Na wasukuma nao wasiwaache bhana kwenye hili la kuongea na kusalimia siku nzima........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wasukuma nao wasiwaache bhana kwenye hili la kuongea na kusalimia siku nzima........
Ni sawa na mzee wa degree nne mwakiembe sijui yuko wapi siku hizi, lazima kwanza aelewe anaongea na mtu mwenye elimu gani, wanyaki bhana mtakuwa mpo sawa na nshomile.....tatizo watu wengi wanashindwa kutofautisha kujiamini (confidence) na ujuaji. Wanyakyusa wana asili ya kujiamini ambapo huletwa na uelewa. Sasa kwa wale waliokuwa na uelewa mdogo wanachukulia ule ni kujifanya mjuaji.
Hakuna kabila lenye watu humble na down to earth kama wanyakyusa. Ukiona Mnyakyusa anazungumzia jambo inamaanisha analijua vilivyo.
Umetumia haki yako ya msingi ya kueleza kile unachoamini kuwa ni kweli ukijumlisha na bundle ni la pesa yako mwenyewe, naanzaje kukupinga sasa? Upo sahihi kwa mujibu wa ufahamu/uelewa wako.Ni sawa na mzee wa degree nne mwakiembe sijui yuko wapi siku hizi, lazima kwanza aelewe anaongea na mtu mwenye elimu gani, wanyaki bhana mtakuwa mpo sawa na nshomile.....
Inogilemimi nimeoa Mpare -nataka kumuacha ni anapenda sana kwenda kwa sangoma,..nioe mnyakyusa mwenzanngu
Hiyo ya kusalimia sana hata mimi nime experience huku, yaani unaingia mgahawani unagiza chakula, kila mtu akiingia anakusalimia sasa si unaweza kukwama na chakula.Wanyakyusa aisee hebu rekebisheni hili ndugu zangu mnasalimia salimia Sana mnaongea sana Hadi mnakera na mnajua Kila kitu Yani ujuaji mwingi hii sio fresh sio Poa badilikeni bana!! Mods msifute huu uzi Mimi nilioa Kwa wanyakyusa ila nilimuacha dada Yao nikaoa mpare mwenzangu!
Wapare ni wapole sana sema sometimes huwa wanakuwaga ni wajeuri sanamimi nimeoa Mpare -nataka kumuacha ni anapenda sana kwenda kwa sangoma,..nioe mnyakyusa mwenzanngu