Duh huyu Mungu Yehova wa Wayahudi kiboko yaan missile inafeli na inaua jamaa ya waliorusha hilo kombora iaseeHuo ndio ukweli missile imefeli imekung'uta hospital Israel wapo tayari ku prove hilo na hapo ndo mtajua mnawatetea vichaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh huyu Mungu Yehova wa Wayahudi kiboko yaan missile inafeli na inaua jamaa ya waliorusha hilo kombora iaseeHuo ndio ukweli missile imefeli imekung'uta hospital Israel wapo tayari ku prove hilo na hapo ndo mtajua mnawatetea vichaa.
Kapige lakaaa huko.Duh huyu Mungu Yehova wa Wayahudi kiboko yaan missile inafeli na inaua jamaa ya waliorusha hilo kombora iasee
Huyo Aliye Agiza hapo hajaumba chochote hadi Anaapia kwa ALIYEUMBA dhakari na kile cha kike! [emoji15][emoji12]Kama hayo ndiyo maagizo ya Qujr'an na naamini hujayaelewa vyema.Pamoja na hivyo jee wewe unataka kupingana na mipango ya aliyetuumba sote yenye hekima zilizo nyuma na mbele yetu?
israeli ndio wanaweza kufanya unyama kwa wagonjwa na madakitari ila sio hamasi sio..hamasi hawawezi kukosea au kombora lao kuharibika?hawana kombora la kuuwa watu miatano..walio hospitali mahutiti..eeh sawa isral ni mbaya....Wewe ndio wenye roho ngumu kama hao wayahudi.Kombora la kuuwa watu mia tano ni wazo la kuona wengine ni wajinga sana kuelewa.
Kombora hilo linaruka namna gani likauwa watu kutoka chini ya Ardhi.Lazima litoke angani na kutoka ndege zenye kubeba mabomu ya nguvu kubwa.Vfaa hivyo Hamas hawana.na hata kama wanavyo hawawezi kufanya unyama huo kwa wagonjwa na madaktari.
Shetani anahusika vipi hapa?Dunia imezugwa vibaya na shetani.
Mungu huyo hayupo.Mungu maliza hivi vita.
Ukatili wa mwanadamu unauweka kwa kiumbe kisicho kuwepo.Shetani mimi namjua sana.
Dunia imezugwa vibaya na shetani.
Unazungumza kama kwamba huo mzozo umeanza juzi oktoba 7.Jiulize hao watu walikuwa wapi Israel ikivunja mikataba na matamko yote ya UN.
Kama watu wao waliouliwa ni 260 au 1300 si wamesema ni Hamas basi wawafuate hao hao Hamas mbona sasa wameshauwa karibu raia 4000 na wanaendelea.Huoni kuwa nia sio Hamas pekee bali ni wapalestina wote.
nashangaa sana. Lazima walipe gharama. Wameua wanajeshi wa Israeli zaidi ya 300. Gharama ya kumwandaa mwanajeshi 1 tu ni kubwa sana. Hakuna wakati ambao Israeli ameumia kama sasa ndiyo maana naye anaumiza. Hiyo ndiyo maana ya kisasi.Wanyonge walishangiliwa October 7th, walionekana mashujaa leo ni vilio tuu.