On Duty
JF-Expert Member
- Aug 21, 2020
- 566
- 1,083
Hapa ndo naelewa kuwa hizi Id zetu zinasadifu akili zetu zilivyo😅Jamaa ana macho ya kibaharia. Lazima awe na michepuko ya hapa na pale
"Kifua chako........."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndo naelewa kuwa hizi Id zetu zinasadifu akili zetu zilivyo😅Jamaa ana macho ya kibaharia. Lazima awe na michepuko ya hapa na pale
"Kifua chako........."
Mchengerwa sio Mzanzibar.Wazanzibar hao wote yeye na mumuwe itakuwa aliona wakiwa na 12+ yrs
Neema ukiizoea wala huoni kama ni jambo kubwa na huo ndio udhaifu wa kibinadamuKuna watu wanabahati sana hapa Duniani yeye Mbunge,Mume wake Waziri Mama Rais Baba Mstaafu na First gentleman.
Waliona ujanja mwanamke tako, ukoo mzima hakuna hata Mtendaji wa kata wewe ndio Tycoon wao kudadeki.Tulia Sheikh…Wewe si ulioa mwny Zegembe na guu la bia !
kupanga ni kuchagua
Serikalini wanaramba asali sana ,mimi nilipata connection kuhudhuriana halfa moja ya kiserikali kuna Waziri alikuwepo japo ilikuwa fupi lakini tulikuwa msosi si wa kawaida baadae aliyenipa connection akanipa bahasha ya maokoto ,nikajisemea mimi kajamba nani nimepata maokoto haya je wale wengine wenye shughuli yao watakuwa wamechoka ngapi ?Na Mama ake kamuanzishia ngo inapokea mabilioni. Mume ni waziri tamisemi. Ni maposho ya safari, hapo hatujahesabu maokoto ya rushwa za watu wanaoomba tenda tamisemi. Tena kuna maokoto mengine yanamsubiria kwa ajili ya kivumbi cha uchaguzi wa serikali za mitaa. Yaani raaaaha bin raaaaha 🤣🤣
[emoji3526][emoji28][emoji28]hamna adabu etiiiKuichakata serekali[emoji23] yani Rais anakuita "Baba" huku anarembua, unafika ikulu unapikiwa kuku[emoji23]
Ukiumwa mafua Rais anakupigia simu "pole baba, mwenzako anasema unaumwa" [emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38]Wana jf acheni kuisengenya first family [emoji23][emoji23][emoji23]
Mchengerwa ana kifua kizuri -Bibi tozoWanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na mwenza wake Mh. Mohamed Mchengerwa katika moja ya mitoko yao.View attachment 2736652
Mdogo wake Nape kapewa Ukurugenzi wa halmashauri, wewe upo unatoa toa macho tu. Wataendelea kukutumia tu hivyo hivyo mwisho wa siku unatupiwa maneno ya dhihaka.Uzushi....
Tanzania si Niger wala Equatorial Guinea.....
Kisha watengenezea makazi UARABUNI!! Nchi ya kingese sana hii, Rais anafanya upendeleo wa wazi wazi na askari wetu wanafukuzana na waliovaa nguo zilizofanana na uniform yao!!!Siku ikitokea samia akapinduliwa ghafla ndio watajua hawajui 🤣
Wamefanana hasa mitandio (sio rangi)Wanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na mwenza wake Mh. Mohamed Mchengerwa katika moja ya mitoko yao.View attachment 2736652
You mean GABON? Kwani Equatorial Guinea nako Tayari?Uzushi....
Tanzania si Niger wala Equatorial Guinea.....
Ni zamu yao kutesa. Kutesa kwa zamu eti.Halafu Wanu ni mke wa pili kwa Mchengerwa. Mchengerwa aliona fursa.Wanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na mwenza wake Mh. Mohamed Mchengerwa katika moja ya mitoko yao.View attachment 2736652
Umeamua kubadili gia angani. Basi Sawa.kwa HAPA KUBALI NDOA
KATAA KUOA MZIGO,
KATAA KUOA MGANGA NJAA
Jamaa kazi yake kufuga ndevu kama muuza simu wa makumbushoWanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na mwenza wake Mh. Mohamed Mchengerwa katika moja ya mitoko yao.View attachment 2736652
😅😅😅 hii ni hatariHalafu account za benki zimejaa maokoto ya kutosha. Bila kusahau magunia ya cash yaliyopo nyumbani 🤣🤣.