

Kumlea mtoto, kumuonya(tena jamii imekutolea macho inasubiri umguse tu waseme unamtesa), kumhurumia, kuhakikisha yuko salama, kumjali kwa ujumla (hata wakati mama yake alijaribu vunja ndoa yako) ni mambo very emotional yanayohitaji moyo uwe bila chembe ya maumivu au walakini.

Tukireverse roles hizi, wanaume hamtaweza na mioyo yenu miepesi. So kwa extent hiyo hiyo wanayofanya mimi nawasifu wanawake wanaolea watoto wa wanawake wenzao.
 
Mtoto utaona anazidi kukonda tu [emoji3]

Ukirudi utamskia akeo akidai yaan huyu mtoto hapendi kula kabisa,,

Asa kumjazia maviporo unadhani atapenda kula [emoji3]
Na wanaume hawahitaji masaa mengi kuingiza malezi kwa watoto, maana hawana huo muda. akipata dakika kumi ni nyingi sana kumpa instructions mtoto na akaelewa
 
Wanawake walezi walikuepo zamani enzi zile za mtoto wa mwenzio kama mtoto wako ila asahivi tabu tupu wanawake wamekua wa hovyo sana dahh!!
 
Mtoto utaona anazidi kukonda tu [emoji3]

Ukirudi utamskia akeo akidai yaan huyu mtoto hapendi kula kabisa,,

Asa kumjazia maviporo unadhani atapenda kula [emoji3]
Hapo sasa

viporo ndio kitakua mlo wa mwanao ukithubutu mleta nyumbani kwako

wakati wengine (watoto wa mke) wakila vitu smoothly tena bahati mbaya kuliko zote

Mtoto anaetoka kwa (x wako) awe mkubwa kuliko hawa wa mkeo bwana weeeeee

Yani hata kama wamepishana mwezi huy mkubwa atapewa treatment kama kazaliwa miaka 20 iliyopita
 
Siku zote mwanaume hana sauti kwa mwanamke. Ukioa single mother jaribu kumpiga mwanae uone kitakachokutokea. Mtoto au watoto wa single mother huwa wanalelewa kwa makini sana na mama zao. Wewe mwanaume utakuwa unampiga kwa macho tu. Tafuta wanaume walioa single mother kama huwa wanawagusa hao watoto. Kuna jamaa alioa single mother ana watoto 2, wale watoto huwa anaishia kuwaambia tu kwa maneno
mwanaume unaanzaje mpiga mtoto (hata akiwa wako) unaweza usimpige unajua

sembuse huyu ambae sio wako ndio utaogopa hata kumuangalia maana akilia tuuu

unajua leo chumbani sipewi mzigo.
 
Ni kweli mkuu binafsi naishi na wanangu watatu, nimewavuna toka kwa mama zao huko ila sijaoa.... nakiri inanipa changamoto nioe nani atayewalea vema ila naamini ni fedheha zaidi kulelewa na dume mwenzangu.
mrudie mama watoto wako alee wanao.
 
Umeongea ukweli mtupu. The best interest ya mtoto iko kwa MAMA YAKE!

Mimi nilishasema, sitomtesa mtoto wa mtu ila pia nisilazimishwe kumpa mapenzi kama mama yake kwa sababu mimi sio mama yake!

Na sitomlazimisha mtu mwingine, mwanamke au mwanaume kumpenda mtoto wangu ambaye si wake wala sitotegemea hilo.
ukweli mtupu na iko hivyo.
 
Ukitaka kuwalea watoto wako usioe. Tafuta housegirl alee watoto wako kama unataka kuoa tafuta nyumba nyingine ukae na huyo mwanamke tofauti na hapo watoto wako watateseka sana. Hawa wanawake ni wazuri sana kuwaona yaani hata ukimuoa mgumba bado watoto wako watateseka sana. Mwanaume anaweza kuishi na mtoto siyo wake vizuri bila matatizo yoyote ila kwa mwanamke kati ya wanawake 200,000 unaweza kumpata mmoja tu naye ni mcha Mungu.
Japo hapo kwa kumpa house girl wanao mi naona ni yale yale tu

Halafu ni bora ungekua na katoto kamoja then ndio house girl amleleee (kidogo afadhali)

ila kama una watoto zaidi ya mmoja Amini kwamba House girl hawezi wapenda watoto wote wawili au watatu upendo sawa

yupo ataependelewa yupo atae onewa (house girl ni binadamu nae)

Malezi perfect yanatoka kwa REAL MAMA pekeee no any other place.
 
Back
Top Bottom