Wazanzibar wengi hawajui wanataka nini. trust me. wapo hivyo.... hata wakipitisha hiyo kura ya maoni wenyewe kwa wenyewe watasalitiana. Mfano mzuri tu kwenye maoni ya katiba mpya na pia hata kwenye Bunge la Katiba utaona ni wanafiki sana. Wazanzibar wanapenda kuwa na jambo la kuzungumzia kwa muda mrefu na libaki kuwa hilo hilo. nimekaa nao nawafaham yaani hawatak jambo lishe. isipokuwa kama hilo jambo laleta madhara kwao ndo watasema bore lishe. TANGANYIKA TUTAWAUNGA TU watake wastake. Tutawaunga.
Na ni watu wa kubadilika badilika.
Leo wanasema wanaogopa majeshi vinginevyo wangekuwa na kura ya maoni! Walipokaa mwaka 2010 hawakuogopa mabomu! Nani aliwasumbua?
Halafu wanasema eti wanataka muungano wa mkataba
Hivi nani amewapa mamlaka ya kuamua aina ya muungano!
Kwa nguvu gani na umuhimu gani wanaweza kusema wanataka abcd
Tunajua kwa huu muungano wao ni mzigo tu.
Hawana hoja nyingine zaidi ya kutaka mablaozi na mafao tu
Utashangaa wanasema hawataki muungano, lakini wanataka mkataba
Tunasema hivi mkataba na ZNZ utakuwa kupitia EAC. Period
Wakitaka waondoke wazima wazima, na hawana sababu za kusubiri.
Wabunge wao wasije Dodoma, wamwite makamu wa Rais, na wale zaidi ya laki 6 warudi kwao tu. Muungano wasioutaka utafikia mwisho
Tumechoka na kelele za kila siku, majukumu yakiweka wanakimbia!
Ni wakati wznz sasa wazungumzie majukumu n.k. si kila siku kulalamaaa tuu , tunataka, tupewe n.k. Wakiambiwa jukumu hata dogo wanakimbia, hawawezi
Wanataka mabalozi, hawawezi kulipia wabunge wao wanaokuja Dodoma!
Wakitaka mabalozi wapewe na wizara nzima ya mambo ya nje kuhudumia.