Wanyarwanda wenye influence na siasa za Tanzania hapa panawahusu

Wanyarwanda wenye influence na siasa za Tanzania hapa panawahusu

Just because ni majirani haimaanishi tufungue geti wamiminike weee bila brake. Unlike tanzania , rwanda ni ndogo na haina too much resources, so moja ya malengo ya kiongoz wao ni kutafuta resources karibu kuijenga nchi yao, jibu Congo . Next TZ.. hawa watu wamejipenyeza sana wakiwa na lengo moja tu.
Sisemi wote ni wabaya but hatuwez waruhu kufanya wanqchokitaka over watanzania halisi walio wakuta.

Usalama wa nchi ni kipoambele cha kwanza
Hizo ni akili za Xenophobic, mipaka yote ya Tanzania wakazi wanaongea lugha moja na upande wa pili.

Hata Congo, Rwanda, Burundi, Malawi, Mozambique na Zambia kuna makabila yanaongea Kiswahili; wakati hiyo sio official language ya nchi hizo (note sijataja Kenya).

Congo Kivu imejaa waty wanaongea Kiswahili na kinyarwanda na serikali yao hayo maeneo kama wameyatekeleza.

Swala la kujenga nchi inataka nationalism propaganda, wazaire wavivu wa hiyo shughuli.

Sasa aina maana tunafanana nao, Tanzania ni nchi inayojitambua; msaliti kwenye vyombo vya usalama anaweza kuwa raia yeyote.

Raia wa Tanzania wanaongea kinywarandwa ni watanzania, kama raia wanaoongea Kiswahili nchi jirani walivyo raia wa nchi zao.

Kuongea Kinyarwanda hakukufanyi wewe kutokuwa mtanzania.

Tusipende easy fix, mimi nawajua watanzania kutoka Ngara wanaoongea kinyarwanda na hawajui lolote kuhusu Rwanda

Nchi aiongozwi na wapuuzi raia wa Tanzania wanaoongea kinyarwanda wana hati miliki kama ya nchi kama raia anaetoka eneo lolote ndani ya Tanzania,
 
Hizo ni akili za Xenophobic, mipaka yote ya Tanzania wakazi wanaongea lugha moja na upande wa pili.

Hata Congo, Rwanda, Burundi, Malawi, Mozambique na Zambia kuna makabila yanaongea Kiswahili; wakati hiyo sio official language ya nchi hizo (note sijataja Kenya).

Congo Kivu imejaa waty wanaongea Kiswahili na kinyarwanda na serikali yao hayo maeneo kama wameyatekeleza.

Swala la kujenga nchi inataka nationalism propaganda, wazaire wavivu wa hiyo shughuli.

Sasa aina maana tunafanana nao, Tanzania ni nchi inayojitambua; msaliti kwenye vyombo vya usalama anaweza kuwa raia yeyote.

Raia wa Tanzania wanaongea kinywarandwa ni watanzania, kama raia wanaoongea Kiswahili nchi jirani walivyo raia wa nchi zao.

Kuongea Kinyarwanda hakukufanyi wewe kutokuwa mtanzania.
Hatuwez allow wahamiaji wajae kwenye mifumo nyeti ya nchi kisa wanaongea kiswahili, that is so bullshit
Naongea kifaransa kidogo, why nikienda france wananikaba? Nikienda congo, the same?

Wewe utamualika jirani, achukue uongozi wa familia yako, awe involved kwenye decision making inayo involve familia yako kisa mnaongea lugha moja?
Unajua such threat comes with that?

Xenophobic, ni kuwabagua wasiingie nchini kabisa.
waingie but kwa utaratibu unao tambulika, si kwa ujanja halaf watake kukaa nafasi nyeti

Nafasi nyeti za nchi hii ni za watanzania halisi, wazaliwa na ndio wenye haki. Sio outsiders
And that ni utaifa si unyanyapaaji
 
Ukienda rwanda jimbo la Gitarama kuna watanzania wengi ukiangalia kwa kina siyo watanzania, ila ni wale wakimbizi wa zamani waliokimbilia hapa Tanzania mwaka 1970, 1977,1994 na miaka ya karibuni,

Hapa utakutana na mzee mnonezi, mzee micheli, Ndailos, na Mzee Aganyila, hawa ni watu maarufu wanaoratibu shughuli mbali mbali pamoja na

