Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

Unamwogopa mwanamke unayeishi naye ndani, unamwamini mwanamme mwingine aliyemuoa huyo ex akulelee mwanao nawe unakenua kwa amani kabisa.... huwezi kuwa sawa kichwani kuna namna dishi limecheza tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yes, umemalizia vizuri kumbe wapo wanawake wanaoweza
wapo ila ndio katika idadi ya wanawake LAKI 5 utampata m 1

Hao wapo kwenye kila eneo dunia hiiii,nawaitaga (made from Heaven)
 
Maandishi yanasema muoe Mwanamke wa ujana wako.
mwanamke wa ujana wangu anaweza kuwa si yule mama mtoto wangu

akawa ni huyu nilie nae sasa hivi.

Yule mama mtoto wa kwanza wengine Tuliwapa mimba kwa sababu zilizo nnje ya uwezo ila

Haikua planned mission ndio mana sijamuoa ila haina maana nisimtunze mtoto et kisa hatukupanga.

Hapa pa kuoa tusi weke kabisa maandiko mkuu maana dunia ya leo kizungu zungu.
 
Hamna mahali popote pameandikwa mwanamke utakae zaa nae ndio unatakiwa umuoe awe mke waako wa ndoa"hakuna".

Ila pia hakuna mahali pameandikwa kwamba mwanamke utakae mzalisha usimpende wala usimpe huduma zote muhimu "hakuna"

Mwanaume unaweza kuwa ulishawahi kuwa na mtoto kwa mwanamke ambae si mkeo kwa sasa so kutokana na kujitambua kwako ukaona uendelee kutoa huduma zote za muhimu kwa mwanao kwasababu unajua fika ile ni damu yako,na hakuna mwingine wa kufanya hivyo zaidi yako.

Bahati nzuri ni kwamba mama mtoto wako (yule x) Anaolewa na mwanaume mwingine na Maisha yao kiuchumi si mazuri. Hata wewe umeona,unaamua kumwomba mama mtoto wako (yule x) umchukue mtoto ili asiteseke unamleta mwanao. Kuja kulelewa na mkeo nyumbani (makosa makubwa sana haya)

Acha nikwambie kitu,

Mkeo hatakwambia simtaki huyo mtoto (ila moyoni mwake kashakwambia)

Mkeo hatokwambia hapendi hata kumuona huyo mtoto (ila moyoni mwake jua hampendi)

Mwanaume wewe unamleta mwanao ukiamini atapata upendo kama wa kwa mama yake (unajidanganya)

Hata kama mama mtoto wako (yule x) utamuona anapitia maisha magumu kwa asilimia 200 usije thubutu mpokonya mtoto. Uje umlete kwa huyu mkeo ulie nae,Pamoja na shida atakazopitia mama mtoto wako (yule x) hatoruhusu shida zile zimpate

Mwanae na hata kama zikimpata mwanao mama yake atajua jinsi ya kumpa maneno mazuri ya kumbembeleza ajione naye yupo kawaida. Wanaume nataka tu muelewe jambo 1 hao wanawake mliowaoa (anakupenda wewe tu) usije jidanganya atampenda.

Mtu mwingine tofauti na wewe na wanae wa kuwazaa. Jitahidi uwezavyo kama una mtoto nnje na ulikua na mpango mwakani (umchukue uje uishi nae), acha maana unamleta jehanam mtoto wako mwenyewe (usijipe moyo kwa matendo yanayofanywa na mkeo ukiwepo) acha huo ujinga.

Muache mtoto wako huko huko kwa mama ake kama ni matumizi mtunze akiwa huko huko kwa mama ake. Kama unahisi unampenda sana huyo mwanao hutaki ateseke (mrudie mama yake muoe). Sasa jitie kichwa ngumu (mletee mkeo mtoto wa mwanamke mwenzie) utaona what next.

