Wangapi wamemuelewa Rais Samia katika hili?

Wangapi wamemuelewa Rais Samia katika hili?

Hv unafatilia ht vyombo vya habari au ww nae ni mpuuzi kama mtoa mada.? Serikali imetoa zaidi ya B ila hizo zinakwenda kwenye familia moja kwa moja kwa waliofiwa
Nafikiri mpuuzi namba moja ni wewe.

Hiyo misaada ni ya kuwajengea, tunaongelea mkono wa pole kwa kila mwili
 
Nafikiri mpuuzi namba moja ni wewe.

Hiyo misaada ni ya kuwajengea, tunaongelea mkono wa pole kwa kila mwili
Bado ww ni mpuuzi tuu, kwahy ulitaka wapewe mamilioni.? Unadhani wote waliofariki walikuwa productive.? Bc toa ww hizo unazoona wanapaswa kupewa
 
Acha kupotosha. Hiyo ya kujengwwa nyumba ndiyo unaisema wewe. Tamko la rais ni kila mwili milioni 1.
Angalia hotuba ya waziri mkuu na rais ya juzi juma pili. Wote watajengewa nyumba. Mimi ninaamini hivyo.
 
Erythrocyte jana kaja na msamiati wa "pesa ndefu" ila hataji kiasi mana anaona aibu. Ahahahahaha!!!
Hapana sio kwamba anaona aibu, tatizo ni pesa zinakuwa nyingi sana hvy wanachoka kuhesabu. Em fikiria nasikia hadi ile mashine ya kuhesabu pesa ilipata moto na kuacha kufanya kazi kutokana na overdose ya kuhesabu pesa

Erythrocyte
 
Lkn c alisema chadema mmetoa mamilioni, hayo mamilioni yametoka wapi.? Na mbona hamtaji ni mamilioni mangapi.? 😂
Rais Samia ni ama hajielewi ama haelewinthamani ya binadamu.

Hivi kweli goli la Simba Lina thamani mara 10 kuliko uhai wa mtanzania? Au kwa kuwa yeye ni mzaznzibari??
 
Siyo wote. Kasema wale ambao nyumba zao zimebomoka.

Hapa tunahoji kwann fidia ya marehemu ni ndogo kuliko goli la Simba? Je, mtanzania ana thamani ndogo kuliko goli? Au rais ndiye hajielewi?
Sasa ulitaka hata ambao hazijabomoka zijengwe? Rambirambi 1 m sio mbaya, hiyo wala sio fidia maana hakuna kinachofidiwa,
 
Siyo wote. Kasema wale ambao nyumba zao zimebomoka.

Hapa tunahoji kwann fidia ya marehemu ni ndogo kuliko goli la Simba? Je, mtanzania ana thamani ndogo kuliko goli? Au rais ndiye hajielewi?
Pesa zilizotoka kwenye magoli ni sh ngapi na pesa za hao marehemu ni sh ngapi
 
Rais Samia ni ama hajielewi ama haelewinthamani ya binadamu.

Hivi kweli goli la Simba Lina thamani mara 10 kuliko uhai wa mtanzania? Au kwa kuwa yeye ni mzaznzibari??
Sawa nmekuelewa, haya Nambie chadema walitoa mamilioni mangapi huko Manyara na zilitoka wapi mana nyie hamkusanyi kodi wala tozo

CC Erythrocyte
 
Hakika ! hata hivyo hao masikini mara zote nimewaambia kwamba mimi si msemaji wa Chadema , mimi ni mwandishi wa jf tu
Sawa muandishi wa JF, kwakuwa umeandika khs chadema kutoa mamilioni naomba utuambie zilikuwa n mamilioni mangapi na zilitoka wapi.?
 
Back
Top Bottom