1.Kuhakikisha wanapata uwakilishi katika ngazi mbali mbali katika nchi ya Tanzania, sekta mbali mbali,

2. Uhakika wa kupata pa kuhifadhi wakimbizi wapya wanaokuja kinyemela ndani ya misitu ya kimisi, Runzewe na biharamulo kasindaga,

3. Kuhakikisha wanaratibu wanyarwanda wote wanaoishi Tanzania kunyonya iwezekanavyo na kutuma hela nyumbani,

4.Kuyatatua matatizo yaliyowapata wenzao sehem mbali mbali Tanzania,

Majimbo ambayo wamefanikiwa kuyakamata mpaka sasa hivi
1.Wilaya nzima ya Muleba, lile ni koloni rasmi la wanyarwanda, kuanzia Mubunda, Bihija, Ngote, Kanyeranyere mpaka ziwa Burigi,

2. Wilaya ya karagwe , mabila, nkwenda, kishao na kaisho,

3.Biharamulo yote

4. Geita hapa wapo wengi mpaka wanazungumza kisukuma na wameshakuwa na ngazi serikalini

5.kigoma baadhi ya maeneo


Sekta ambazo mpaka sasa wamekalia
1.askari polisi na magereza wamepata mpaka ukuu wa magereza yaan bwana jera

2. TRA
3.uhamiaji
4. TCRA
5. Bungeni pia


Lakini kaa mkijua mpango wenu wa kuhakikisha jamaa fulani anakuwa rais hatutakubali sisi kama.watanzania wema , hatutakubali kupangiwa rais na Rwanda kisa kulinda maslahi yenu ya ukanda huu hapa tumekataa sana

Wale vijana watatu wanaotaka kusajiliwa sekta nyeti tumeshapata taarifa na kuwanyima.vibali vya kuwa nchini

BIG UP MZEE MAGUFULI

Ila punguza urafiki na Kagame
Na mbunge mmoja wa huko Daslam. .
 
Hatuwez allow wahamiaji wajae kwenye mifumo nyeti ya nchi kisa wanaongea kiswahili, that is so bullshit
Naongea kifaransa kidogo, why nikienda france wananikaba? Nikienda congo, the same?

Wewe utamualika jirani, achukue uongozi wa familia yako, awe involved kwenye decision making inayo involve familia yako kisa mnaongea lugha moja?
Unajua such threat comes with that?

Xenophobic, ni kuwabagua wasiingie nchini kabisa.
waingie but kwa utaratibu unao tambulika, si kwa ujanja halaf watake kukaa nafasi nyeti

Nafasi nyeti za nchi hii ni za watanzania halisi, wazaliwa na ndio wenye haki. Sio outsiders
And that ni utaifa si unyanyapaaji
Tanzania Ina mipaka yake na raia wao wana-lugha za asili.

Mtanzania anaengea Kinywaranda ana haki zote kama raia mwingine. Hata kuwa raisi wa Tanzania.

Kushindwa kwingine ni weakness ya kutengeneza usalama wa taifa imara.

Lakini hizi dhana za xenophobia ni chuki za watu tu, ambao pengine hawana hata urafiki au kuwai kukutana na hao (why am I even explaing this).

Kinyarwanda kuwa lugha ya asili kwa watu wa mpakani hakuwanyi wahusika kuwa na haki pungufu na wahehe au wagogo ambao wapo central,

Acheni hizi xenophobia promotion, mtanzania wa mpakani kuongea kinyarwanda sio zambi.
 
Tanzania Ina mipaka yake na raia wao wana-lugha za asili.

Mtanzania anaengea Kinywaranda ana haki zote kama raia mwingine. Hata kuwa raisi wa Tanzania.

Kushindwa kwingine ni weakness ya kutengeneza usalama wa taifa imara.

Lakini hizi dhana za xenophobia ni chuki za watu tu, ambao pengine hawana hata urafiki au kuwai kukutana na hao (why am I even explaing this).

