Hujaelewa nikwamba hamas walifyatua kombola likajam likashindwa kuruka ndo likapiga hio hospitalWewe ndio wenye roho ngumu kama hao wayahudi.Kombora la kuuwa watu mia tano ni wazo la kuona wengine ni wajinga sana kuelewa.
Kombora hilo linaruka namna gani likauwa watu kutoka chini ya Ardhi.Lazima litoke angani na kutoka ndege zenye kubeba mabomu ya nguvu kubwa.Vfaa hivyo Hamas hawana.na hata kama wanavyo hawawezi kufanya unyama huo kwa wagonjwa na madaktari.
Nimeijibu hii.Hebu fafanua zaidi kuhusu hiyo jam imekaaje.Hujaelewa nikwamba hamas walifyatua kombola likajam likashindwa kuruka ndo likapiga hio hospital
Hawa watu waache wapate kichapo mkuu. Wameazisha wenyewe vita.Kucheleweshwa kwa zoezi la vikosi vya Israel kuingia Gaza kuna watu wanaamini kuwa ni woga wa Israel kupata kipigo kutoka kwa vikosi vya wanamgambo wa Hamas na wenzao huko Gaza kama ilivyokuwa huko nyuma. Hapana safari hii ni zaidi ya uwoga.
Nia safari hii ni kuwamaliza wapalestina kwa wingi kuliko safari nyingine yoyote ile kwani wakiuliwa Hamas wachache wanazaliwa wengine wanaoendeleza vita. Mbinu hiyo sasa imeweza kufanyika mbele ya walimwengu wote. Marekani na Israel wanajua wanachofanya ndio maana badala ya kutoa amri ya kusitisha vita kila siku kuna ahadi za kwenda kesho yake badala ya leo.
Jumuiya ya waarabu wanaona kinachofanyika lakini nguvu yao kubwa ni kukataa tu kukutana na Rais wa Marekani aliyepanga kukutana nao badala ya kutoa tamko kali la kufunguliwa mpaka na kupeleka mahitaji na kuiamrisha Israel ifungue maji kwa wote bila masharti.Na hiyo nayo imekuja baada kuuliwa kwa wagonjwa na madaktari kwenye shambulio la anga kwenye hospitali hapo jana ambapo watu 500 wameuliwa kwa sekunde chache tu.
Urusi ilipojitoa kwenye mkataba ya usafirishaji nafaka kati yake na Ukraine umoja wa mataifa ulitoa malalamikio na shutuma kali kwa Urusi na kutamka kuwa ni ajabu kuwa Urusi inatumia chakula kama silaha.Hiyo ilikuwa ni kwa vile mahjitaji ya ngano na bidhaa nyengine zinazoambatana nazo ni kwa ajili yao wao.
Kwa upande wa Palestina wanajua kuwa maji kwanza ni muhimu kuliko hata chakula na bado hakuna tamko la kuiambia Israel kuwa iache kutumia maji kama silaha.
Kinachoendelea ni kama kutokea kichaa mwenye nguvu akamkaba koo mnyonge fulani katikati ya barabara penye watu wengi kama pale mtaa wa sikukuu Kariakoo na kila mmoja akapita zake bila kuwaamua hata kabla ya kuuliza ugomvi wao.Akifa mnyonge yule bali hukumu na ghadhabu za Mwenyezi Mungu zitawaenea wote walioshuhudia na wakapuuza.
Hatua wanazochukua waarabu na waislamu kwa ujumla ni hafifu sana kulingana na uzito wa ukatili wanaofanyiwa wapalestina.Wakiona wanakula na kunywa na kupata usingizi mnono wanawasahau wenzao.inashangaza kumekuwa na uungwaji mkono wa wapalestina nchi za Ulaya ,Marekani na kwengineko kuliko nchi za kiarabu ambazo ni jirani zaidi na Palestina kunakotokea unyama huo.
Watu wa Ulaya na kwengineko wanajua hakuna maisha ya furaha kwa watu 90 kuishi kwenye nyumba moja isiyo na huduma kamili za kibinadamu na kila muda wakiangalia angani kusikiliza kombora ambalo linaweza likwawaangamiza wote kwa pamoja.
Waarabu wajitayarishe na mabalaa yatakayowakuta wao wenyewe kwa uzembe wao.Hii dunia ni kitu kidogo sana kwa Mwenyezi Mungu.
Hapa tunachofanya ni kupeana nasaha tu kwa kinachotokea na wala hatuwakilishi malalamiko yao.Woo wanaona zaidi madhila wanayoyapata.ukifuatilia muda wa malalamiko yao na yalikopelekwa lazima watapata maumivu zaidi kuliko sisi.Sasa sijui kwa vipi umeona wao ndio walioakianzisha.Hawa watu waache wapate kichapo mkuu. Wameazisha wenyewe vita.
