Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja

Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja

Wangangamare kwa nguvu zote ili kudai ZANZEXIT Vote hivyo kuwakimbia akina Nkurunzinzas, Jechas na Madikteta.
 
Kuna tofauti kati ya UK na EU.
Je UK na Scotland? Kumbuka Scotland walipiga kura ya maoni kama waendelee kuwa ktk muungano wa UK au wajitoe na walipiga wao pekee yao na wala si pamoja wenzao yaani England,Wales na Northern Ireland na hivi sasa wanadai wapige tena mara baada ya matokeo ya kura za maoni za UK kuhusu kuendelea kuwa ndani ya EU,kwahiyo si kweli kuwa mshirika mmoja wapo akitaka kujitoa lazima na wale wengine eti nao wakubali ukiona hivyo hapo kuna kulazimishana kama huu wetu
 
Je UK na Scotland? Kumbuka Scotland walipiga kura ya maoni kama waendelee kuwa ktk muungano wa UK au wajitoe na walipiga wao pekee yao na wala si pamoja wenzao yaani England,Wales na Northern Ireland na hivi sasa wanadai wapige tena mara baada ya matokeo ya kura za maoni za UK kuhusu kuendelea kuwa ndani ya EU,kwahiyo si kweli kuwa mshirika mmoja wapo akitaka kujitoa lazima na wale wengine eti nao wakubali ukiona hivyo hapo kuna kulazimishana kama huu wetu
England Vs Scotland na si UK na Scotland. Ni sahihi Zanzibar kufanya referendum kuamuwa iwapo wanataka kuendelea na muungano au hawataki.
 
Unajisifia Uislam kuingia Zanzibar karne zaid ya kumi zilizopita lakin Mnazidiwa hata na Wiaslam wa Jamaica waliopokea uislam chini ya Miaka 10 iliyopita. Kuingia kwenu Uislam Znz Mapema kuna faida gani kama mnabaguana kwny Misiba kwa sababu ya vyama?hamzikani,hamuuziani n.k Waislam wa kweli hawachonganishwi kwa namna yeyote wakabaguana na kuchukiana. Rudi kasome Siiratu nnabiy ujifunze. Nyie Wazanzibar mnaudhalilisha Sana Uislam na hamfai kutumika kama Icon ya Uislam hata kidogo.
Nyie kwenu Siasa kwanza Dini baadae
Sisi uislamu hatujisifu lakini ni wazi kuwa uislamu chini ya jangwa la sahara wameutapakaza wazanzibari. Si uislamu tu hata ukiristo chini ya jangwa la sahara nao ulianzia Zanzibar. Usichokijua usikiseme huwezi kuufananisha uislam wa Jamaica na Wazanzibar, Uislamu umeingia Zanzibar miaka 600 tokea ulipoanzishwa hata maeneo ya bara la Arabia bado.

Hujui uislamu na uache kama ulivyo. Muislamu hamchukii muislamu mwenzie isipokuwa awe asi, fitina na mnafiki;kwa sababu sifa hizo tatu ni sawa na kuwa kafir.

Wazanzibari tunafaa sana na tunaijua dini yetu vizuri na hivi karibuni Mecca wamepokonya bara wakf wakupeleka mahujaji na kuirudisha Zanzibar taifa lenye kustahiki. Sasa wewe kama mtanganyika huwezi kwenda kuhiji mpaka upitie mawakala wa Zanzibar au matawi yao waliosambaza bara.

Sasa si lazima kutambuliwa na watu wasioijua dini na wala usijitoe kutoka kwenye mada ukatafuta kichaka kingine
 
England Vs Scotland na si UK na Scotland. Ni sahihi Zanzibar kufanya referendum kuamuwa iwapo wanataka kuendelea na muungano au hawataki.
UK inatokana na muungano wa England, Scotland, Wales na Ireland sasa Scotland wanataka waamue kama wabaki ktk muungano wa UK au la na si muungano kati ya Scotland na England
 
Naona we uko busy na Kiti tu. Naokuambia Hata China pale haina ni cha Taiwan na ile VETO ni ya Taiwan, hujui hilo. Pamoja na hayo, Taiwan haipo na haijulikani kwa wengi.

Tuendelee na siasa kama zitatusaidia.
Sijui hilo kwa sababu ni uongo. Taiwan hakuwahi kuwa na kura ya veto hata siku moja na angekuwa nayo basi china asingekubaliwa kuwa mwanachama wa Umoja wa Mataifa. Turufu ya veto alikuja kupewa china baadae.
 