Kinyarwanda kuwa lugha ya asili kwa watu wa mpakani hakuwanyi wahusika kuwa na haki pungufu na wahehe au wagogo ambao wapo central,

Acheni hizi xenophobia promotion, mtanzania wa mpakani kuongea kinyarwanda sio zambi.
Wanyarwanda kama wayahudi vile. Huwa hawasahau asili ya kwao na wamelelewa kwa mafundisho makalio ambayo huwarithisha Hadi vitukuu vyao...kusaidiana kwa hali na mali popote pale walipo
Wanyonyaji na huvuna mahal walipo na kupeleka kigali. Wanatafuta wanawake wenye akili mfano mtanzania wanahakikisha anaolewa na mkigali ama wanawake zao wanakamata mwanaume tajiri na mwenye influence kwenye jamii kama ilivyokuwa kwa Mzee MACHACHE...walimfungia yule madam hakufanya vizuri wakamtuma yule alikuwa miss Tz...wachaga wamepambana kweli Mali zidiondoke lkn wale twins watakuwa tu na Mali Ile itainufaisha kigali kama kawaida.....
MWIKO KUONGOZWA NA WAHAMIAJI...JAKAYA ALIJITAHID SANA MPAKA WALIMCHUKIA....HATUONGOZ KWAO, WASIONGOZE KWETU
 
Geita imekaliwa na wanyarwanda wengi sana. Yule mzee mwenye mabasi mengi Geita ni mnyarwanda typical.
 
Wanyarwanda kama wayahudi vile. Huwa hawasahau asili ya kwao na wamelelewa kwa mafundisho makalio ambayo huwarithisha Hadi vitukuu vyao...kusaidiana kwa hali na mali popote pale walipo
Wanyonyaji na huvuna mahal walipo na kupeleka kigali. Wanatafuta wanawake wenye akili mfano mtanzania wanahakikisha anaolewa na mkigali ama wanawake zao wanakamata mwanaume tajiri na mwenye influence kwenye jamii kama ilivyokuwa kwa Mzee MACHACHE...walimfungia yule madam hakufanya vizuri wakamtuma yule alikuwa miss Tz...wachaga wamepambana kweli Mali zidiondoke lkn wale twins watakuwa tu na Mali Ile itainufaisha kigali kama kawaida.....
MWIKO KUONGOZWA NA WAHAMIAJI...JAKAYA ALIJITAHID SANA MPAKA WALIMCHUKIA....HATUONGOZ KWAO, WASIONGOZE KWETU
Hizo ni akili ambazo sizo, Tanzania ni chi yenye mipaka yake.

Kila siku uhamiaji inapambana kuwakamata raia wa nchi jirani kwa makabila ya masai, wambulu, wachaga, wapare, wadigo, kwa kina wenje, Kagera waganda ni mikoa yote ya mpakani.

Sasa kwanini ushangae Tanzania kuwa na watanzania wanaoongea kinyarwanda.

Kazi ya kuongoza nchi sio rahisi, serikali zinatumia nguvu kubwa sana kwenye nationalism propaganda; nyie hata mwenye wa uhuru mnaona uchawi. I can’t blame you kwa sababu wahusika ‘hata neno’ event management watakuwa wanalisikia leo.

Huko kwa wazungu ukisikia armistice day na watu wanavas poppy flowers 🌺 sio bure ni kwamba jamaa wametumia nguvu kubwa sana kuwaelewesha kuna watu walitoa maisha yao kuipigania nchi. Hatukuweza beba maiti zote. Wale waliobaki juu ya maiti zao ziliota poppy 🌹 flowers wakivaa ni symbolism ya kujitolea.

Usalama wa taifa sio mchezo wa wapuuzi ndio ukaitwa intelligence (ni mchezo wa watu wenye akili).

Mtanzania kuongea kinyarwanda sio dhambi na hakumnyi haki ya kushika nafasi yeyote ndani ya Tanzania.

Ila sasa ulinzi wa Tanzania ni mchezo wa watu wenye akili, mpaka hapa tulipo nchi imejaza mapoyoyo.

Civil services za nchi zilizoendelea jamaa sio watu wa mzaha kabisa, ambao kwenye vichwa vyao wanafikiria kwenda kufira wanafunzi wa vyuo na mahakama zikawaacha huru.

Hawana mzaha kwenye kuendesha nchi hizo nafasi wanawapa watu wenye akili na kujitambua.

Sasa watu kazi ya kulinda nchi hawawezi wanataka kutafuta wachawi, mtanzania ana haki ya kuongea kinyarwanda kama ni lugha yake asili alipozaliwa ndani ya Tanzania.

