Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Mkuu unadhani kuna umuhimu wowote wa kubadilisha hiyo ID ?Mask inatengeneza fear....inashusha immune level... hupati vijidudu dawa... unajitengenezea ugumu wa kupumua na unameza hewa chafu na vijidudu toka kwenye pumua yako..
Mask inaleta fear na kushusha level ya human energy kutoka 5D to 3D dimension....
Aliyetengeneza ugonjwa ndio anakufundisha jinsi ya kunywa maziwa..[emoji3][emoji3]
Luciferians at work...
Uvae mask usivae by 2030 watabaki 500 millions people... reducing 95% ya population (Refer Georgia guidestones)
Wacha tufe amekufa kamanda wetu sisi ni nani tusifeNdani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani
Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Wanadumisha fikra za mwendazakeKwani alie kufa alikua anavaa barakoa? Tuanzie hapo kwanza
Kwa kukosoa tu watu watekwe halafu ionekane ni jambo la kawaida tu !1.niambie serikali ipi inayokubali kukosolewa?.
2.nini chanzo cha watu kutekwa,kukamatwa,kufungwa na hata kupoteza maisha?.
kipi kilichowaponza kama sio UHURU ULIOPITILIZA?
1.niambie serikali ipi inayokubali kukosolewa?.
2.nini chanzo cha watu kutekwa,kukamatwa,kufungwa na hata kupoteza maisha?.
kipi kilichowaponza kama sio UHURU ULIOPITILIZA?
Nilisikia utabiri kama huu kuwa Watu watakufa sana baada ya ile Kili Marathon.
😆😆😆Mimi kiongozi wenu najua mengi, hayo mabarakoa yanatoka huko yamewekewa virusi vya korona
Mkuu unadhani kuna umuhimu wowote wa kubadilisha hiyo ID ?
Mimi kiongozi wenu najua mengi, hayo mabarakoa yanatoka huko yamewekewa virusi vya korona
'inawezekana', You're just speculating.Inawezekana kabisa wanakufa sana lakini Serikali hairipoti idadi ya maambukizi mapya na idadi ya vifo pamoja na kuombwa kufanya hivyo na WHO..
Hii Nchi haina koronaNdani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani
Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Baada ya week ama mwezi tutashuhudia idadi kubwa ya vifo mfululizo baada idadi kubwa ya maambukizi kwa Asikari na waombolezaji waliofurika huko uwanja wa Uhuru bila tahadhari za barakoa kunawa mikono kupaka vitakasa mikono huku salam za kushikana mikono zikitawala ma kueneza maambukizi kwa kasi kubwa zaidiNdani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani
Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Hiki ndicho kitafuata kuna idadi kubwa watafariki baada ya siku chache kwani kuna maambukizi makubwa yamepenyezwa hapoWamedanganywa na Marehemu mwenyewe hakutaka kwenda pekee yake, alitaka wapendwa wake wamfuate hata kabla hajazikwa kukamilisha kazi aliyotumwa na yule mwovu.
unataka niambia wote waliokufa kwa corona walikuwa hawavai barakoa...? sizan kama barakoa ndio inaweza kukuweka mbali na corona, afu msitutishe,mtuache tuishi maisha yetuMkuu in two weeks wiki ya kwanza na ya pili April maambukizi yataongezeka sana na baadhi kuishia kaburini.
Hiyo lock down ya Miezi 3 utakuwa una wahudumia Wewe?Corona haiui kirahisi hivyo. Acheni kudanganya watu. Vaa Barakoa yako. Fanya mazoezi. Kwa mtu mwenye afya Ni mafua tu hayo mazito.
Kwa mimi niliyekaa huko 11-mpaka mwishoni mwa December 29.12 Kukata mitaa yote. Na kuhudhuria sherehe zote kuanzia ndoa mpaka kipaimara. Nk. Mipira mpaka ya mtaani Barakoa zangu 25 nilizokuja NAZo zikiwa kwenye bag nyumbani badala ya kuzivaa kama huku. Dar na kigoma na Bagamoyo sehemu nilizopita kama ilikuwa na corona Basi itakuwa ilifichwa kibiti. Mana nilipima huku kabla. Nikapima huko. Then nikapima tena huku Mara za kutosha lakini. Mimi na mke Wangu hatukuwa na positiv.
Inawezekana Sasa Labda Kuna mtu badala ya kutuletea Tz Mali Akileta corona yenye tabia ya peke yake. Mana wenzetu huko utaskia Corona lashindwa kupumua kafa. Sio rahisi namna hiyo. Ndo mana Kasema chunguzeni aina ye kirusi Chenu. Acheni kunyoshana vidole. Hivi kama kweli CHadema mna wanachama mill 28. wakivaa hawa Barakoa si Ntakuwa mmetuokoa watu Achane habari za marehemu na watu Wake. Nyie anzeni kuandika mauzi ya kuwahamasisha wanachadema kuvaa Barakoa na kupiga lockdown kama Sisi huku 3 months. Please. Itaneni tuanze Kesho. Kampeni vaa barakoa na back home total lockdown 3 months. Life would be very simple.
Marehemu anataka asindikizwe na wengi ndiyo maana covid 19 imesimama hapo hapo uwanja wa Uhuru ipate kuwanasa wengi ambao hawataki kuvaa barakoaMask inatengeneza fear....inashusha immune level... hupati vijidudu dawa... unajitengenezea ugumu wa kupumua na unameza hewa chafu na vijidudu toka kwenye pumua yako..
Mask inaleta fear na kushusha level ya human energy kutoka 5D to 3D dimension....
Aliyetengeneza ugonjwa ndio anakufundisha jinsi ya kunywa maziwa..[emoji3][emoji3]
Luciferians at work...
Uvae mask usivae by 2030 watabaki 500 millions people... reducing 95% ya population (Refer Georgia guidestones)
unataka niambia wote waliokufa kwa corona walikuwa hawavai barakoa...? sizan kama barakoa ndio inaweza kukuweka mbali na corona, afu msitutishe,mtuache tuishi maisha yetu
corona ni ugonjwa kama magonjwa mengine