Wanyarwanda wenye influence na siasa za Tanzania hapa panawahusu

Mi ni wa kanda hiyo pia
 

Hao uliowataja hawadanganyiki kirahisi na wanatoa taarifa mapema kama mgeni ameingia kwao kuliko hao wa kanda ya ziwa
 
Kutokana na mitazamo ya aina hii wapo baadhi ya watu mpaka wanaogopa kutaja makabila yao kuhofia kuzungumziwa vibaya.
Wao watakuwa wanahofu.nini?

Mimi ni muhaya kabila Moja na muzamiri katunzi, rugemalila, anna tibaijuka, delphine rwegasira, Mulokozi , Kagasheki, Mutalemwa, Kamala Wellington wa Texas, Justinian Rweyemamu wa Harvad, Francis Kateka aliyekuwa rais wa wana sheria duniani,fildon Mwombeki Rais wa UEM yaan Lutheran duniani ndo mkuu wao, Cardinal Rigambwa, na Mukandara wa Udsm, kwanini niogope kutaja ?

Wanaoogopa ni wakimbizi,
Kwetu Katoma Kagege, kwa wahyoza alosema mwalimu nyerere kuwakataa nshomile waziba,

Mimi nimekulia ushwahilini Uhuru platform, enzi hizo Magufuli akija kumuona babu yake machalila kato anafikia pale kwa mzee abdulafiew,

Habari ndo hiyo
 
Miaka ya themanini na tisini Wahaya wengi walikuwa wanapenda kujiita Wasukuma na kuogopa kusema ukweli kama ulikuwa hujui.
 
KaRwanda ni kanchi kadogo sana kusumbua Tanzania mbaya Zaidi kapo juu ya volcano anytime watazichapa ni suala muda tu.
 
Haha
 
Sio chuki, mipaka mingine yote imekata makabila pande zote hivyo huwezi sikia Mganda akilalamikiwa kujifanya Mhaya, au Mmasai wa Kenya na Tanzania, Mjaluo wa Kenya na Tanzania, Mmakonde wa Msumbiji na Tanzania, Mnyasa wa Malawi na Tanzania, wote hawa hawana matatizo kabisa.

Lakini kwa upande wa Banyamulenge kuna tatizo, wanajipenyeza kwa makusudi kwenye positions of power ili kuitawala kwa kujifanya Watanzania katika juhudi za kuirudisha ile Bahima Kingdom kisirisiri kupitia mlango wa nyuma. Kagame, Museveni, Kabila, na...wote ni wale wale!.

Paskali
 
kiukwel hawa watu hawafai mm kwetu chato kachwamba yaan ukienda eneo moja ichwankima wameshanunua maeneo kibao na wanalima sana asa hv kama wasukuma, pia wengi wao wamekuwa wasukuma kabisa kwa mtu ambae sio msukuma ni raisi kuwaamin kuwa ni wasukuma, mara nyingi ukikutana nao huwa wanataja makabila matatu, yaan " mnyambo, muhangaza au msukuma" yaan ichwankima kwa sasa ndo wao kila kitu nashaangaa serikali ipo inawafaham kabisa na wanawaona kila siku wakishusha mijengo pale na kununua maeneo. hawa niwatu hatari sana kwa miaka ijayo, maana ata Rwanda historia inaonyesha walifika kama kikundi kidogo kikitokea somalia na sudani wakiwa na mifugo, kwa sasa wahutu wote walishatawanywa na kubaki watusi ambao wanazid kujipanua, serikali liangalieni sana hili mbelen ni hatari sana kwa ustawi wa nchi yetu, tusifurahie kuwaoa na kuwawenda ndani tukiamin ni watu wema kwetu
REF; Walaka wa Mchungaji Mtikila@KAGAME APENYEZA WANYARWANDA 5000 WENYE SILAHA' Viongozi wenye mapenzi mema na hii nchi msipuuze hii inshu sisi tunaotoka haya maeneo tunawafaham vizuri sn hawa watu
 
Mimi nimekulia ushwahilini Uhuru platform, enzi hizo Magufuli akija kumuona babu yake machalila kato anafikia pale kwa mzee abdulafiew,
Habari ndo hiyo
Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kututajia huyo Katto aliyekuja unamuona, akitokea wapi?, taarifa zipo Mzee Machalila ni babu mzaa mama, jee baba yake halisi ni nani, ni mtu wa wapi, na Katto mwenyewe alizaliwa wapi?. Huu ndio Uzalendo wenyewe wa kweli.

Paskali
 
jpm
 
Does it make them criminals?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…