Wapalestina sasa kuuliwa kwa kunyimwa maji na msongamano wa makazi

Wapalestina sasa kuuliwa kwa kunyimwa maji na msongamano wa makazi

Wewe ndio wenye roho ngumu kama hao wayahudi.Kombora la kuuwa watu mia tano ni wazo la kuona wengine ni wajinga sana kuelewa.
Kombora hilo linaruka namna gani likauwa watu kutoka chini ya Ardhi.Lazima litoke angani na kutoka ndege zenye kubeba mabomu ya nguvu kubwa.Vfaa hivyo Hamas hawana.na hata kama wanavyo hawawezi kufanya unyama huo kwa wagonjwa na madaktari.
Aljazeera wameonyesha video iliyoonyesha malfunction ya kombora la Hamas likidondoka eneo la hospitali.

Alafu Israel imekata maji yake, maji imeyakatia nchini kwake haijaenda Gaza kufunga mabomba. Kama mna teknolojia ya kuunda maroketi kuweni na teknolojia ya kuleta maji yenu wenyewe.

Na chakula hakipiti, Tanzania ilipokuwa vitani na Uganda bandari yetu haikupitisha bidhaa zao. Na hakuna kuleta msaada, ni blockade mpaka akili zirudi kwenye kujitambua kwamba huwezi ishi kwa kutegemea viroketi uchwara na mashambulizi ya kigaidi.
 
Kushawishika maana yake nini? Vita haina kushawishika ni facts tuu, migambo imekosea projection imejibamiza risasi mguuni kwao.

Facts za ukatili wa Israel ni huu.Majengo hayo yote yana watu na vitu muhimu vya watu na akayaporomosha.
keshafanya mara nyingi mpakaimekuwa ni mazoea kwake.Lini kombora lililofeli limewahi kuua hata watu 10.Toa facts zako.

View: https://www.youtube.com/watch?v=Ao443imhwIc
 
Sasa rockets zinarushwa kutoka kwenye makazi ya watu na return fire inarudisha pale pale yanapotokea.


View: https://youtu.be/Qyl0sJVi5rg?feature=shared

Sasa mbona wewe unatetea kilichokuwa hakijatokea.Jana hao wenyewe hawajasema kuwa palirushwa roketi kutoka hospitalini na wao wakarudisha kombora.Hawawezi kutamka hilo kwani haliingii akilini.Badala yake wametoa uongo mwengine ambao nao pia haukubaliki.
 
Sasa mbona wewe unatetea kilichokuwa hakijatokea.Jana hao wenyewe hawajasema kuwa palirushwa roketi kutoka hospitalini na wao wakarudisha kombora.Hawawezi kutamka hilo kwani haliingii akilini.Badala yake wametoa uongo mwengine ambao nao pia haukubaliki.
Kilichotokea missile ya hamas imekosea projection imetua hospital wataleta footages.
 
mwandiko wako wa propaganda unaandika huku ukiwa huna amani moyoni,unajua kabisa nini kile kitafatia kutoka kwa Hibbollah na Hamas.
 
Hao sio wajinga waliwaona jinsi walivyo wachokozi huku nguvu hawana..........na kuhusu lile la kuua watu 500 ni hamas wenyewe wameua watu wao kwa ujinga walifyatua kombora likafeli sasa unataka watu wasife??
Kuhusu hili ni IDF wamehusika na msemaji wao alitweet, baada ya mda mfupi akaifuta tweet.

Source:Al jazeera.
 
Kuhusu hili ni IDF wamehusika na msemaji wao alitweet, baada ya mda mfupi akaifuta tweet.

Source:Al jazeera.
Wamedhamiria kuifuta Palestina yote kwa kila hali.Marekani wamesema wako pamoja na Israel kwa kila hali.
Watakaoshindwa kuwa pamoja na wanyonge wasubiri adhabu kutoka kwa mtetezi wa wanyonge.
 
Hawa jamaa nahisi hizi missile huenda waliunda wenyewe hapohapo Gaza .
Huo ndio uhakika wenyewe.Wanatumia chuma chakavu na mabaki ya makombora ya IDF.Pamoja na hivyo yana ubora na hakuna siku limerudi kinyume nyume likaua hata watu 10
 
Wamedhamiria kuifuta Palestina yote kwa kila hali.Marekani wamesema wako pamoja na Israel kwa kila hali.
Watakaoshindwa kuwa pamoja na wanyonge wasubiri adhabu kutoka kwa mtetezi wa wanyonge.
Wanyonge walishangiliwa October 7th, walionekana mashujaa leo ni vilio tuu.
 
Wewe ndio wenye roho ngumu kama hao wayahudi.Kombora la kuuwa watu mia tano ni wazo la kuona wengine ni wajinga sana kuelewa.
Kombora hilo linaruka namna gani likauwa watu kutoka chini ya Ardhi.Lazima litoke angani na kutoka ndege zenye kubeba mabomu ya nguvu kubwa.Vfaa hivyo Hamas hawana.na hata kama wanavyo hawawezi kufanya unyama huo kwa wagonjwa na madaktari.

Ulicho andika khutba ya Upendo tu[emoji15][emoji12] Utake usitake hiyo ni kazi iliyofanywa na qasam brigade ya hamas!
Juu hospitali chini qasam brigade!
Huoni ni Hatari pakitokea uzembe au Ajali kwenye Ghala ya milipuko??
 