Ipigwe maana hakuna namna ili kupata maoni ya wananchi ila sio kwa tume ile ya Jecha.
 
UK inatokana na muungano wa England, Scotland, Wales na Ireland sasa Scotland wanataka waamue kama wabaki ktk muungano wa UK au la na si muungano kati ya Scotland na England
Hatujaelewana Kitu kidogo sana hapa sheikh wangu.ninachomaanisha ni kwamba England ndio imeimeza Scotland pia visiwa vingine vya Wales na N.Ireland
 
1.kuing'ngania Zanzibar na muungano;2. kuletamajeshi kuzuia demokrasia, 3.Tutaulinda muungano kwa gharama yoyote ile;4. na Zanzibar haichangii gharama za muungano kwa makusudi, bado mnashikilia tu!
Hujanijibu swali langu.shida ya watanganyika kuing'ang'ania Zanzibar wanataka nini? Samaki , Nyama, mahindi, ndizi mafuta, gesi, dhahabu, almasi au Kitu gani?
 
Kura ya maoni, kama ikifanyika kidemokrasia, ndio suluhu.
Kwa bahati mbaya haya yanajadiliwa huku 'vijiweni'. Mtu akitaka kunyoosha mkono ili kuomba fursa ya kujadili kwenye majukwaa rasmi, kabla hata mkono hauzidi kichwa, anaweza kuwa amepotezwa mbaya.
Hatujakuwa na demokrasia kama ya huko UK. Haiwezekani kiongozi wa Kiafrika awaongoze watu kupiga kura anayojua itaangusha kiti mfumo ulichokalia.
 
Hatujakuwa na demokrasia kama ya huko UK. Haiwezekani kiongozi wa Kiafrika awaongoze watu kupiga kura anayojua itaangusha kiti mfumo ulichokalia.
Nimeshangaa kubonyeza "reply" ikakubali, nilidhani ni zile "lecture series" za Pasco na Nguruvi na Jokakuu, kumbe wanakuja na huku kiumeni kwenye ma thread ya vurugu mechi na demokrasia...

Anyhow, Kimbori, nilimsikia bwana Nigel Farage, muasisi wa Brexit alipoulizwa kama anataka David Cameron ajiuzuru akasema ndio only because alijiingiza mzima mzima kwenye tifu hili badala ya ku stay above the fray.

Vile vile hapa kwetu nadhani kama viongozi Zanzibar na Bara wangeruhusu hizo referenda halafu wakabaki neutral mimi naamini Shein bado angekuwa na good chance ya kuendelea kuongoza, na Kikwete/Magufuli pia wasingeambiwa na mtu wajiuzuru kama wangeruhusu mchakato huru wa katiba mpya. Point is, nadhani wanaogopa demokrasia bure, wangejiweka kama ni true democrats wasingeguswa na kura za maoni.

Pasco, mimi nina swali moja. Kama unasema Katiba Ya JMT imekanyagwa na development za sheria mpya visiwani, SUK, Katiba ya Zanzibar iliyounda nchi n.k n.k, kwa nini wewe unaona ni Zanzibar tu ndio wana grievance kwenye Muungano, wewe uko sawa tu Katiba yako ku repiwa namna hiyo?

In other words, kwa nini Watanganyika tunataka Zanzibar ndio waitishe referendum, sisi tuko poa poa tu, hatuoni Muungano unatuumiza na sisi? Huku Bara tunalia kwamba Magufuli anavunja Katiba, mbona tunakubali Katiba kuvunjwa Zanzibar?

Tunaweza kuona Katiba kuvunjwa visiwani haituhusu lakini hapo ndio tunapoanza kuzoea Katiba kuvunjwa vunjwa na mwishowe inakuwa sasa Rais anaweza kupiga marufuku siasa kwa miaka minne na inakuwa poa tu. Tumeshazoea kuvunjwa Katiba. Leo kakamatwa kijana wa BAVICHA Iringa na kesi ya uchochezi wa kisiasa, political speech! Which should be sacrosanctly protected! Atakaa rumande miaka mitatu bila kesi wala kosa, lakini tumesha zoea kuvunjwa Katiba, kama virusi vilivyozoea dawa nzee ya UKIMWI, havifi, no nobody sees anything wrong with anything.
 