Wanawake ndivyoo hivyo walivyo, waelewe then ishi nao kwa akili mingi mingi.



View attachment 1249705
Hapo ni kweli kabisa. Mimi mke wangu aliniambia kabisa bila kupindisha kwamba nisijaribu kumletea mtoto asie wa tumbo lake, hatokubali kumlea.
 
Hapa sasa nimeelewa kwanini hata Mungu alimtelekeza mwanaye Yesu alelewe na Baba wa kambo, hakutaka kumchukua angali mdogo akasubiri akue.... kwa muktadha huo huo naomba kujua umri wa mtoto kuwa ‘sasa amekua’ kiasi kwamba ‘hatoteseka’ ni upi..?
umri huo ni ule umri unaoweza amua wewe kama baba ukasema

naenda kumpangia mwanangu Chumba aishi mwenyewe.

Ukiona unaweza na umeona mwanao anaweza jitegemea na kusimama mwenyewe

na wewe huku ukalala na usingizi ukaupata (basi huo ndio umri sahihi)

ila kama bado huwezi muacha mwanao peke ake akajitegemea (kama wanafunzi wa chuo)

bado huyo mtoto wako anahitaji kuwekwa karibu na MAMA yake alieyemzaaa;.
 
Ni mama tofauti mkuu, kazi kweli kweli.... nitaongea na Zurie
Zurie kashasema asilazimishwe kupenda mtoto wa mtu

so ukimpata zurie usimlazimishe wapenda watoto wako na usimnunie

maana kashasema ukweli wake tokea moyoni (kwanza sidhani kama anaweza)
 
90% true,binafsi Nina mtoto nilozaa na mwanamke mwingine mbali na uyu Mke nilie nae ila mama wa uyo mtoto kafariki nikapiga esabu akili za wanawake zilivo nikaona nimchukue akakae na bibi Yale kuliko Mke wangu japo yy anasema nimlete kwangu ila hawatabirik hawa viumbe
usikubali wala usimsikilize mkeo

anasema umlete nyumbani "hiyo kauli naziitaga kauli imarisha penzi"

Hamaanishi so usije jaribu maana ukimleta leo tu utaona kitachotokea after one month

Muache mtoto kwa bibi yake yupo salama mara 100 mkuuuu tena salama mnooooo.

Make sure unamuhudumia ipasavyoooooo.
 
Hapo ni kweli kabisa. Mimi mke wangu aliniambia kabisa bila kupindisha kwamba nisijaribu kumletea mtoto asie wa tumbo lake, hatokubali kumlea.
Mpende mkeo sana

ni wanawake wachache sana wenye uthubutu wa kuwambia hivyo waume zao

wengi ni wanafki na watesi.

You have the right Choice man.
 
100% mwanaume mwingine ana uwezo wa kumpenda mwanao kama vile ni wake

ila hamna mwanamke wa kumpenda mtoto wa mwanamke mwingine (tena aliezalishwa na mume wake)

kama wake aliyemzaa.

Uwezo huo wanao wanaume TU.
Kweli kabisa mkuu . Its the unspoken truth
 
mtoto halelewi na pesa analelewa na MAMA YAKE

wewe unavyomchukua akija nyumbani kwako una uwezo wa kumlea?

au ndio unataka kila ukirudi tu umuone mwanao mbele yako?

Tofautisha "kulea" na "Kukaa na mtoto"

wewe unatetea kukaa na mtoto na wala huna point katika swala la malezi (kulea) ingekua unajua umuhimu wa

KULEA usingebisha mtoto kutunzwa na mama yake aliemzaaaa.
Je vip kama ume zaa na ex wako alafu yeye nae hakai na mtoto Bali ame mpeleka kijijin kwao huko Ana kaa na bibi yake afu yeye a napambana na maisha ya mume wake Mpya

Je na hapa napo uendeelee kutuma pesa kijijin kwa wazaz wa ex wako wakulele au vip?

