Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama

Waarabu wakiungana wiki tu hutasikia NATO EU wala upuuzi gani
Iran hua inawaspoti wanyonge daima safi sana Iran
 
Asante mkuu nimekuelewa.
 
Nashukuru kuwa umenielewa na kuungana na mimi katika huzuni.Nilipokuwa nikiandika hicho kipande katikati yake nilisimama nikalia halafu ndio nikapata nguvu kuandika.
Nilijenga hisia za wale watu wazima walivyovamia bekari iliyopigwa bomu kwa makusudi ili watu wasile na wakaokota mikate iliyokuwa tayari na wengine kuondoka na vifaa vilivyobaki kwenda navyo huko waendako.Nilijenga hisia kuwa hata hicho walichookota huenda wasiwahi kukila na wakapigwa bomu wakafa.
Nikaangalia ule msururu wa akinamama na watoto wao ambao hata katka shida hiyo huwa wanajisitiri kulinda imani ya dini yao na wengine wakiona watoto wao wameshakufa wanapiga kelele lakini zinakwenda wapi.Sikuweza kuendelea nikalia tena.
Hapo mwisho ndio tumetofautiana mimi na wewe.Mimi siamini kuwa Israel inabaki pale kwa teknolojia.HIzi teknolojia za kisasa ndizo zitakazowafanya wawaheshimu binadamu wenzao.Teknolojia za coding na hacking na AI hakuna atakayekuwa mwamba huko tuendako.
kinachowafanya vile vile wabaki ni roho mbaya kutokana na dini yao ambayo imeshapitwa na muda hata kuliko ukristo.Kama wao wanakumbuka madhila waliyopata kwanini hawakumbuki madhila ya wenzao.Wamekataa kata kata kuundwa taifa la wapalestina watakaloishi nalo jirana.Wanafikiria roho zao peke yao.Kwa hali hii makundi kama Hamas ambayo hata wafanye nini hawataweza kuyamalizan ndiyo yaakayoifanya itie akili na kujua kuwa wao pia ni binadamu na si wateule wa Mungu.
 
Watu waliokuwa na utajiri na familia zao mara wanajikuta wamebaki wapweke na hata mikoba ya akiba zao imewapotea na wanajikuta omba omba na waokotaji kwenye magofu ili wapate cha kula bila kuchagua ubora.
Funzo kubwa sana....Mwenyezi Mungu usiwapite watu wako vitani....Mwenyezi Mungu tunaomba endelea kuilinda Tanzania🙏
 
U
Umeandika vizuri sana ndugu kwa hili pia nakuunga mkono Ila kinachotokea pale ni mgogoro wa aridhi sio mgogoro wa kiimani kama ilivyo kwa waislamu wa china, India au mymar sema ni vile tu wenzetu mmegoma kumtofautisha waarabu na uislam,
Ila kiukweli kwakinachoendelea pale kati saiv hata television nimeacha kuangalia habar za middle east nashindwa kuvumilia kuangalia watoto wanavyosafa halafu Dunia imekula buyu as noting ah gwan
 
Sasa hueleweki. Inawezekana umechanganyikiwa. Mpaka sasa israel tumewapiga au bado? Nijue moja
 
Wapigwe tu bila huruma
 
Kwanini hata sasa Hamas wasisalimu amri tu ili kuokoa maisha ya wapalestina kuendelea kupotea?

Mleta mada anza kuwaza katika angle hiyo ikiwa kweli unawapenda wanawake na watoto wanaoteketea Gaza.
 
Hamas nia yao ni kuifuta Israeli. Sasa unataka wayahudi wajadili nini hapo?!
Wewe unaweza kujadiliana na mtu anaetaka kukuua?
 