Hiyo inaweza kutafsiriwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni "fyoko fyoko"; ambayo matokeo yake Z'bar wanayajua.
 
Hi
Hujanijibu swali langu.shida ya watanganyika kuing'ang'ania Zanzibar wanataka nini? Samaki , Nyama, mahindi, ndizi mafuta, gesi, dhahabu, almasi au Kitu gani?
Jibu ni ulwa na kulinda maslahi.
Eneo la bahari kuanzia Mombasa mpaka Kisiju ni la Zanzibar Channel,hivyo bandari zenu zote kuu zimo kwenye mamlaka ya Zanzibar na mlipaswa kuilipa Zanzibar kwa kila chombo kinachofanya safari zake katika eneo hili;

Kisiwa cha Latham ambacho kina utajiti wa mafuta gesi na vivutio vya utalii wa bahari ni mali ya Zanzibar na vinakaliwa kwa mabavu chini ya mwavuli wa Muungano.

Hisa ya gawio la East African Currency Board la Zanzibar iliomezwa na Tanganyika.

Mafao ya wafanyakazi wa Zanzibar waliokuwa wafanyakazi wa Jumuia ya Afrika ya Mashariki iliouliwa na mafao yao kumezwa na hazina ya Tanganyika badala ya kupelekwa hazina ya Zanzibar ingawa Zanzibar ilikuwa mwanachama huru.

Orodha ni refu na kwa sababu bara hawawezi kuyapatia ufumbuzi wanaona ni rahisi kuikalia Zanzibar chini ya mwavuli wa muungano
 
kwa nini Watanganyika tunataka Zanzibar ndio waitishe referendum, sisi tuko poa poa tu, hatuoni Muungano unatuumiza na sisi? Huku Bara tunalia kwamba Magufuli anavunja Katiba, mbona tunakubali Katiba kuvunjwa Zanzibar?
Mko poa tu kwa vile nyie ndio watawala. Uongo muungano haukuumizini msingekuwa wakali kwa wazanzibari wanaoukataa Muungano. Zanzibar ina Katiba yake na hakuna katiba supreme dhidi ya nyengine. Neno zuri la kusema Katiba zinakinzana
 
Hi

Jibu ni ulwa na kulinda maslahi.
Eneo la bahari kuanzia Mombasa mpaka Kisiju ni la Zanzibar Channel,hivyo bandari zenu zote kuu zimo kwenye mamlaka ya Zanzibar na mlipaswa kuilipa Zanzibar kwa kila chombo kinachofanya safari zake katika eneo hili;

Kisiwa cha Latham ambacho kina utajiti wa mafuta gesi na vivutio vya utalii wa bahari ni mali ya Zanzibar na vinakaliwa kwa mabavu chini ya mwavuli wa Muungano.

Hisa ya gawio la East African Currency Board la Zanzibar iliomezwa na Tanganyika.

Mafao ya wafanyakazi wa Zanzibar waliokuwa wafanyakazi wa Jumuia ya Afrika ya Mashariki iliouliwa na mafao yao kumezwa na hazina ya Tanganyika badala ya kupelekwa hazina ya Zanzibar ingawa Zanzibar ilikuwa mwanachama huru.

Orodha ni refu na kwa sababu bara hawawezi kuyapatia ufumbuzi wanaona ni rahisi kuikalia Zanzibar chini ya mwavuli wa muungano
Huna hoja za msingi brother. Unaposema bandari zetu zote ziko chini ya Zanzibar unamaana kwamba sisi Tanganyika hatuna mpaka katika bahari ya Hindi ?. Pili unapozungumzia suala mafao ya wastaafu wa afrika mashariki hii imewagusa mpaka wastaafu walioko bara sasa nashindwa kuelewa Kwanini ionekane wazanzibari tu ndio wameonewa.
Tatu. Kwa kukusaidia tu manake inaonekana upeo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo.wanaokazana na muungano ni watawala ambao wanaogopa kupoteza nafasi zao kutokana na maslahi binafsi hakuna mtanganyika anayepata maslahi ya ziada kutoka huko visiwani zaidi ya shughuli za kawaida kama biashara n.k Kitu ambacho hata wazanzibari wanafanya huku bara.
 
Ndugu Pasco hivi unaona ni nani mwenye hayo mamlaka ya kuitisha hiyo referendum among Zanzibaris? Viongozi wa kisiasa au wananchi? Au hata kupropose tu serikalini hii hoja?
 
Back
Top Bottom