Ndio shida ya kukopi kazi za watu Quruani ilikopi vitabu vilivyokuwepo kipindi hicho na kutokana na watu kipindi hicho asilimia 90 walikuwa hawajui kusoma sasa ndio maana wanaamua kulida Dini kwa Silaha 😁Quran siyo kitabu cha jiografia au tawala za mikoa na serikali za mitaa
Inahusiana vipi na kuwa kitabu cha jiografia?!..halafu mbona argument yako haina muunganiko, Quran ilikopi nini,huko ilikokopi kumesema wapalestina ni akina nani!?.. punguza kushinda mitandaoni,akili inakua butuNdio shida ya kukopi kazi za watu Quruani ilikopi vitabu vilivyokuwepo kipindi hicho na kutokana na watu kipindi hicho asilimia 90 walikuwa hawajui kusoma sasa ndio maana wanaamua kulida Dini kwa Silaha 😁
Sio waislamu na hawahusiani na uislamuIbrahim katoka israel na alikua myahudi?.. israel si ni yakobo, kabla yake hapakua na mitume/manabii!?..we hujui chochote unabwabwaja tu!
AlamsikiInahusiana vipi na kuwa kitabu cha jiografia?!..halafu mbona argument yako haina muunganiko, Quran ilikopi nini,huko ilikokopi kumesema wapalestina ni akina nani!?.. punguza kushinda mitandaoni,akili inakua butu
Ibrahim hakuwa myahudiSio waislamu na hawahusiani na uislamu
Acha kushobokea wayahudi hao wana history Yao ,nyie nendeni kwa makureshi
Inatambua tanzania au tanganyika?..kuna saudi arabia ndani ya Quran?..nyie mapunguani sanaQuran yako haiitambui Palestine
Kupiga na kupokeaMcenge nini,simu yako ina kazi gani!?
Mcenge nini,simu yako ina kazi gani!
Matusi mengi afu unajifanya unaijua sana Quran,hayo matusi ndo umejifunza kwenye Quran?Mcenge nini,simu yako ina kazi gani!?
Wakati wa Musa hata ukristo haukuwepo.Kwa mujibu wa Quran Wana wa israel ni race na si dini, Quran inasema musa ni mtume wa Allah na ni muislam na si myahudi,kwa misingi ya Quran uyahudi ni imani/dini,kwa hivyo netanyahu na wayahudi wenzie ambao ni wazungu wa poland na ukraine siyo Wana wa israel na hawahusiki na hizo aya za Quran,hata DNA zao siyo za kisemitiki(semitic)
Quran inasema uislam ulianza tangu enzi za adam..!
Ndio ila inatambua kuwa eneo hilo lilikuwa na wenyeji na wala hakuna sehemu ina onyesha wenyeji waliuliwa WOTE, kwahiyo wapoQuran yako haiitambui Palestine
Hapa ndugu zangu waislam wametiwa Giza la ufahami, Mimi hua na waambia hata taratibu zao za kiimani zinashabihiana wanabaki kuduaaPapa ndiye muanzilishi na Engineer wa dini ya Uislamu
Ukatoliki ndio walioanzisha uislamu wakimtumia Muhammad
Padre Waraq na bi Khadija aliyekuwa mkatoliki ndio waliompa utume Muhammad
Unaanza kutokumwamini Allah mkuu, unayemwamini ndiye aliyewaambia Israel warithi wa hiyo nchiWewe Mungu wako akikwambia ingia nchi ya wazaram akupe iwe yako kwa masharti maalum,ukishindwa kufikia hivyo vigezo na masharti ya kuchukua nchi ya wazaram,bado utahitaji andiko lisemalo nchi ya wazaram ni nchi wazaram!?