Wanyakyusa mnaongea sana mnasalimia sana na mnajua Kila kitu! Sio fresh sio Poa!!

Wanyakyusa mnaongea sana mnasalimia sana na mnajua Kila kitu! Sio fresh sio Poa!!

Niliwahi kudate na mwanamke wa kipare, ptuuu!! Sina hamu na wanawake wa kipare.
Wanawake wa kipare ni watamu sana, hasa wale ambao wamekulia upareni. Utamu wao hauna mfano hapa Tanzania.. Speaking with personal experience 🙌🙏
 
Wanyakyusa aisee hebu rekebisheni hili ndugu zangu mnasalimia salimia Sana mnaongea sana Hadi mnakera na mnajua Kila kitu Yani ujuaji mwingi hii sio fresh sio Poa badilikeni bana!! Mods msifute huu uzi Mimi nilioa Kwa wanyakyusa ila nilimuacha dada Yao nikaoa mpare mwenzangu!
Yaani nilivyosoma hii mada kama nawaona kabisa majirani zangu wa kinyakyusa wote wako hivi hivi kama mtoa mada alivyosema,kuna jamaa mmoja anapenda vyeo sana mjuaji sana huwa anaweka TV nje watu wote wanakusanyika kwake kisha yeye anakuwa kama Lufufu kusimulia muvi yote mtaa mzima mnasikia kelele zake,sasa kuna kipindi alipewa cheo cha ujumbe wa serikali ya mtaa basi duh ilikuwa kero mtaani yaani akiwa anapita mitaani akiona vijana wamekusanyika mahali kupiga stori anaanza kuwasumbua"nyinyi mnafanya nini hapa,yaani mnavuta bangi mbele ya Raisi wa mtaa?nitawapeleka polisi niwafunge"[emoji38]
 
Niliwahi kudate na mwanamke wa kipare, ptuuu!! Sina hamu na wanawake wa kipare.
Wanawake wa kipare ni watamu sana, hasa wale ambao wamekulia upareni. Utamu wao hauna mfano hapa Tanzania.. Speaking with personal experience 🙌🙏
 
Sikujua kama wanyaki wana hizi mambo ya ubishi na u-much know, nilikuwa na fundi wangu mnyakyusa, aisee mnaweza kutofautiana mtazamo au jambo fulani sasa atabisha hadi giza, hata kama umefanya maamuzi yako kwa kuchukulia kwamba wewe ndo mwenye kazi, huo ubishi itabidi utafute na maji ya baridi, halafu ni kwa sauti ya juu hadi mtaa wa pili watajua leo kuna shughuli huko.........sasa piga akili wamekutana na mhaya aka. nshomile.......lazima msuluhishi atafutwe mapema.​
Umesahau na waha hapo patachimbika
 
Wanyakyusa akili kubwa wewe. Sio kujifanya wanajua kila kitu ni kwamba wanajua kila kitu.
Halafu hii tabia Tanzania ipo sana, watu kuwaona wenzao wajuaji wakati mie huwa naona kuwa ni kweli kuna watu wanajua vitu vingi sio lazima viwe vyote.

Kuwaambia ni wajuaji inakuwa ni aina fulani hivi ya tusi au kuwashade. Wengi wanaoita wenzao wajuaji wana insecurities.
 
Halafu hii tabia Tanzania ipo sana, watu kuwaona wenzao wajuaji wakati mie huwa naona kuwa ni kweli kuna watu wanajua vitu vingi sio lazima viwe vyote.

Kuwaambia ni wajuaji inakuwa ni aina fulani hivi ya tusi au kuwashade. Wengi wanaoita wenzao wajuaji wana insecurities.
tatizo watu wengi wanashindwa kutofautisha kujiamini (confidence) na ujuaji. Wanyakyusa wana asili ya kujiamini ambapo huletwa na uelewa. Sasa kwa wale waliokuwa na uelewa mdogo wanachukulia ni kujifanya mjuaji.

Hakuna kabila lenye watu humble na down to earth kama wanyakyusa. Ukiona Mnyakyusa anazungumzia jambo inamaanisha analijua vilivyo.
 
Yaani nilivyosoma hii mada kama nawaona kabisa majirani zangu wa kinyakyusa wote wako hivi hivi kama mtoa mada alivyosema,kuna jamaa mmoja anapenda vyeo sana mjuaji sana huwa anaweka TV nje watu wote wanakusanyika kwake kisha yeye anakuwa kama Lufufu kusimulia muvi yote mtaa mzima mnasikia kelele zake,sasa kuna kipindi alipewa cheo cha ujumbe wa serikali ya mtaa basi duh ilikuwa kero mtaani yaani akiwa anapita mitaani akiona vijana wamekusanyika mahali kupiga stori anaanza kuwasumbua"nyinyi mnafanya nini hapa,yaani mnavuta bangi mbele ya Raisi wa mtaa?nitawapeleka polisi niwafunge"[emoji38]
[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani si tulikubaliana kwamba mwanamke chura, akili atatumia za mume. sasa unakimbiaje mnyaki au chura hanaaaa?
 
Back
Top Bottom