Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

Sio swala la.kuishi milele.mkuu. sumu hizo.zinaua
Sasa unywe sumu sababu unajua kua kuna kufa. Hio ni akili ama matope. Mungu amekubariki.kukupa miaka 80 ya kuishi, wewe unaipunguza kwa kusema sababu kuna kufa ngoja ninywe sumu(pombe kali).
Una uhakika gani kama unajipunguzia Miaka ya kuishi Kwa kunywa pombe.
Je, wewe unajua utaishi Miaka Mingapi Kwa kuwa hautumii Pombe?
All in all,
vipi aliyetoka msikitini, kanisani ,matembezini etc akielekea Nyumbani kwake Ghafla akiwa njiani anapata ajali kagongwa na gari, pikipiki etc anakufa, Je, kifo chake ni sahihi ndivyo Mungu alivyompangia?
Unavyoshauri sio Vibaya Pia ushauri wako usiwe Shuruti.
Ingekuwa waliokufa kwa Madhara ya Pombe Wanarudi kuishi tena ,Huu ushauri wako ungeliwafaa Sana.
Kabla haujafa haujaumbika.
Pia Pombe Sio Sumu, Wangapi walikuwa walevi ila hawakufa kwa athari ya Pombe.
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
kweli mkuu!!!
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Jitahidi kudhibiti kiwango/kiasi/ cha pombe unachokunywa.
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
SAWA
 
Umaskin mkubwa sana mkuu..
Ila wenye kampun hizo za pombe wanaendelea kua matajiri, juzi kuna mmoja kanunua gari ya milioni 700 na wako huko.kwenye mitandao.wanayaonesha mafanikio yao makubwa
Hili jambo hua linanikasirisha sana
Ukiendele na hii tabia huchelewi kuwa mchawi😊
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Liver damage (Cirrhosis &Liver failure) haisababishwi na ukali (bitterness ) ya pombe, Kinachosababisha liver damage ni Chemical ya alcohol (CH 3 CH 2 OH) of any brand i.e beer, kangara, ulanzi, komoni e.t.c. "Liver Cirrhosis may develop after only a minimal alcohol intake over a short period of time, or, despite drinking considerable amounts over a life-time, never develop"
 
Hii mada haihusiani na usabato/walokole, mada pia haihusiani na peponi ama mbinguni,
Narudia hakuna justification ya kunywa vilevi ( sumu) pombe kali na nyingine, zaidi unampa utajiri mwenye kampun huku wewe ukiangamia kwa ulevi ..
Sikia nikuambie mzee, nature inasema kuna kuzaliwa kuishi na kufa , sasa ukifa unaenda wapi hio hakuna anaejua mana hakuna aliefika huko akarudi,,,sasa usi justify kunywa sumu sababu unajua kuna kufa, hizo zinazotokea ni uncertainities za kimaisha, you are at wrong place at wrong time, na kuna kufa kwa uzembe wako, kufa kwa kua muda umefika(Gods plan) na kuna kufa kwa uzembe wa mtu/watu wengine ..
Unauwezo wa kuzuia kifo chako kwa asilimia ngapi mkuu? Unapambania kitu ambacho hata asili yake huwezi kuibadilisha?
 
Wewe usiekunywa una maghorofa mangapi hapa mjini tajiri😊
Basi kwa taarifa yako watu wasiokunywa ndio wanakuwa waasherati,wambea,wanywa kahawa majungu kwenye vijiwe na masikini.
Najua utasema waarabu ni matajiri sababu hawanywi pombe.Jibu ni kwamba utajiri wa waarabu ni wa asili toka enzi za MUNGU alivyokuwa anambariki Hajira mke wa Ibrahim mama yake Ishmael Jangwani.Hivyo baraka hizo zilikwenda kwa Ishmael na kizazi chake ambapo ndio waarabu sasa.
Halafu sijawahi ona mtu kanunua ndege au gari ajili tu sababu hanywi pombe.
Pombe ukiinywa with brain haina tatizo.Shida inakuja pale unapokunywa pombe inakutawala inaharibu ndoa na kazi yako.
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Kwani wamekwambia wanataka kuishi milele?

I am alcohol free since January 1 2024. I am planning to make that a permanent thing. But I don't feel the need to preach "acha pombe".

That is a personal decision.
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Tajiri kisukari anakitoa wapi?
Tajiri presha anaitoa wapi?

Hawa matajiri kwa nini wanaishia kumtangulia au kuongozana na mnywaji? Umeshawahi kujiuliza ukifa na maini safi Figo safi ndio umeshinda ?? Nauliza ndio ushindi?
 
Basi kwa taarifa yako watu wasiokunywa ndio wanakuwa waasherati,wambea,wanywa kahawa majungu kwenye vijiwe na masikini.
Najua utasema waarabu ni matajiri sababu hawanywi pombe.Jibu ni kwamba utajiri wa waarabu ni wa asili toka enzi za MUNGU alivyokuwa anambariki Hajira mke wa Ibrahim mama yake Ishmael Jangwani.Hivyo baraka hizo zilikwenda kwa Ishmael na kizazi chake ambapo ndio waarabu sasa.
Halafu sijawahi ona mtu kanunua ndege au gari ajili tu sababu hanywi pombe.
Pombe ukiinywa with brain haina tatizo.Shida inakuja pale unapokunywa pombe inakutawala inaharibu ndoa na kazi yako.
Kwa nini utajiri wa waarabu una kafara ndani yake? Tena Watu mazezeta au kuua wanafamilia.

Source. Waliotumikia kazi za ndani Uarabuni
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Mwisho wa siku unywe pombe usinywe pombe kudanja kupo pale pale
 
Back
Top Bottom