mtoto halelewi na pesa analelewa na MAMA YAKEHuko sio kulea acha kupotosha, pesa hailei mtoto.... wewe utakuwa ni mwanamke maskini sana unayehisi kupata unafuu kupitia mtoto akitumiwa pesa.
Siku zote mwanaume hana sauti kwa mwanamke. Ukioa single mother jaribu kumpiga mwanae uone kitakachokutokea. Mtoto au watoto wa single mother huwa wanalelewa kwa makini sana na mama zao. Wewe mwanaume utakuwa unampiga kwa macho tu. Tafuta wanaume walioa single mother kama huwa wanawagusa hao watoto. Kuna jamaa alioa single mother ana watoto 2, wale watoto huwa anaishia kuwaambia tu kwa manenoUnamwogopa mwanamke unayeishi naye ndani, unamwamini mwanamme mwingine aliyemuoa huyo ex akulelee mwanao nawe unakenua kwa amani kabisa.... huwezi kuwa sawa kichwani kuna namna dishi limecheza tu.
kaaamua kuwa mbishi na ukute kashamchukua mtoto wake yuko nae so hawezi kukuelewa.
Yaa, mara nyingi wanaume hawana shida na watoto wa kufikia, wanawachukulia tu kama watoto wao wa kuwazaa. Shida ipo kwa mwanamke...Siku zote mwanaume hana sauti kwa mwanamke. Ukioa single mother jaribu kumpiga mwanae uone kitakachokutokea. Mtoto au watoto wa single mother huwa wanalelewa kwa makini sana na *****. Wewe mwanaume utakuwa unampiga kwa macho tu. Tafuta wanaume walioa single mother kama huwa wanawagusa hao watoto.
Ukitaka kuwalea watoto wako usioe. Tafuta housegirl alee watoto wako kama unataka kuoa tafuta nyumba nyingine ukae na huyo mwanamke tofauti na hapo watoto wako watateseka sana. Hawa wanawake ni wazuri sana kuwaona yaani hata ukimuoa mgumba bado watoto wako watateseka sana. Mwanaume anaweza kuishi na mtoto siyo wake vizuri bila matatizo yoyote ila kwa mwanamke kati ya wanawake 200,000 unaweza kumpata mmoja tu naye ni mcha Mungu.Ni kweli mkuu binafsi naishi na wanangu watatu, nimewavuna toka kwa mama zao huko ila sijaoa.... nakiri inanipa changamoto nioe nani atayewalea vema ila naamini ni fedheha zaidi kulelewa na dume mwenzangu.
Yes, umemalizia vizuri kumbe wapo wanawake wanaowezaUkitaka kuwalea watoto wako usioe. Tafuta housegirl alee watoto wako kama unataka kuoa tafuta nyumba nyingine ukae na huyo mwanamke tofauti na hapo watoto wako watateseka sana. Hawa wanawake ni wazuri sana kuwaona yaani hata ukimuoa mgumba bado watoto wako watateseka sana. Mwanaume anaweza kuishi na mtoto siyo wake vizuri bila matatizo yoyote ila kwa mwanamke kati ya wanawake 200,000 unaweza kumpata mmoja tu naye ni mcha Mungu.
100% mwanaume mwingine ana uwezo wa kumpenda mwanao kama vile ni wake
ila hamna mwanamke wa kumpenda mtoto wa mwanamke mwingine (tena aliezalishwa na mume wake)
kama wake aliyemzaa.
Uwezo huo wanao wanaume TU.
Na wanaume hawahitaji masaa mengi kuingiza malezi kwa watoto, maana hawana huo muda. akipata dakika kumi ni nyingi sana kumpa instructions mtoto na akaelewaMtoto utaona anazidi kukonda tu [emoji3]
Ukirudi utamskia akeo akidai yaan huyu mtoto hapendi kula kabisa,,
Asa kumjazia maviporo unadhani atapenda kula [emoji3]
Hapo sasaMtoto utaona anazidi kukonda tu [emoji3]
Ukirudi utamskia akeo akidai yaan huyu mtoto hapendi kula kabisa,,
Asa kumjazia maviporo unadhani atapenda kula [emoji3]
mwanaume unaanzaje mpiga mtoto (hata akiwa wako) unaweza usimpige unajuaSiku zote mwanaume hana sauti kwa mwanamke. Ukioa single mother jaribu kumpiga mwanae uone kitakachokutokea. Mtoto au watoto wa single mother huwa wanalelewa kwa makini sana na mama zao. Wewe mwanaume utakuwa unampiga kwa macho tu. Tafuta wanaume walioa single mother kama huwa wanawagusa hao watoto. Kuna jamaa alioa single mother ana watoto 2, wale watoto huwa anaishia kuwaambia tu kwa maneno
mrudie mama watoto wako alee wanao.Ni kweli mkuu binafsi naishi na wanangu watatu, nimewavuna toka kwa mama zao huko ila sijaoa.... nakiri inanipa changamoto nioe nani atayewalea vema ila naamini ni fedheha zaidi kulelewa na dume mwenzangu.
ukweli mtupu na iko hivyo.Umeongea ukweli mtupu. The best interest ya mtoto iko kwa MAMA YAKE!
Mimi nilishasema, sitomtesa mtoto wa mtu ila pia nisilazimishwe kumpa mapenzi kama mama yake kwa sababu mimi sio mama yake!
Na sitomlazimisha mtu mwingine, mwanamke au mwanaume kumpenda mtoto wangu ambaye si wake wala sitotegemea hilo.
Japo hapo kwa kumpa house girl wanao mi naona ni yale yale tuUkitaka kuwalea watoto wako usioe. Tafuta housegirl alee watoto wako kama unataka kuoa tafuta nyumba nyingine ukae na huyo mwanamke tofauti na hapo watoto wako watateseka sana. Hawa wanawake ni wazuri sana kuwaona yaani hata ukimuoa mgumba bado watoto wako watateseka sana. Mwanaume anaweza kuishi na mtoto siyo wake vizuri bila matatizo yoyote ila kwa mwanamke kati ya wanawake 200,000 unaweza kumpata mmoja tu naye ni mcha Mungu.