Mengine ni kujaza watu wasio na uwezo kwenye usalama wa taifa.
 
Hizo ni akili za Xenophobic, mipaka yote ya Tanzania wakazi wanaongea lugha moja na upande wa pili.

Hata Congo, Rwanda, Burundi, Malawi, Mozambique na Zambia kuna makabila yanaongea Kiswahili; wakati hiyo sio official language ya nchi hizo (note sijataja Kenya).

Congo Kivu imejaa waty wanaongea Kiswahili na kinyarwanda na serikali yao hayo maeneo kama wameyatekeleza.

Swala la kujenga nchi inataka nationalism propaganda, wazaire wavivu wa hiyo shughuli.

Sasa aina maana tunafanana nao, Tanzania ni nchi inayojitambua; msaliti kwenye vyombo vya usalama anaweza kuwa raia yeyote.

Raia wa Tanzania wanaongea kinywarandwa ni watanzania, kama raia wanaoongea Kiswahili nchi jirani walivyo raia wa nchi zao.

Kuongea Kinyarwanda hakukufanyi wewe kutokuwa mtanzania.

Tusipende easy fix, mimi nawajua watanzania kutoka Ngara wanaoongea kinyarwanda na hawajui lolote kuhusu Rwanda

Nchi aiongozwi na wapuuzi raia wa Tanzania wanaoongea kinyarwanda wana hati miliki kama ya nchi kama raia anaetoka eneo lolote ndani ya Tanzania,
Nikifikiria ya Banyamulenge na Rwanda naona Bangara inazuka Ngara kukiwa na mkono wa PK.
 
Ukienda rwanda jimbo la Gitarama kuna watanzania wengi ukiangalia kwa kina siyo watanzania, ila ni wale wakimbizi wa zamani waliokimbilia hapa Tanzania mwaka 1970, 1977,1994 na miaka ya karibuni,

Hapa utakutana na mzee mnonezi, mzee micheli, Ndailos, na Mzee Aganyila, hawa ni watu maarufu wanaoratibu shughuli mbali mbali pamoja na

1.Kuhakikisha wanapata uwakilishi katika ngazi mbali mbali katika nchi ya Tanzania, sekta mbali mbali,

2. Uhakika wa kupata pa kuhifadhi wakimbizi wapya wanaokuja kinyemela ndani ya misitu ya kimisi, Runzewe na biharamulo kasindaga,

3. Kuhakikisha wanaratibu wanyarwanda wote wanaoishi Tanzania kunyonya iwezekanavyo na kutuma hela nyumbani,

4.Kuyatatua matatizo yaliyowapata wenzao sehem mbali mbali Tanzania,

Majimbo ambayo wamefanikiwa kuyakamata mpaka sasa hivi
1.Wilaya nzima ya Muleba, lile ni koloni rasmi la wanyarwanda, kuanzia Mubunda, Bihija, Ngote, Kanyeranyere mpaka ziwa Burigi,

2. Wilaya ya karagwe , mabila, nkwenda, kishao na kaisho,

3.Biharamulo yote

4. Geita hapa wapo wengi mpaka wanazungumza kisukuma na wameshakuwa na ngazi serikalini

5.kigoma baadhi ya maeneo


Sekta ambazo mpaka sasa wamekalia
1.askari polisi na magereza wamepata mpaka ukuu wa magereza yaan bwana jera

2. TRA
3.uhamiaji
4. TCRA
5. Bungeni pia


Lakini kaa mkijua mpango wenu wa kuhakikisha jamaa fulani anakuwa rais hatutakubali sisi kama.watanzania wema , hatutakubali kupangiwa rais na Rwanda kisa kulinda maslahi yenu ya ukanda huu hapa tumekataa sana

Wale vijana watatu wanaotaka kusajiliwa sekta nyeti tumeshapata taarifa na kuwanyima.vibali vya kuwa nchini

BIG UP MZEE MAGUFULI

Ila punguza urafiki na Kagame
Wanyarwanda wana Akili sana wala hawana tatizo lolote kuwemo nchini mwetu hawana effect yoyote.
 