Mana Kuna wakati sio tuu kuwa na msimamo yenye kuangalia mzingira ya Aina moja pasi Kujua Hali ya upande mwingine

Je vip wale wanawake wanasema wenyewe njoo mchukue mtoto wako mana wapo wanaume wengine hawakubali kulea mtoto WA mtu kama baba yake yupo mjin na anauwezo anamuona hawez kubali hii ime kaaje Nisaidie majibu
 
Zote ni risk sababu huyo mtoto pia yupo kwa baba wa kambo what if baba wa kambo kamfanya mke anamkula mkewe akiwa hayupo au kama wa kiume anaweza kuwa anamuingilia mlango wa uani yani anamlawiti.
Solution ni kuacha kuzaa zaa hovyo kama paka kuwepo na familia ya baba, mama na watoto haikuwa kwa bahati mbaya.
Kuna mdada nilikua nadate nae alinichana kabisa yani kama una mtoto niambie tuachane mapema sitaki dhambi maana haitakaa nimpende nikamwambia sina.
 
Je vip kama ume zaa na ex wako alafu yeye nae hakai na mtoto Bali ame mpeleka kijijin kwao huko Ana kaa na bibi yake afu yeye a napambana na maisha ya mume wake Mpya

Je na hapa napo uendeelee kutuma pesa kijijin kwa wazaz wa ex wako wakulele au vip?

Mana Kuna wakati sio tuu kuwa na msimamo yenye kuangalia mzingira ya Aina moja pasi Kujua Hali ya upande mwingine

Je vip wale wanawake wanasema wenyewe njoo mchukue mtoto wako mana wapo wanaume wengine hawakubali kulea mtoto WA mtu kama baba yake yupo mjin na anauwezo anamuona hawez kubali hii ime kaaje Nisaidie majibu

MTOTO SI WAKO BWANA ok iko hivi

ex wako hakai na mtoto kampeleka kwao huko kwa bibi(mama wa ex wako)

kwanza utambue wewe hujui familia ya ex wako yani (mama ake na ndugu zake huko wanaishije na wakoje)

kwa kua kashadhihirisha hawezi kaa na mtoto basi Tumia fursa hiyo kwenda kumchukua mwanao kisha mpeleke

kwa Bibi ake (mama yako wewe) kisha mtunze mwanao akiwa kwenye sehemu uliyo na uhakika nayo.

Mwanamke akikuruhusu ukamfate mwanao na unajijua umeshaoa USIKATAE mkimbilie mfate mtoto wako then

Fanya kile kile nilichokwambia hapo juuuu (mpeleke kwa bibi ake "mama ako wewe")
 
Inahitaji tafakuri si kila mara ni sahihi kufanya hivi. Kuna mijimama mingine haijielewi bora tu kumchukua mtoto akawa chini ya himaya yako
 
Zote ni risk sababu huyo mtoto pia yupo kwa baba wa kambo what if baba wa kambo kamfanya mke anamkula mkewe akiwa hayupo au kama wa kiume anaweza kuwa anamuingilia mlango wa uani yani anamlawiti.
Solution ni kuacha kuzaa zaa hovyo kama paka kuwepo na familia ya baba, mama na watoto haikuwa kwa bahati mbaya.
Kuna mdada nilikua nadate nae alinichana kabisa yani kama una mtoto niambie tuachane mapema sitaki dhambi maana haitakaa nimpende nikamwambia sina.
Haimaanishi mtoto akilelewa na mwanaume mwingine kisa yuko na mama ake ndio na wewe ubweteke usifatilie

maendeleo ya mtoto wako,wakati mwingine wanawake wanawekwa kwapani kama jinsi nao wanavyotuwekaga kwapani

la muhimu mchunguze mwanao mfatilie mwanao,siku moja moja unazoenda kumuona "ongea nae mchimbe" utajua yasirini
 
Back
Top Bottom