Jugado
JF-Expert Member
- Oct 28, 2021
- 1,446
- 3,184
Naona uhalisia wa kujengewa hao waathirika...tusubiri tuone. Naona Rais Samia anajitahidi kwenye hili jambo sijui kwanini watu wamekua negative sana. Zineshakusanywa zaidi ya bilioni tano Kwa ajili ya ujenzi....Hizo ni political statements. Uhalisia ungeoneka kwanye rambi rambi.