Ngoma droomimi nimeoa Mpare -nataka kumuacha ni anapenda sana kwenda kwa sangoma,..nioe mnyakyusa mwenzanngu
🤣🤣🤣kazi ipooNiliwahi kudate na mwanamke wa kipare, ptuuu!! Sina hamu na wanawake wa kipare.
UfupiHivi matatizo ya wapare ni nini? Ili tuanzie hapo kwanza
Poniaga gwe kalumbuSasa hutaki tusalimie watu jamani??
Tatizo ni tall alikuws anakuangalia utosini. Sio poa kabisaWanyakyusa aisee hebu rekebisheni hili ndugu zangu mnasalimia salimia Sana mnaongea sana Hadi mnakera na mnajua Kila kitu Yani ujuaji mwingi hii sio fresh sio Poa badilikeni bana!! Mods msifute huu uzi Mimi nilioa Kwa wanyakyusa ila nilimuacha dada Yao nikaoa mpare mwenzangu!
Poniaga gwe kalumbu
Dogo ni haki yangu kufa. Timiza ahadi yako ya kuniua.Wanyakyusa aisee hebu rekebisheni hili ndugu zangu mnasalimia salimia Sana mnaongea sana Hadi mnakera na mnajua Kila kitu Yani ujuaji mwingi hii sio fresh sio Poa badilikeni bana!! Mods msifute huu uzi Mimi nilioa Kwa wanyakyusa ila nilimuacha dada Yao nikaoa mpare mwenzangu!
Ndagha fijho😅Ndaga Nkamu