Waislamu au waarabu kwanini humuimii kwa wanachotendewa waislamu waafrica hapo Darfur Sudan na waarabu au kwasababu ni weusiHapa tunachofanya ni kupeana nasaha tu kwa kinachotokea na wala hatuwakilishi malalamiko yao.Woo wanaona zaidi madhila wanayoyapata.ukifuatilia muda wa malalamiko yao na yalikopelekwa lazima watapata maumivu zaidi kuliko zaidi.Sasa sijui kwa vipi umeona wao ndio walioakianzisha.
Ndo tunavyotaka wapalestina wote wafutiliwe mbaliiii! Wao wanajifanya Miungu watu! kosa kidogo tu wanampiga mtu mawe hadi afe.Unazungumza kama kwamba huo mzozo umeanza juzi oktoba 7.Jiulize hao watu walikuwa wapi Israel ikivunja mikataba na matamko yote ya UN.
Kama watu wao waliouliwa ni 260 au 1300 si wamesema ni Hamas basi wawafuate hao hao Hamas mbona sasa wameshauwa karibu raia 4000 na wanaendelea.Huoni kuwa nia sio Hamas pekee bali ni wapalestina wote.
Mawe ambayo hayawezi kumuangusha mtu na maroketi yanayobomoa manyumba ya ghorofa mazima mazima ni yapi ya kuogopwa na nani akiyatumia ndiye ataitwa mbaya.Ndo tunavyotaka wapalestina wote wafutiliwe mbaliiii! Wao wanajifanya Miungu watu! kosa kidogo tu wanampiga mtu mawe hadi afe.
SAa 7 nipitie tukaswaliMawe ambayo hayawezi kumuangusha mtu na maroketi yanayobomoa manyumba ya ghorofa mazima mazima ni yapi ya kuogopwa na nani akiyatumia ndiye ataitwa mbaya.
Unawaonya watu waliovamiwa kwao?Hao sio wajinga waliwaona jinsi walivyo wachokozi huku nguvu hawana..........na kuhusu lile la kuua watu 500 ni hamas wenyewe wameua watu wao kwa ujinga walifyatua kombora likafeli sasa unataka watu wasife??
Umeeleza kwa hisia sana bwana mkubwa. Umesahau kuwa waarabu ni wanafiq sana na hawana umoja kabsa Egypt amekataa kufungua mpaka hao wapalestina waingie wapate kwnza makaz ya muda, u know what wanaogopa Palestinians wasije wakawafanya kama walivyofanya jordan miaka 30+ iliyopita. Qatar, kuwait, Saudia Oman hawa ni matajiri kupindukia na uwezo wanao kumkemea Israel na washirika wake wasifanye wanachofanya la sivyo wanaharibu maslahi yao middle east lkn hamn kitu wanachofanya. Hamas ni mchokozi pengne ameachwa asulubiwe ata kama askari wa hamas hawajauwa lakn ndugu zao je?? Wazazi wao?? Na watoto wao je?Kucheleweshwa kwa zoezi la vikosi vya Israel kuingia Gaza kuna watu wanaamini kuwa ni woga wa Israel kupata kipigo kutoka kwa vikosi vya wanamgambo wa Hamas na wenzao huko Gaza kama ilivyokuwa huko nyuma. Hapana safari hii ni zaidi ya uwoga.
Nia safari hii ni kuwamaliza wapalestina kwa wingi kuliko safari nyingine yoyote ile kwani wakiuliwa Hamas wachache wanazaliwa wengine wanaoendeleza vita. Mbinu hiyo sasa imeweza kufanyika mbele ya walimwengu wote. Marekani na Israel wanajua wanachofanya ndio maana badala ya kutoa amri ya kusitisha vita kila siku kuna ahadi za kwenda kesho yake badala ya leo.
Jumuiya ya waarabu wanaona kinachofanyika lakini nguvu yao kubwa ni kukataa tu kukutana na Rais wa Marekani aliyepanga kukutana nao badala ya kutoa tamko kali la kufunguliwa mpaka na kupeleka mahitaji na kuiamrisha Israel ifungue maji kwa wote bila masharti.Na hiyo nayo imekuja baada kuuliwa kwa wagonjwa na madaktari kwenye shambulio la anga kwenye hospitali hapo jana ambapo watu 500 wameuliwa kwa sekunde chache tu.
Urusi ilipojitoa kwenye mkataba ya usafirishaji nafaka kati yake na Ukraine umoja wa mataifa ulitoa malalamikio na shutuma kali kwa Urusi na kutamka kuwa ni ajabu kuwa Urusi inatumia chakula kama silaha.Hiyo ilikuwa ni kwa vile mahjitaji ya ngano na bidhaa nyengine zinazoambatana nazo ni kwa ajili yao wao.
Kwa upande wa Palestina wanajua kuwa maji kwanza ni muhimu kuliko hata chakula na bado hakuna tamko la kuiambia Israel kuwa iache kutumia maji kama silaha.
Kinachoendelea ni kama kutokea kichaa mwenye nguvu akamkaba koo mnyonge fulani katikati ya barabara penye watu wengi kama pale mtaa wa sikukuu Kariakoo na kila mmoja akapita zake bila kuwaamua hata kabla ya kuuliza ugomvi wao.Akifa mnyonge yule bali hukumu na ghadhabu za Mwenyezi Mungu zitawaenea wote walioshuhudia na wakapuuza.