Tuache ubaguzi. Mimi ni mtanzania ila naishi Kigali Rwanda . Watanzania ni wengi Sana, njoo hapa Kigali sehemu inaitwa uswahilini pamejaa watanzania na misosi ya bongo kama pilau utaipata hapa. Tuache ubaguzi
 
Huu uzi akiusoma akap lazima anacheka.. Tayari yupo chumbani,mpirani na vyombo vya Habari ...kwenye majeshi usiseme.

Kile kibabu cha Ukanda huu kinajifanya kimelala wakati ndo Hatari zaidi,kimeshasogeza mpaka mipaka mara kadhaa.

SHULE ZA MPAKANI NDO LANGO KUU.zinasajili watoto kutoka upande wa pili,wakifaulu la Saba wanachaguliwa kwenye mashule ya huku mpaka chuo wanapata mikopo then wanakula kitengo then breefing kutoka nyumbani af kazi zinaendelea.

SSIT wao fofofofofoooo
 
Ukienda rwanda jimbo la Gitarama kuna watanzania wengi ukiangalia kwa kina siyo watanzania, ila ni wale wakimbizi wa zamani waliokimbilia hapa Tanzania mwaka 1970, 1977,1994 na miaka ya karibuni,

Hapa utakutana na mzee mnonezi, mzee micheli, Ndailos, na Mzee Aganyila, hawa ni watu maarufu wanaoratibu shughuli mbali mbali pamoja na

1.Kuhakikisha wanapata uwakilishi katika ngazi mbali mbali katika nchi ya Tanzania, sekta mbali mbali,

2. Uhakika wa kupata pa kuhifadhi wakimbizi wapya wanaokuja kinyemela ndani ya misitu ya kimisi, Runzewe na biharamulo kasindaga,

3. Kuhakikisha wanaratibu wanyarwanda wote wanaoishi Tanzania kunyonya iwezekanavyo na kutuma hela nyumbani,

4.Kuyatatua matatizo yaliyowapata wenzao sehem mbali mbali Tanzania,

Majimbo ambayo wamefanikiwa kuyakamata mpaka sasa hivi
1.Wilaya nzima ya Muleba, lile ni koloni rasmi la wanyarwanda, kuanzia Mubunda, Bihija, Ngote, Kanyeranyere mpaka ziwa Burigi,

2. Wilaya ya karagwe , mabila, nkwenda, kishao na kaisho,

3.Biharamulo yote

4. Geita hapa wapo wengi mpaka wanazungumza kisukuma na wameshakuwa na ngazi serikalini

5.kigoma baadhi ya maeneo


Sekta ambazo mpaka sasa wamekalia
1.askari polisi na magereza wamepata mpaka ukuu wa magereza yaan bwana jera

2. TRA
3.uhamiaji
4. TCRA
5. Bungeni pia


Lakini kaa mkijua mpango wenu wa kuhakikisha jamaa fulani anakuwa rais hatutakubali sisi kama.watanzania wema , hatutakubali kupangiwa rais na Rwanda kisa kulinda maslahi yenu ya ukanda huu hapa tumekataa sana

Wale vijana watatu wanaotaka kusajiliwa sekta nyeti tumeshapata taarifa na kuwanyima.vibali vya kuwa nchini

BIG UP MZEE MAGUFULI

Ila punguza urafiki na Kagame
Uzi mzuri sana. Yaani wabongo kama tunabakia wajinga wanyarwanda hawalali kupanga jinsi ya kuitawala Tanzania.
Lazima tuwe macho kabisa. Watutsi waone tu hawa watu. Ni wabinafsi na wakabila 'wambari' kupindukia.
 
Ukienda rwanda jimbo la Gitarama kuna watanzania wengi ukiangalia kwa kina siyo watanzania, ila ni wale wakimbizi wa zamani waliokimbilia hapa Tanzania mwaka 1970, 1977,1994 na miaka ya karibuni,

Hapa utakutana na mzee mnonezi, mzee micheli, Ndailos, na Mzee Aganyila, hawa ni watu maarufu wanaoratibu shughuli mbali mbali pamoja na

1.Kuhakikisha wanapata uwakilishi katika ngazi mbali mbali katika nchi ya Tanzania, sekta mbali mbali,

2. Uhakika wa kupata pa kuhifadhi wakimbizi wapya wanaokuja kinyemela ndani ya misitu ya kimisi, Runzewe na biharamulo kasindaga,

