Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama

Magaidi ni hamas wakifadhiliwa na Iran
Kesho wakija wanaoitwa Pro Palestinians wakifadhiliwa na watu wasiopenda Israel wataacha kuwa magaidi ? Ndio maana nikakwambia ukipigana vita na Jeshi unajua nani wa kumaliza ukipigana vita ambavyo ni ideology, unapigana na invisible enemy kwahio mabavu ni last resort sio mzuizi...;

Mfano Osama waliopiga Ubalozi wa Tanzania na Kenya hata Osama walikutana nae ?; Watu wanaopigana kwa Jina la Muumba wao Je ni kweli Muumba wao anahitaji msaada ?; Hivyo utaona kwamba hao watu na wengine wote wakikemea kwamba Kumaliza Raia mmoja haina justification ya aina yoyote au sababu hawa wanataka Taifa lao Huru la Palestina wakiwapa hilo Taifa huenda wakiendelea kudai wataonekana ni wakorofi (Kama ambavyo kila mtu ali-condemn Ubalozi wa Kenya na Tanzania ulivyopigwa Bomu)
 
HAMAS ni nani ? Hivi unajua shida ya vikundi kama Hamas ni recruitment ya watu (tena mbaya zaidi hao watu wala sio wanajeshi, unaweza ukakuta jirani yako au mwanao amekuwa recruited sababu ya hio ideology) Sasa niambie hapo HAMAS imeshindwa au imekuwaje...; Unajua kitu kinatiwa Terrorists Cells ?

Kwa HAMAS the end justifies the means kwahio unajuaje kama motto yao ni afadhali rather die like a man than live a coward ? Sasa methodology unayotumia inapelekea kupunguza au kuongeza watu wenye fikra hizo...
 
Israel haiwezi kujilinda isifutike kwa kuua raia wa Palestina na kuwawinda Hamas.Hicho kitu kiko njiani na hakiko mbali.
Endelea kujifariji kila uchwao drones zinadondosha maghorofa tu huko Gaza.
 


Mambo yamebadirika ghafla hii mashujaa wako wanagaragazwa? Nikajua ndio kwanza wanaenda kuitimua Israel kwake.
 

Sasa mbona huko Israeli wamewakamata mateka zaidi ya elfu 10 na wako ndani wengine zaidi ya miaka 30 , mbona hawaaachiwi wote , ??

Wewe endelea na ukafiri wako wenzako hivi vita vimewaamsha , wamepata nafasi wakausoma uislamu na wamesilimu kwa kuuona ukweli

Your browser is not able to display this video.
 

kwani nyinyi mnapenda ushoga ndio mkashabikia Israili ??
 
Your browser is not able to display this video.
 
Juzi tu tuliwaambia kuwa mtaanza kulialia tena. Israeli akisitisha mapigano mara mnasema ameshindwa vita. Aise ninyi hamna jema kabisa.
Ukiwapiga unawaonea, ukiwaacha unawaogopa

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Na watu kama nyie ndio mnaupa Uislamu a Bad Name..., na kuwapa fursa ya kuwa-brush waisalamu wote kwamba wana fikra kama zako....

Ni mpuuzi pekee anayeishi kwenye dunia ambayo ni multicultural kutaka watu wote wawe kama yeye...
 
mwenye nguvu ni Mungu peke yake au huelewi ??
Mungu ni katika ulimwengu wa roho lkn ktk ulimwengu wa damu na nyama mambo ni tofauti

😁 Unajua kwann unatumia fake ID
 
Mungu ni katika ulimwengu wa roho lkn ktk ulimwengu wa damu na nyama mambo ni tofauti

😁 Unajua kwann unatumia fake ID
Mungu hana mambo ya kiroho mbali na ya kimwili mbali yote ni yake

Natumia fake id kama unavyotumia wewe Mpaji mungu πŸ˜›
 
Na watu kama nyie ndio mnaupa Uislamu a Bad Name..., na kuwapa fursa ya kuwa-brush waisalamu wote kwamba wana fikra kama zako....

Ni mpuuzi pekee anayeishi kwenye dunia ambayo ni multicultural kutaka watu wote wawe kama yeye...

wenzako hawa wengine wanasilimu wewe shabikia mashoga




Armenian priest Razmik Kasturianni converts to Islam and changes his name to Ramadan.
Allahu Akbar
 
wenzako hawa wengine wanasilimu wewe shabikia mashoga

View attachment 2833831


Armenian priest Razmik Kasturianni converts to Islam and changes his name to Ramadan.
Allahu Akbar
SIna muda kama wewe kufuatilia maisha ya watu au maamuzi ya watu, ninaheshimu choices za mtu yoyote yule ilimradi havunji sheria wala kuumiza mtu yoyote....

To each his/her own......
 
Hizo nchi za kiarabu hata zikiungana zote bado zitabaki sio chochote wala lolote kwa hizo nchi za wazungu.

Tukubali kuwa wazungu walishatangulia kitambo na bado anatuongoza huku mwendo wao ni wakukimbia wakati sisi tunaoongozwa mwendo wetu ni wakutembea.

Huyo Irani sio chochote kabisa na misaada anayoitoa kwa waarabu wenzake ni ile misaada ya kijambazi ambayo haitawaendeleza wenzao badala yake inawatengenezea uhasama na chuki dhidi ya nchi zingine kitu ambacho kinakuja kuwapelekea wapokee kipigo cha mbwa mwizi kama Palestina
 
Wazungu wametuacha miaka 300 nyuma
 
Kwenye andiko lako mkuu, limenihudhunisha sana mkuu, hata hivyo, Wayahudi waachwe tu wasichokozwe tena na ili amani iendelee kutawala

Hao majamaa, walishapitia madhila mengi mno katika historia yao, kunyanyasa, kuuwa na kutokuwa na huruma, wanaweza na ndivyo walivyo, wao wanaimani kali saana kushinda itikadi zote za imani duniani

Na lingine, hayo majamaaa, kwa tekinolojia yako juuu sanakulikoni watu wote duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…