Wapalestina sasa kuuliwa kwa kunyimwa maji na msongamano wa makazi

Wapalestina sasa kuuliwa kwa kunyimwa maji na msongamano wa makazi

Huo ndio ukweli missile imefeli imekung'uta hospital Israel wapo tayari ku prove hilo na hapo ndo mtajua mnawatetea vichaa.
Duh huyu Mungu Yehova wa Wayahudi kiboko yaan missile inafeli na inaua jamaa ya waliorusha hilo kombora iasee
 
Kama hayo ndiyo maagizo ya Qujr'an na naamini hujayaelewa vyema.Pamoja na hivyo jee wewe unataka kupingana na mipango ya aliyetuumba sote yenye hekima zilizo nyuma na mbele yetu?
Huyo Aliye Agiza hapo hajaumba chochote hadi Anaapia kwa ALIYEUMBA dhakari na kile cha kike! [emoji15][emoji12]
Na makazi YAKE ni jehannam! [emoji91]
[emoji116][emoji116]
Surat Al-Lail
Ayah: 1
وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰ
Naapa kwa usiku unapo funika!
Naapa kwa usiku kinapo enea kiza chake!

Ayah: 2
وَٱلنَّهَارِ إِذَا تَجَلَّىٰ
Na mchana unapo dhihiri!
Na naapa kwa mchana unapo zagaa mwangaza wake!

Ayah: 3
وَمَا خَلَقَ ٱلذَّكَرَ وَٱلۡأُنثَىٰٓ
wama khalaq ٱldhakar walununthaa

Na kwa Aliye umba kiume na kike

وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ
رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

(MARYAM - 71)
Wala hapana yeyote
katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

Na allah mwenyewe maskani YAKE jehannam! [emoji91]
Kama unabisha weka ushahidi Kama allah aliutoa mguu wake MOTONI! [emoji91]
[emoji116][emoji116]
Sahih al-Bukhari » Ufafanuzi wa Mtume juu ya Qur'an (Tafsiir ya Mtume (SAW)) - كتاب التفسير » Hadithi 4848
كتاب التفسير65 Ufafanuzi wa Mtume juu ya Qur'an (Tafsiir ya Mtume (SAW))
(1)Kauli ya Allah. "...Itasema (Jahannam): Je! (Mst.50:30)(1)باب ‏{‏وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏}‏

Sahih al-Bukhari 4848
Anas alisimulia:

Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Watu watatupwa Motoni na itasema: Je! (50.30) mpaka Allah aweke mguu wake juu yake, na itasema: Qati! Qati! (Inatosha!)'"

حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنَنَا شُعْبَةُ، عَنَنْ ضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَّلْ مِنٍ مَتَقُولُ هَّلْ مِنٍ مَتَحَتَحِي. دَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏ ".
Rejea: Sahih al-Bukhari 4848
Rejea ya ndani ya kitabu: Kitabu cha 65, Hadithi ya 369

Kama unabisha muanzilishi wa Maagizo hayo Maskai YAKE Sio MOTONI! [emoji91]Tuwekee ushahidi alipo toa mguu wake motoni ! [emoji101][emoji101]
 
Wewe ndio wenye roho ngumu kama hao wayahudi.Kombora la kuuwa watu mia tano ni wazo la kuona wengine ni wajinga sana kuelewa.
Kombora hilo linaruka namna gani likauwa watu kutoka chini ya Ardhi.Lazima litoke angani na kutoka ndege zenye kubeba mabomu ya nguvu kubwa.Vfaa hivyo Hamas hawana.na hata kama wanavyo hawawezi kufanya unyama huo kwa wagonjwa na madaktari.
israeli ndio wanaweza kufanya unyama kwa wagonjwa na madakitari ila sio hamasi sio..hamasi hawawezi kukosea au kombora lao kuharibika?hawana kombora la kuuwa watu miatano..walio hospitali mahutiti..eeh sawa isral ni mbaya....
 
Sheikh unatokwa povu jingi sana, hilo ni shinikizo tu ili mateka waachiwe. Raia wa palestina wanaweza kuwaambia magaidi wao wawaachie mateka na maji wakapata, shida iko wapi sheikh mpaka unalia hivyo? Ona uchungu pia kwa waisrael waliouliwa, waarabu/waislam wapo wawaambie ndugu zao basi imetosha wawaachie mateka ili huduma za maji na chakula ziingie gaza. Sheikh elewa kuwa adui wa watu wa gaza ni hao magaidi wa hamas, israel haina shida inataka watu wake waliotekwa waachiwe salama, sasa kama magaidi hawataki sheikh unataka israeli ifanye nini?
 
Unazungumza kama kwamba huo mzozo umeanza juzi oktoba 7.Jiulize hao watu walikuwa wapi Israel ikivunja mikataba na matamko yote ya UN.
Kama watu wao waliouliwa ni 260 au 1300 si wamesema ni Hamas basi wawafuate hao hao Hamas mbona sasa wameshauwa karibu raia 4000 na wanaendelea.Huoni kuwa nia sio Hamas pekee bali ni wapalestina wote.

Hamasi mbona wamajificha mbona hawajitokezi hadharani,kama kunguni kavamia godoro na hataki kutoka tutachoma godoro[emoji28]
 
Wanyonge walishangiliwa October 7th, walionekana mashujaa leo ni vilio tuu.
nashangaa sana. Lazima walipe gharama. Wameua wanajeshi wa Israeli zaidi ya 300. Gharama ya kumwandaa mwanajeshi 1 tu ni kubwa sana. Hakuna wakati ambao Israeli ameumia kama sasa ndiyo maana naye anaumiza. Hiyo ndiyo maana ya kisasi.
 
Back
Top Bottom