Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
😂 Wewe amini tu.Nitaaminije mimi Tomaso..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 Wewe amini tu.Nitaaminije mimi Tomaso..
Wanawake wa kipare ni watamu sana, hasa wale ambao wamekulia upareni. Utamu wao hauna mfano hapa Tanzania.. Speaking with personal experience 🙌🙏Niliwahi kudate na mwanamke wa kipare, ptuuu!! Sina hamu na wanawake wa kipare.
Yaani nilivyosoma hii mada kama nawaona kabisa majirani zangu wa kinyakyusa wote wako hivi hivi kama mtoa mada alivyosema,kuna jamaa mmoja anapenda vyeo sana mjuaji sana huwa anaweka TV nje watu wote wanakusanyika kwake kisha yeye anakuwa kama Lufufu kusimulia muvi yote mtaa mzima mnasikia kelele zake,sasa kuna kipindi alipewa cheo cha ujumbe wa serikali ya mtaa basi duh ilikuwa kero mtaani yaani akiwa anapita mitaani akiona vijana wamekusanyika mahali kupiga stori anaanza kuwasumbua"nyinyi mnafanya nini hapa,yaani mnavuta bangi mbele ya Raisi wa mtaa?nitawapeleka polisi niwafunge"[emoji38]Wanyakyusa aisee hebu rekebisheni hili ndugu zangu mnasalimia salimia Sana mnaongea sana Hadi mnakera na mnajua Kila kitu Yani ujuaji mwingi hii sio fresh sio Poa badilikeni bana!! Mods msifute huu uzi Mimi nilioa Kwa wanyakyusa ila nilimuacha dada Yao nikaoa mpare mwenzangu!
Wanawake wa kipare ni watamu sana, hasa wale ambao wamekulia upareni. Utamu wao hauna mfano hapa Tanzania.. Speaking with personal experience 🙌🙏Niliwahi kudate na mwanamke wa kipare, ptuuu!! Sina hamu na wanawake wa kipare.
Ngumu.....nasubiri kapicha, nipo nimekaa pm hapa.😂 Wewe amini tu.
Umesahau na waha hapo patachimbikaSikujua kama wanyaki wana hizi mambo ya ubishi na u-much know, nilikuwa na fundi wangu mnyakyusa, aisee mnaweza kutofautiana mtazamo au jambo fulani sasa atabisha hadi giza, hata kama umefanya maamuzi yako kwa kuchukulia kwamba wewe ndo mwenye kazi, huo ubishi itabidi utafute na maji ya baridi, halafu ni kwa sauti ya juu hadi mtaa wa pili watajua leo kuna shughuli huko.........sasa piga akili wamekutana na mhaya aka. nshomile.......lazima msuluhishi atafutwe mapema.
Ndaaga nkamuPoniaga gwe kalumbu
Haya tiririka hapa kuwalinda vijana wanaochora ramani kwenda upareniNiliwahi kudate na mwanamke wa kipare, ptuuu!! Sina hamu na wanawake wa kipare.
Hatimaye umeonekana mamdogo!Sasa hutaki tusalimie watu jamani??
Halafu hii tabia Tanzania ipo sana, watu kuwaona wenzao wajuaji wakati mie huwa naona kuwa ni kweli kuna watu wanajua vitu vingi sio lazima viwe vyote.Wanyakyusa akili kubwa wewe. Sio kujifanya wanajua kila kitu ni kwamba wanajua kila kitu.
tatizo watu wengi wanashindwa kutofautisha kujiamini (confidence) na ujuaji. Wanyakyusa wana asili ya kujiamini ambapo huletwa na uelewa. Sasa kwa wale waliokuwa na uelewa mdogo wanachukulia ni kujifanya mjuaji.Halafu hii tabia Tanzania ipo sana, watu kuwaona wenzao wajuaji wakati mie huwa naona kuwa ni kweli kuna watu wanajua vitu vingi sio lazima viwe vyote.
Kuwaambia ni wajuaji inakuwa ni aina fulani hivi ya tusi au kuwashade. Wengi wanaoita wenzao wajuaji wana insecurities.
kwa nini broo mbona mm ni mkurya na nimeoa mpare mambo fresh tuuNiliwahi kudate na mwanamke wa kipare, ptuuu!! Sina hamu na wanawake wa kipare.
[emoji23]Yaani nilivyosoma hii mada kama nawaona kabisa majirani zangu wa kinyakyusa wote wako hivi hivi kama mtoa mada alivyosema,kuna jamaa mmoja anapenda vyeo sana mjuaji sana huwa anaweka TV nje watu wote wanakusanyika kwake kisha yeye anakuwa kama Lufufu kusimulia muvi yote mtaa mzima mnasikia kelele zake,sasa kuna kipindi alipewa cheo cha ujumbe wa serikali ya mtaa basi duh ilikuwa kero mtaani yaani akiwa anapita mitaani akiona vijana wamekusanyika mahali kupiga stori anaanza kuwasumbua"nyinyi mnafanya nini hapa,yaani mnavuta bangi mbele ya Raisi wa mtaa?nitawapeleka polisi niwafunge"[emoji38]
[emoji23][emoji23]Mkisalimiana salamu zikiisha utasikia, mifugo haijambo? Ili mradi tu mazungumzo yaendelee.
Yani wenyewe Ni zaidi ya Google.
Polemimi nimeoa Mpare -nataka kumuacha ni anapenda sana kwenda kwa sangoma,..nioe mnyakyusa mwenzanngu