3. Kuhakikisha wanaratibu wanyarwanda wote wanaoishi Tanzania kunyonya iwezekanavyo na kutuma hela nyumbani,

4.Kuyatatua matatizo yaliyowapata wenzao sehem mbali mbali Tanzania,

Majimbo ambayo wamefanikiwa kuyakamata mpaka sasa hivi
1.Wilaya nzima ya Muleba, lile ni koloni rasmi la wanyarwanda, kuanzia Mubunda, Bihija, Ngote, Kanyeranyere mpaka ziwa Burigi,

2. Wilaya ya karagwe , mabila, nkwenda, kishao na kaisho,

3.Biharamulo yote

4. Geita hapa wapo wengi mpaka wanazungumza kisukuma na wameshakuwa na ngazi serikalini

5.kigoma baadhi ya maeneo


Sekta ambazo mpaka sasa wamekalia
1.askari polisi na magereza wamepata mpaka ukuu wa magereza yaan bwana jera

2. TRA
3.uhamiaji
4. TCRA
5. Bungeni pia


Lakini kaa mkijua mpango wenu wa kuhakikisha jamaa fulani anakuwa rais hatutakubali sisi kama.watanzania wema , hatutakubali kupangiwa rais na Rwanda kisa kulinda maslahi yenu ya ukanda huu hapa tumekataa sana

Wale vijana watatu wanaotaka kusajiliwa sekta nyeti tumeshapata taarifa na kuwanyima.vibali vya kuwa nchini

BIG UP MZEE MAGUFULI

Ila punguza urafiki na Kagame
Marekani ina wageni wengi na ndio wapo sekta nyeti, haijawahi kusema mkimbizi wa nchi fulani ni hatarishi kwetu.
Ila Bongo sasa utadhani tupo 1980
 
Ukienda rwanda jimbo la Gitarama kuna watanzania wengi ukiangalia kwa kina siyo watanzania, ila ni wale wakimbizi wa zamani waliokimbilia hapa Tanzania mwaka 1970, 1977,1994 na miaka ya karibuni,

Hapa utakutana na mzee mnonezi, mzee micheli, Ndailos, na Mzee Aganyila, hawa ni watu maarufu wanaoratibu shughuli mbali mbali pamoja na

1.Kuhakikisha wanapata uwakilishi katika ngazi mbali mbali katika nchi ya Tanzania, sekta mbali mbali,

2. Uhakika wa kupata pa kuhifadhi wakimbizi wapya wanaokuja kinyemela ndani ya misitu ya kimisi, Runzewe na biharamulo kasindaga,

3. Kuhakikisha wanaratibu wanyarwanda wote wanaoishi Tanzania kunyonya iwezekanavyo na kutuma hela nyumbani,

4.Kuyatatua matatizo yaliyowapata wenzao sehem mbali mbali Tanzania,

Majimbo ambayo wamefanikiwa kuyakamata mpaka sasa hivi
1.Wilaya nzima ya Muleba, lile ni koloni rasmi la wanyarwanda, kuanzia Mubunda, Bihija, Ngote, Kanyeranyere mpaka ziwa Burigi,

2. Wilaya ya karagwe , mabila, nkwenda, kishao na kaisho,

3.Biharamulo yote

4. Geita hapa wapo wengi mpaka wanazungumza kisukuma na wameshakuwa na ngazi serikalini

5.kigoma baadhi ya maeneo


Sekta ambazo mpaka sasa wamekalia
1.askari polisi na magereza wamepata mpaka ukuu wa magereza yaan bwana jera

2. TRA
3.uhamiaji
4. TCRA
5. Bungeni pia


Lakini kaa mkijua mpango wenu wa kuhakikisha jamaa fulani anakuwa rais hatutakubali sisi kama.watanzania wema , hatutakubali kupangiwa rais na Rwanda kisa kulinda maslahi yenu ya ukanda huu hapa tumekataa sana

Wale vijana watatu wanaotaka kusajiliwa sekta nyeti tumeshapata taarifa na kuwanyima.vibali vya kuwa nchini

BIG UP MZEE MAGUFULI

Ila punguza urafiki na Kagame
Mazito HAYA...

Mara unaambiwa Mkuu wa Uhamiaji aje kua Mnyarwanda... Itakua hatari na robo
 
Back
Top Bottom