Wanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na Mwenza wake

Ukisikia kulala masikini na kuamka tajiri, ndiyo huku sasa! Au ule wimbo wa Zali la mentali.
Mkuu, ndoa za watoto wa vigogo sio za bahati mbaya. Dunia nzima, nchi zote, hao huwa wanaoana wenyewe kwa wenyewe au katika familia za wafanyabiashara wakubwa/wazito.
 
Hi code nime ielewa mkuu🤔 Pohamba, ngime Ali wafanyaje wafanyaje biashara wenzie??
 

Laiti tungejua jinsi viongozi wa serikali ya Tanzania wanavyoishi kwa anasa,tungekwisha kuchukua hatua muda mrefu
 
Mkuu, ndoa za watoto wa vigogo sio za bahati mbaya. Dunia nzima, nchi zote, hao huwa wanaoana wenyewe kwa wenyewe au katika familia za wafanyabiashara wakubwa/wazito.
Mtoto wa cheyo mwanae aliolewa na Hamza kalala, ngoma ya kitimoto ikawambwa ngoma......inategemea.
 
Mkifika kwenye uchambuzi wa zile za ndani kabisa za Mche mniite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…