Natumia fake id kama unavyotumia wewe Mpaji mungu 😛
😁 Mwisho wa siku Kuna Watu Wana nguvu kuliko ww wanaweza kukufanya chochote na hamna kitu utafanya.....njoo ubishe mfano rahis tu umepewa access ya kutumia fake Id na mtu mwenye nguvu ili uwe free kusema chochote bila kudhurika na watu wenye nguvu kuliko ww
 
Hamas nia yao ni kuifuta Israeli. Sasa unataka wayahudi wajadili nini hapo?!
Wewe unaweza kujadiliana na mtu anaetaka kukuua?
Hamas according to you (unasema kwamba wanataka kuifuta Israel) Jambo ambalo Hamas wanawaambia watu wanaotaka kuwa-recruit tunataka kuwapa Taifa lenu ambalo lipo occupied..., Sidhani kama HAMAS wangesema tuungeni tufaifute Israel wangepata watu (Au wale watoto wanaozaliwa sasa hivi na nyumba zao kupigwa mabomu usiku na mchana ukiwauliza adui ni nani unadhani watakwambia nini au kesho wataenda kujiunga na hao the lesser of the two evils (according to where they stand)


Yaani hapo wewe kama recruiter wala hauhitaji maneno mengi..., Now tell me nani anataka kumfuta nani ?
 
Magaidi ni hamas wakifadhiliwa na Iran
Wewe bado Una lala huja amka usingizini,unamjua gaidi kweli 11 September ulikuwa na umri gani kijana ,Nani alimuua muammar gadaf vita vya Iraq vita vya Syria vita vya Vietnam iroshima na Nagasaki vita vya wanyarwanda wenyewe kwa wenyewe chanzo unakijuwa na Kwa nini waliuwana ilikuwa ilikuwa ni préparation War ya kuingiya Congo wewe unalijuwa hili ao unaandika tu ilimradi na wewe uwandike .vijana mjifunze kungamua mambo Kwa mtazamo mwingine Ila nacho kwambia hii ni vita ya 3 ya dunia uamini usiamini maana kuna kitu kinaitwa new world order na Muda ni kama umekwisha ndo maana karibia dunia nzima kuna vita ni mpango wakupinguza watu duniani na wewe ukiwa ndani mana yake hapa hakuna alie kuwa Salama wenzako Wana maono Yao na Yale unayo yaona kwenye TV Unayo skia kwenye radio ni moja kati ya matango Pori wanayo lishwa wa vivu wa kungamuwa mambo makubwa .mzayu na mshirika wake marekani Hao ndio wanataka kuitawala dunia na kumkaribisha antichrist kuwa makini Sana Kwa kuangalia mambo.lakini Sawa Hamas ni gaidi Israël anacho kifanya kuuwa watoto wa mama na watu wazima wa sio kuwa na hatia wewe unaona ni Sawa na moyo wako unafurahia kuwa na moyo wa kibinaadam wale wanaopigwa ni watu kama wewe wanayo Haki ya kuishi na mungu yupo anaona
 
Bro shida ina kuja sehem moja haya unayo yaona Leo ni mikakati na mipango ya muda mrefu walio panga mayahudi walijuwa iko Siku moja tutakuja kusimama na kuitawala dunia sio mwarabu tu hii kitu IPO karibia dunia nzima kuna mikataba uchwara walisha signishwa inchi kibao Kwa faida Yao na Leo hii wako natekeleza waone kama wanaweza kwenda na speed ya new world order na muda ni kama umabakia mchache.


Ukitazama vizuri utaona ni kama karibia inchi nyingi ziko na vita,na ukiusoma mchezo vizuri utagunduwa nyuma ya pazia America IPO mkuu
 
Raia wote wa gaza wana asili ya ugaidi

Wamalizwe tu
Hahahhh Afghanistan Kiko wapi Leo Israël anacho kifanya kuuwa civilian wasio kuwa na hatia ndio mwisho wake,alaf kingine hii vita haishi Leo ao kesho mkuu hata 50 years plus anavouwa raia watoto wadogo wa mama wazee ana zalisha wakina Hamas wengi na uadui mwingi hawezi kuwa salama
 
Na watu kama nyie ndio mnaupa Uislamu a Bad Name..., na kuwapa fursa ya kuwa-brush waisalamu wote kwamba wana fikra kama zako....

Ni mpuuzi pekee anayeishi kwenye dunia ambayo ni multicultural kutaka watu wote wawe kama yeye...
Mkuu Acha kutowa povu hujalazimishwa kuwa mu islam amekwambia wenzio kutokana na mambo yanayo endeleya Gaza wamepata fursa ya kujifunza uislam ni Nini ,lakini sio lazima Uwe mwislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…