Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Haya
tunawapondaga wao mkuuuu ila si watoto
hata siku moja hatunaga ugomvi na watoto
sisi ugomvi wetu ni kwamba single mother wanamtindo wa kupasha viporo
na wanaume walio zaa nao ndio mana tunawapiga sana vita.
ila linapokuja swala la mtoto Huwa tunakuaga wengine kabisa.