Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

🙏🙏🙏
kwanini mnaenda kuoa wanawake halafu unamletea watoto wako? je na yeye akileta wa kwake utampenda?
nakubaliana na wewe toto abaki kwa Mama yake na sio kumletea mwanamke mwingine HAWATAWAPENDA
 
Na hii ni dhania ya uongo ambayo jamii imeaminishwa kwa na karne, hakuna mwanamme a nampenda mtoto wa mwanamme mwingine ni vile huwa wanakuwa busy tu kujihusisha na masuala ya kila siku ya mtoto, ipo mifano hai
100% mwanaume mwingine ana uwezo wa kumpenda mwanao kama vile ni wake

ila hamna mwanamke wa kumpenda mtoto wa mwanamke mwingine (tena aliezalishwa na mume wake)

kama wake aliyemzaa.

Uwezo huo wanao wanaume TU.
 
Ukizaa na binti wa watu muoe
Unapomkataa ndo mnaanzisha matatizo hapo
 
Bora Mtoto alelewe na mama yake huko alipo hata kama ameolewa,,,wanaume wana utu kuliko wanawake,,,Mimi binafsi naishi na Mtoto wa kufikia na anasoma Shule nzuri kama wanangu lakini mke wangu sisubutu kuletea Mtoto wa nje kamwe.wanawake ni viumbe wabaya sana isipokuwa mama yangu tuu.
 
Sasa nafuu awe mtoto wa mazoezi (yule wa kabla ya ndoa)
Yule wa mechi ya ugenini
(nje wakati ndoa bado ipo) ndio kabisaaaaa acha huko huko kwa mama yake
 
Wanawake walezi walikuepo zamani enzi zile za mtoto wa mwenzio kama mtoto wako ila asahivi tabu tupu wanawake wamekua wa hovyo sana dahh!!

Hata hao wa zamani walitesa sana watoto na kama hawakuonekana kufanya hivyo basi ni kwasababu ya umasikini uliokithiri waliokuwa nao (hawakuwa na namna)
Wanawake wa zamani walitesa watoto balaa basi tu mitandao ya kuwasema haikuwepo.
 
Hata hao wa zamani walitesa sana watoto na kama hawakuonekana kufanya hivyo basi ni kwasababu ya umasikini uliokithiri waliokuwa nao (hawakuwa na namna)
Wanawake wa zamani walitesa watoto balaa basi tu mitandao ya kuwasema haikuwepo.
upo sahihi sana

huwa nawapingaga vikali sana watu wanaotetea watu wa zamani

wanashindwa tofautisha sasa hivi kitu kikitokea india ni dakika tu mtu wa hapa kagera kashajua

kitu kikitokea Kenya ni sekunde tu mtu wa pale Somalia kajua

sasa hivi kuna utandawazi mkubwa sana tofauti na zamani,tena zamani ndio mambo yalikua hatari hatari hatari

ni basi tu mitandao haikuwepo ila sidhani kama saivi kuna mateso ya zamani sidhani kabisa.
 
Japo hapo kwa kumpa house girl wanao mi naona ni yale yale tu

Halafu ni bora ungekua na katoto kamoja then ndio house girl amleleee (kidogo afadhali)

ila kama una watoto zaidi ya mmoja Amini kwamba House girl hawezi wapenda watoto wote wawili au watatu upendo sawa

yupo ataependelewa yupo atae onewa (house girl ni binadamu nae)

Malezi perfect yanatoka kwa REAL MAMA pekeee no any other place.

Hongera kwa mada nzuri mkuu, lakini nipende kuongeza au kutofautiana na wewe katika hili, kimsingi hakuna malezi PERFECT, hata kati ya mama na mtoto hajawahi kuwa perfect. Kinacholeta hiyo hali ambayo tunai-percieve kama “perfection” ni UPENDO mkuu uliopo kati ya mama na mtoto. Mama na mtoto hata wakikoseana vipi automatically makosa yanafutika sababu ya upendo usio kuwa na mipaka, hisia zangu zinaniambia hakuna upendo unaoweza kuzidi huu wa mama na mtoto.

Tukija kwa upande wa wenzetu ambao wanalea watoto wa kambo, wapo wanaolea vizuri sana na sio wachache kama mnavyotuaminisha humu, binafsi nimewashuhudia lakini kinacholeta mushkeli ni ile hali ya jamii kuwa sensitive juu ya “u-kambo wa mtoto”. Kwamba hata huyu mama afanye namna gani bado lawama zitakuwa juu yake hata kama anafanya yale yale anayofanya kwa watotowe.

Sijakataa kuwa kuna wanawake wana roho mbaya na za ajabu kupata kutokea.
 
Hongera kwa mada nzuri mkuu, lakini nipende kuongeza au kutofautiana na wewe katika hili, kimsingi hakuna malezi PERFECT, hata kati ya mama na mtoto hajawahi kuwa perfect. Kinacholeta hiyo hali ambayo tunai-percieve kama “perfection” ni UPENDO mkuu uliopo kati ya mama na mtoto. Mama na mtoto hata wakikoseana vipi automatically makosa yanafutika sababu ya upendo usio kuwa na mipaka, hisia zangu zinaniambia hakuna upendo unaoweza kuzidi huu wa mama na mtoto.

Tukija kwa upande wa wenzetu ambao wanalea watoto wa kambo, wapo wanaolea vizuri sana na sio wachache kama mnavyotuaminisha humu, binafsi nimewashuhudia lakini kinacholeta mushkeli ni ile hali ya jamii kuwa sensitive juu ya “u-kambo wa mtoto”. Kwamba hata huyu mama afanye namna gani bado lawama zitakuwa juu yake hata kama anafanya yale yale anayofanya kwa watotowe.

Sijakataa kuwa kuna wanawake wana roho mbaya na za ajabu kupata kutokea.
uko sahihi mkuu
 
Sijakutana na sina uzoefu kwenye hili ila sidhani kama naweza kumtesa mtoto asie na hatia.

Nilichoona mimi wanawake wengi wako tayari kulea watoto waliowakuta wameshazaliwa kwa roho nyeupe kabisa...... tatizo linaanziaga pale ambapo mwanaume anaendeleza mahusiano na mzazi mwenzie au analeta watoto wadogo kuliko umri wa ndoa yake.
 
Ukitaka kuwalea watoto wako usioe. Tafuta housegirl alee watoto wako kama unataka kuoa tafuta nyumba nyingine ukae na huyo mwanamke tofauti na hapo watoto wako watateseka sana. Hawa wanawake ni wazuri sana kuwaona yaani hata ukimuoa mgumba bado watoto wako watateseka sana. Mwanaume anaweza kuishi na mtoto siyo wake vizuri bila matatizo yoyote ila kwa mwanamke kati ya wanawake 200,000 unaweza kumpata mmoja tu naye ni mcha Mungu.
Kwa sisi tuliokuliaa polygamy family tunayajua haya vizuri sana, yaan unanyanyaswa mpk unajiona kabisa unastahili kufa na si vinginevyo
Dah ngoja niishie hapa, kila nkipitisha hizi kumbukumbu kichwan nakosa mpk maneno, nna mtoto tyrii ilaa imefka wakti nasema kwa moyo safi acha mwanangu akue kwanza ndo nioe aiseee
 
Back
Top Bottom