Wapagani wa kale waliabudu Utatu Mtakatifu

..atleast the Bible is the Only book ambayo haijicontradict Unlike vingi,alafu the Bible was not written by Jews ni manabii wengine wakavikusanya pamoja
Numbers 23:19
God is not a man, so he does not lie. He is not human, so he does not change his mind. Does He speak and then not act? Does He promise and not fulfill?”

Genesis 6:6‭-‬8
And it repented the Lord that he had made man on the earth, and it grieved him at his heart. And the Lord said, I will destroy man whom I have created from the face of the earth; both man, and beast, and the creeping thing, and the fowls of the air; for it repenteth me that I have made them. But Noah found grace in the eyes of the Lord.

biblia inasema baada ya nuhu kupata neema machoni pa bwana, mungu akabadili mawazo na hakuiangamiza dunia.

mungu anasema habadili mawazo, wakati aya nyingine zinaonesha jinsi alivyobadili mawazo.

hio ni mojawapo ya contradiction.
 
..Kwanza ujue kwamba Judaism sio upagani as u say it sema they Beleive in salvation by physical efforts lakini tunajua huwez kuepuka dhambi and Yes Origin ya Biblia ni Hebrew Bible

Najua. Kuwa Judaism sio upagani na sijasema ni upagani na siwezi kuongea that. Na kwa Judaism wao wanaona Christianity ni Upagani.
 
Word....
 
ukiangalia vizuri utaona inaitwa Roho ya Mungu, pia Yesu Mwana wa Mungu. lakini hakuna baba wa Mungu kwasababu baba ndiye Mungu ana Roho na yesu ni Mwana wake. pia huyu baba mara amekuwa akiwiwatuma hawa wawili.
 
Hivlile saam ni lannani? Hivi siiyule jamaa muigzaji?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Najua. Kuwa Judaism sio upagani na sijasema ni upagani na siwezi kuongea that. Na kwa Judaism wao wanaona Christianity ni Upagani.
ukiichunguza judaism nayo ina upagani wa hatari,hata kitabu chao cha Talmud
 
Mungu ni mwana ume au mwanamke mfano wake ninani katti ya me na ke
 
kutoka kwenye biblia.. "sio kila atakaesema bwana bwana ataingia mbinguni"

umewahi kuona bwana wa kike?
[emoji45][emoji34][emoji19] kwhiyo kuna mama wa mungu na BABA WA MUNGU ambaye .Mwanao ni yesu
 
kwanini watu wameendeleza hii ibada ya kipagani?



Brahmma, vishnu na Siva wahindi.


Kwa nature ya mwanadamu ana uungu/utukufu wa Mungu ndani mwake, aliubwa nao hivyo wewe kufanana na baba yako au kutenda kama baba yako siyo shida!

Ila shida utakuja ukitaka madaraka ya baba yako ikiwa ni pamoja kumtaka mama yako awe mkeo au dada kudai babaye awe mumewe hapo ipo shida kubwa.

Kwa mifano kidogo sikutaka kukujibu kwa kuhusisha misaafu km biblia, koran na mingine ila tambua Mungu watu wote ni wake ata wasio na dini. Ila inampendeza akiona wanachukua muda kujifunza na kumjua.
 
huwezi jumlisha vitu visivyofanana. ni sawa kusema meli+andazi+shati
Mkuu hapo siyo kweli maana utapata 3units labda utakosa jina la hiyo jumla nikimaanisha SI Unit. Lakini kiniambia huwezi jumlisha vitu visivyofanana napata wasiwasi kwamba kwako hesabu ndio tatizo
 
[emoji45][emoji34][emoji19] kuna mama wa mungu na BABA WA MUNGU ambaye .Mwanao ni yesu
hem twende taratibu tupate jibu..
mungu alisema "na tuumbe mtu kwa mfano wetu "
wewe unahisi hili neno "wetu" linamaanisha nini?

tusigombane, tujadili.
 
kwanini watu wameendeleza hii ibada ya kipagani?



Brahmma, vishnu na Siva wahindi.


Kitu kingine watu wanao hoji uwepo wa Mungu uelewa wao ni mdogo sana! Hawezi kujenga hoja fikirishi mara nyingi huwa wanajenga hoja bishani tu. Mfano kama ungefikiria kidogo au ukatoa mfano ambao unainesha binadamu(wapagani) kuwepo kabla ya Mungu basi tungesema Mungu aliiga kwa binadamu but what if hao wapagani ndiyo waliiga kwa Mungu na ndivyo ilivyo na kwa kufanya hivyo hasira ya Mungu iliwaka juu yao kawatafute leo km wapo.

Mtu mjinga tu ndiye anaweza kujenga hoja dhaifu kuhoji uwepo wa Mungu.
 
Kwani ukisikia miaka 2000 kabla ya kristo. Unafikiri yesu hakuwepo? Hakuwa amekuja duniani ila tuliahidiwa kuwa atmamtuma mwanae ambaye jina lake ndio hatukulijua. Ila utatu mtakatifu ulikuwepo kwa hiyo wapangani ndio walioiga utatu huo
ukicheki hapo juu utaona Wamisri waliamini utatu miaka 2,000 kabla ya Yesu. kwahiyo wakristo ndiyo walichukua hili fundisho toka kwa wapagani.
Kwani ukisikia miaka 2000 kabla ya kristo. Unafikiri yesu hakuwepo? Hakuwa amekuja duniani ila tuliahidiwa kuwa atmamtuma mwanae ambaye jina lake ndio hatukulijua. Ila utatu mtakatifu ulikuwepo kwa hiyo wapangani ndio walioiga utatu huo
 
mi ni mkristo na naamini uwepo wa Mungu.
 
Huu ni ushahidi tosha kwamba wakristo wanaabudu roho za MAJINI,MASHETANI NA MAPEPO.
Hivi mungu gani anaombwa kwakutumia mafuvu ya wafu? MAHABA NIUE AT WORK
Ndugu zetu mmeingia chaka baya sana na kutoka hamuwezi

Halafu bado waliwachoma moto wachawi kipindi cha Medieval Barani Europe.

Sasa wana tofauti gani na uchawi? Maana mpaka waamini ili ulimwengu upone ilihitajika kafara ya Mtoto wa Mungu auawe. Damu yake na mwili wake kila jumapili wanakula.

Its illogical, ni sawa na uchawi sema tu ni uchawi wa kisasa ambao kwa sababu ni mzungu basi atakuwa yupo sahihi. Uchawi wa suti na tai. Naamini haya Yesu kama anaona haya atakuwa anashangaa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…