Wanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na Mwenza wake

Wanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na Mwenza wake

Na Mama ake kamuanzishia ngo inapokea mabilioni. Mume ni waziri tamisemi. Ni maposho ya safari, hapo hatujahesabu maokoto ya rushwa za watu wanaoomba tenda tamisemi. Tena kuna maokoto mengine yanamsubiria kwa ajili ya kivumbi cha uchaguzi wa serikali za mitaa. Yaani raaaaha bin raaaaha 🤣🤣
Maisha lainiiii
 
Back
Top Bottom