Hatua wanazochukua waarabu na waislamu kwa ujumla ni hafifu sana kulingana na uzito wa ukatili wanaofanyiwa wapalestina.Wakiona wanakula na kunywa na kupata usingizi mnono wanawasahau wenzao.inashangaza kumekuwa na uungwaji mkono wa wapalestina nchi za Ulaya ,Marekani na kwengineko kuliko nchi za kiarabu ambazo ni jirani zaidi na Palestina kunakotokea unyama huo.
Watu wa Ulaya na kwengineko wanajua hakuna maisha ya furaha kwa watu 90 kuishi kwenye nyumba moja isiyo na huduma kamili za kibinadamu na kila muda wakiangalia angani kusikiliza kombora ambalo linaweza likwawaangamiza wote kwa pamoja.
Waarabu wajitayarishe na mabalaa yatakayowakuta wao wenyewe kwa uzembe wao.Hii dunia ni kitu kidogo sana kwa Mwenyezi Mungu.
Sababu Mtume wao aliwaambia Waafrika ni mashetani!;Waislamu au waarabu kwanini humuimii kwa wanachotendewa waislamu waafrica hapo Darfur Sudan na waarabu au kwasababu ni weusi
Hapo hujaeleweka ulichokusudia kuhusu HamasUmeeleza kwa hisia sana bwana mkubwa. Umesahau kuwa waarabu ni wanafiq sana na hawana umoja kabsa Egypt amekataa kufungua mpaka hao wapalestina waingie wapate kwnza makaz ya muda, u know what wanaogopa Palestinians wasije wakawafanya kama walivyofanya jordan miaka 30+ iliyopita. Qatar, kuwait, Saudia Oman hawa ni matajiri kupindukia na uwezo wanao kumkemea Israel na washirika wake wasifanye wanachofanya la sivyo wanaharibu maslahi yao middle east lkn hamn kitu wanachofanya. Hamas ni mchokozi pengne ameachwa asulubiwe ata kama askari wa hamas hawajauwa lakn ndugu zao je?? Wazazi wao?? Na watoto wao je?
Hamas ni wachokozi sawaa?? Waarabu wenzao wamekaa tu wanawaangalia wakishughulikiwa sawaa?? Pia wanaogopa kuwaruhusu Palestinians kwenda kwenye nchi zao coz na magaidi yatapenya umo umo sawaa?? Hujaelewa wapi tenaHapo hujaeleweka ulichokusudia kuhusu Hamas
Aliye Agiza na Anae Tekeleza Agizo Hili bandia ndie MBAYA na Ndio chanzo cha YOOTE hayo!Mawe ambayo hayawezi kumuangusha mtu na maroketi yanayobomoa manyumba ya ghorofa mazima mazima ni yapi ya kuogopwa na nani akiyatumia ndiye ataitwa mbaya.
Kama hayo ndiyo maagizo ya Qur'an na naamini hujayaelewa vyema.Pamoja na hivyo jee wewe unataka kupingana na mipango ya aliyetuumba sote yenye hekima zilizo nyuma na mbele yetu?Aliye Agiza na Anae Tekeleza Agizo Hili bandia Ndio chanzo cha YOOTE!
[emoji116][emoji116]
سَتَجِدُونَ آخَرِينَ يُرِيدُونَ أَن يَأْمَنُوكُمْ وَيَأْمَنُوا قَوْمَهُمْ كُلَّ مَا رُدُّوا إِلَى الْفِتْنَةِ أُرْكِسُوا فِيهَا ۚ فَإِن لَّمْ يَعْتَزِلُوكُمْ وَيُلْقُوا إِلَيْكُمُ السَّلَمَ وَيَكُفُّوا أَيْدِيَهُمْ فَخُذُوهُمْ وَاقْتُلُوهُمْ حَيْثُ ثَقِفْتُمُوهُمْ ۚ وَأُولَـٰئِكُمْ جَعَلْنَا لَكُمْ عَلَيْهِمْ سُلْطَانًا مُّبِينًا
[ AN-NISAAI - 91 ]
Mtawakuta wengine wanataka wapate salama kwenu na salama kwa watu wao. Kila wakirudishwa kwenye fitna hudidimizwa humo. Ikiwa hawajitengi nanyi, na wakakuleteeni salama, na wakazuia mikono yao, basi wakamateni na wauweni popote mnapo wakuta. Na juu ya hao ndio tumekupeni hoja zilizo wazi.
إِذْ يُوحِي رَبُّكَ إِلَى الْمَلَائِكَةِ أَنِّي مَعَكُمْ فَثَبِّتُوا الَّذِينَ آمَنُوا ۚ سَأُلْقِي فِي قُلُوبِ الَّذِينَ كَفَرُوا الرُّعْبَ فَاضْرِبُوا فَوْقَ الْأَعْنَاقِ وَاضْرِبُوا مِنْهُمْ كُلَّ بَنَانٍ
[ AL - ANFAAL - 12 ]
Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.
قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ
[ AT-TAWBA - 29 ]
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
.