Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama

Utawaweza mayahudi kwa kusema uongo wewe .Kwanza taarifa zinaonesha wengi waliokufa kwenye hilo tamasha la muziki ni kutokana na makomjbora ya helkopta za Apache.
Huyo aliyevishwa bendera ya Israel yawezekana ni mpalestina wa Gaza na hatuna namna ya uhakika kujua.
Ukija Gaza tunaona viungo vya watu wanaouliwa na Israel mubashara kwenye runinga na wala si picha za makumbusho.
Kwenye hiyo picha hapo juu ni kitu gani kinaonesha kuwa alibakwa.Na kwanini wapalestina wabake wasichana wa Israel wakati huko kwao kuna warembo zaidi ya hao wanaotafuta waume na waliwawacha ili waende vitani.
 

Watakwambia ni propaganda za wazayuni. Hamas hawakuua raia.
 
Acha wapigwe hadi watoe hao magaidi Hamasi hadharani,Wakiendelea kuwakumbatia watafutwa woteee kama isemavyo 1Samwel 15.
 
Huu ndio ukweli mkuu.
 
Achieni Mateka wasio na hatia.. Pumbavu.. kwa Hamas Arabs country wameshindwa kuwaunga mkono maana kuiga Matendo ya Mohamed sw katika karne hii hata Saudia Arabia hawezi kukuunga mkono japo ni uislam haswa uliofanywa na Hamas.. and kudanganya watu kwa kutumia Aljazeera na vi TV uchwara vya waarabu kuonesha Watoto wanaigiza kufa na kujipaka tomato source kila news washachoka.. na kupuuzia watafute njia nyingine tena even waandamanaji nchi nyingi washajua wanachezeshwa mziki na Hamas.. stage news foolish achieni Mateka wekeni Silaha chini. Muishi ugenini kwenye Land of Israel sons even Koran ime confirm
 
Wapi Qur'an imeconfirm hicho unachokusudia.
 

Kuuwa watoto, wamama, wazee na wagonjwa huo ni umama, na sio uanaume
 
Mbona JW ilifanikiwa kufukuza magaidi kule kibiti?!
Magaidi ni watu gani ? Kama Ugaidi ni Ideology tambua kwamba hata wewe kesho unaweza ukawa gaidi kutokana na fikra utakazopata kulingana na kuona labda kuna uonevu sehemu fulani...

Sasa kama kuna watu wanafanya recruitment kutoka kwa watu ambao wanakuwa brainwashed kuonesha uonevu wa aina yoyote hapo ni kuwaongezea pool ya recruitment..., alafu unajua kwanini kuna kitu kinaitwa Terrorists Cells ? Ni kwamba watu kama hawa hawana kiongozi; kiongozi wao ni ideology kwahio huenda mtu akafanya mambo ya ajabu bila kukutana na so called kiongozi yoyote wala kuwa na communication...

Hivyo kuepuka ugaidi ni kuonyesha kwenye Haki inatendeka na kukemea upuuzi na madhara kwa mtu / watu wowote wale no matter wanaitwa au wanatokea wapi unless otherwise tutakuwa tunaua mmoja na kudhalisha wanne...,
 
Umeanza kulialia!! Tulikwambia
 
Magaidi ni hamas wakifadhiliwa na Iran
 
Yaani hapa ndio utajua kuwa kuwa mpole sio ujinga bali ni akili kubwa........kwa ujinga wa hamas wamesababisha mauti na majeraha yasiyo na idadi kwa raia wasio na hatia ..............kwa ujinga wa watu wachache tu.....haya kwa yaliyofanyika mlisema hamas kashinda je kachukua ardhi yake ?? Au bado yuko kwenye tobo anamuogopa myahudi
 
Huwezi wamaliza magaidi bila damu za raia wasio hatia.
Yamefanyika Iraq kuwamaliza ISIS yamefanyika Syria kuwamaliza ISil wanakufa wachache kwa faida ya wengi
 
Alwaz umeandika mada yako Kwa uchungu mkubwa Sana mara nyingi huwa nasoma mada zako ila leo naona upo deep Sana.
Huu uchungu ulio nao umenikuta nami pia juzi baada ya Israel kupiga kambi ya wakimbizi kwa siku mbili mfululizo nilikuwa naangalia watoto wadogo kama wanangu jinsi wanavyokufa na kupoteza wazazi wao kwa kweli inaumiza

Kwa upande Fulani hizi shida ambazo wapalestina wanapata zinatokana na waarabu wenzao wenye nguvu Kati ya Iran na Saudi Arabia kutoelewana kiimani,kiitikadi na kisiasa, ebu fikiria hawa jamaa wangekuwa ni kitu kimoja kama ilivyo USA na nchi za magharibi hii dunia ya waarabu ingekuaje? Ni nchi Ipi ingeweza kugusa muunganiko wao kiuchumi,kijeshi na usalama?

Tatizo kubwa la waarabu ni kubaguana wao kwa wao Kwa misingi ya kiimani Kwa kifupi hawana tofauti na Sisi waafrica... angalia jinsi wazungu walivyoweza kuwagawa waarabu kiuchumi yaani zile nchi zote ambazo wazungu ni marafiki wao ziko vizuri kwa kila sekta na zile ambazo Iran anazisaidia ni vita tupu
 
Vita hainaga macho!
 
Write your reply...ugaidi wa waarabu kama hamas ni wakipumbavu sana..hawa jamaa siwapendi na mashabiki zao hawaeleweki mara washangilie mara waanze kulia lia kama watoto...dadeq si tumetulia tunawachek tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…