Wamedhamiria kuifuta Palestina yote kwa kila hali.Marekani wamesema wako pamoja na Israel kwa kila hali.
Watakaoshindwa kuwa pamoja na wanyonge wasubiri adhabu kutoka kwa mtetezi wa wanyonge.
Arabs wamekosa nguvu tu, lakini wao ni katili sn. Arabs na Islam wote always wanafurahia sana damu ya watu wasio Islam au arabs wakifa. Matukio mengi ni shahidi.
Arabs na islamic walipanga kumtesa na kumuondoa israel katika uso wa dunia, tatizo wamekosa hio njia lakini mioyoni mwao wanatamani sana.
Siwez kushabikia au kuwatetea hata wakifa wote sababu wao ndio wabaya kuliko, ni wamekosa namna ya kuisabaratisha hiyo israel.
Israel acha awawahi
 
IMG_3806.jpg
 
Unazungumza kama kwamba huo mzozo umeanza juzi oktoba 7.Jiulize hao watu walikuwa wapi Israel ikivunja mikataba na matamko yote ya UN.
Kama watu wao waliouliwa ni 260 au 1300 si wamesema ni Hamas basi wawafuate hao hao Hamas mbona sasa wameshauwa karibu raia 4000 na wanaendelea.Huoni kuwa nia sio Hamas pekee bali ni wapalestina wote.
Wawafuate Hamas wapi kwani umesikia wamejificha Maneromango au Kibiti.....😂😂😂
 
Kwanini vifo vya waisrael unaviona ni vya thamani kuliko vifo vya wapalestina.
Unalia Lia nini??
Unazungumza kama kwamba huo mzozo umeanza juzi oktoba 7.Jiulize hao watu walikuwa wapi Israel ikivunja mikataba na matamko yote ya UN.
Kama watu wao waliouliwa ni 260 au 1300 si wamesema ni Hamas basi wawafuate hao hao Hamas mbona sasa wameshauwa karibu raia 4000 na wanaendelea.Huoni kuwa nia sio Hamas pekee bali ni wapalestina wote.
Unalia Lia nini wakati Wenzio Wanapewa Wepesi kuwahi Sardaus kula maini ya Samaki....
عن ثوبان مولى رسول الله صلى الله عليه وسلم حدثه قال:كُنْتُ قائِمًا عِنْدَ رَسولِ اللهِ ﷺ فَجاءَ حِبْرٌ مِن أحْبارِ اليَهُودِ فَقالَ: السَّلامُ عَلَيْكَ يا مُحَمَّدُ فَدَفَعْتُهُ دَفْعَةً كادَ يُصْرَعُ منها فَقالَ: لِمَ تَدْفَعُنِي؟ فَقُلتُ: ألا تَقُولُ يا رَسولَ اللهِ، فَقالَ اليَهُودِيُّ: إنَّما نَدْعُوهُ باسْمِهِ الذي سَمّاهُ به أهْلُهُ. فَقالَ رَسولُ اللهِ ﷺ: إنَّ اسْمِي مُحَمَّدٌ الذي سَمّانِي به أهْلِي، فَقالَ اليَهُودِيُّ: جِئْتُ أسْأَلُكَ، فَقالَ له رَسولُ اللهِ ﷺ: أيَنْفَعُكَ شيءٌ إنْ حَدَّثْتُكَ؟ قالَ: أسْمَعُ بأُذُنَيَّ، فَنَكَتَ رَسولُ اللهِ ﷺ بعُودٍ معهُ، فَقالَ: سَلْ فَقالَ اليَهُودِيُّ: أيْنَ يَكونُ النّاسُ يَومَ تُبَدَّلُ الأرْضُ غيرَ الأرْضِ والسَّمَواتُ؟ فَقالَ رَسولُ اللهِ ﷺ: هُمْ في الظُّلْمَةِ دُونَ الجِسْرِ قالَ: فمَن أوَّلُ النّاسِ إجازَةً؟ قالَ: فُقَراءُ المُهاجِرِينَ قالَ اليَهُودِيُّ: فَما تُحْفَتُهُمْ حِينَ يَدْخُلُونَ الجَنَّةَ؟ قالَ: زِيادَةُ كَبِدِ النُّونِ، قالَ: فَما غِذاؤُهُمْ على إثْرِها؟ قالَ: يُنْحَرُ لهمْ ثَوْرُ الجَنَّةِ الذي كانَ يَأْكُلُ مِن أطْرافِها قالَ: فَما شَرابُهُمْ عليه؟ قالَ: مِن عَيْنٍ فِيها تُسَمّى سَلْسَبِيلًا قالَ: صَدَقْتَ.

Thauban, the freed slave of the Messenger of Allah (ﷺ), said: While I was standing beside the Messenger of Allah (ﷺ) one of the rabbis of the Jews came and said: Peace be upon you, O Muhammad. I pushed him back with a push that he was going to fall. Upon this, he said: Why do you push me? I said: Why don’t you say: O Messenger of Allah? The Jew said: We call him by the name by which he was named by his family. The Messenger of Allah (ﷺ) said: My name is Muhammad with which I was named by my family. The Jew said: I have come to ask you (something). The Messenger of Allah (ﷺ) said: Should that thing be of any benefit to you if I tell you that? He (the Jew) said: I will lend my ears to it. The Messenger of Allah (ﷺ) drew a line with the help of the stick that he had with him and then said: Ask (whatever you like). Thereupon the Jew said: Where would the human beings be on the Day when the earth would change into another earth and the heavens too (would change into other heavens)? The Messenger of Allah (ﷺ) said: They would be in the darkness beside the Bridge. He (the Jew) again said: Who amongst people would be the first to cross (this bridge).? He said: They would be the poor amongst the refugees. The Jew said: What would constitute their breakfast when they would enter Paradise? He (the Holy Prophet) replied: A caul of the fish-liver.
 
Wawafuate Hamas wapi kwani umesikia wamejificha Maneromango au Kibiti.....😂😂😂
Wanajuwa walipo lakini wanatafuta visingizio wauwe umma wote wa Palestina.
 
Back
Top Bottom