Wanyakyusa mnaongea sana mnasalimia sana na mnajua Kila kitu! Sio fresh sio Poa!!

Wanyakyusa mnaongea sana mnasalimia sana na mnajua Kila kitu! Sio fresh sio Poa!!

Mmenikumbusha mbali sana,
Siku niko na bibi yangu mzaa baba mi naumwa maleria bibi anataka kwenda kumsalimia rafiki yake upande wa pili toka kwetu.
Ikawa twende hapo jirani tukasalimie mi nikagoma sijiskii vizuri.
Kulikua na kamto hapo mbele kwetu ,namwambia bibi huo mto hapo siwezi kuvuka.
Bibi anasema nakubeba tuvuke.
Haya, nikapigwa pini na mbeleko mpk tunafika kwa jirani bibi hajanishusha😅🤣🤣🤣.
Namwambia ilikua tuvuke mto tu , ye yuko we twende kaa hapo.
Toto la miaka 14 enzi hizo nimebebwa mgongoni yaani jirani mwenyewe anauliza toto kubwa hivi unalibeba ?
Bibi hana hata abari jirani anashangaa mi tunafika kwake nimebebwa na bibi
Yaani that was overwhelmed memory sitasahau maisha yote
 
Wanyakyusa aisee hebu rekebisheni hili ndugu zangu mnasalimia salimia Sana mnaongea sana Hadi mnakera na mnajua Kila kitu Yani ujuaji mwingi hii sio fresh sio Poa badilikeni bana!! Mods msifute huu uzi Mimi nilioa Kwa wanyakyusa ila nilimuacha dada Yao nikaoa mpare mwenzangu!
Mwanamke wa kipare ni balaa, hawa na wahaya utadhani ni mapacha.
 
Wanyakyusa aisee hebu rekebisheni hili ndugu zangu mnasalimia salimia Sana mnaongea sana Hadi mnakera na mnajua Kila kitu Yani ujuaji mwingi hii sio fresh sio Poa badilikeni bana!! Mods msifute huu uzi Mimi nilioa Kwa wanyakyusa ila nilimuacha dada Yao nikaoa mpare mwenzangu!
We mpare mla chips za picha ukutani.
Wanawake wa kinyakyusa waliojaaliwa miundombinu ya kimwili tuachie wenyewe.
Umerudi kwa wapare vimbau mbau ni sawa kabisa.
 
Hee mnawakimbiaje na misambwanda ile.
OIP.8leYwUa0_IE_XnKSa0fxawHaJ4

Kipusa cha kinyakyusa utamjua tu, blach curvy and proud.
 
Back
Top Bottom