Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Wanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na mwenza wake Mh. Mohamed Mchengerwa katika moja ya mitoko yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na mwenza wake Mh. Mohamed Mchengerwa katika moja ya mitoko yao.View attachment 2736652
The first daughterWanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na mwenza wake Mh. Mohamed Mchengerwa katika moja ya mitoko yao.View attachment 2736652
Halafu account za benki zimejaa maokoto ya kutosha. Bila kusahau magunia ya cash yaliyopo nyumbani 🤣🤣.pesa tamu sana, nje zimepaki LC300 mbili
kwa HAPA KUBALI NDOANa Mama ake kamuanzishia ngo inapokea mabilioni. Mume ni waziri tamisemi. Ni maposho ya safari, hapo hatujahesabu maokoto ya rushwa za watu wanaoomba tenda tamisemi. Tena kuna maokoto mengine yanamsubiria kwa ajili ya kivumbi cha uchaguzi wa serikali za mitaa. Yaani raaaaha bin raaaaha 🤣🤣
Siku ikitokea samia akapinduliwa ghafla ndio watajua hawajui 🤣kwa HAPA KUBALI NDOA
KATAA KUOA MZIGO,
KATAA KUOA MGANGA NJAA
Wewe ni Ke au Me? Kama ni Me pole sanaJamaa ana macho ya kibaharia. Lazima awe na michepuko ya hapa na pale
"Kifua chako........."
Kwa hapa maokoto yazingatiwekwa HAPA KUBALI NDOA
KATAA KUOA MZIGO,
KATAA KUOA MGANGA NJAA
Kuichakata serekali😂 yani Rais anakuita "Baba" huku anarembua, unafika ikulu unapikiwa kuku😂Kula kitu ya mtoto wa mwenye nchi siyo jambo dogo wakuu,Nampa big up sana kaka mkubwa
Wapo hivyo tangu JPM akiwa Waziri wa UjenziHivi wana mda gani kwenye ndoa yao?
Tulia Sheikh…Wewe si ulioa mwny Zegembe na guu la bia !Na Mama ake kamuanzishia ngo inapokea mabilioni. Mume ni waziri tamisemi. Ni maposho ya safari, hapo hatujahesabu maokoto ya rushwa za watu wanaoomba tenda tamisemi. Tena kuna maokoto mengine yanamsubiria kwa ajili ya kivumbi cha uchaguzi wa serikali za mitaa. Yaani raaaaha bin raaaaha [emoji1787][emoji1787]