Wapalestina wamepata ushindi mkubwa vita ya Ghaza mpaka sasa. Nini kimepelekea ushindi wao huo?

Wapalestina wamepata ushindi mkubwa vita ya Ghaza mpaka sasa. Nini kimepelekea ushindi wao huo?

Mazayuni wamekubali masharti yote ya kusitisha mapigano yaliyowekwa na Hamas kinyume ma matakwa yao.

Hivi sasa mapigano yamesimamishwa rasmi huko Ghaza. Jana niliandika hivi:

- Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:

- Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?

Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:


View attachment 2821803


Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.

Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.

Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.

Video clips zinafatia.

Lakini
wewe kumbe ni mshabiki maandazi!!!madai ya hamas au kamasi na hizibollah ni kukalia jerusalem. haya wafanyayo leo na jana ni kulilia jerusalem. Sasa kama kamasi kashinda swali ni nani kakalia jerusalem? msikiti wa Al aqsa utakuwa wazi kwa waislamu duniani kwenda hija? jibu kihalisia usilopoke mshindi ni nani hapo. kamasi atalilia lia usilu kucha mpaka afe lakini jiji la jerusalem halioni ng'oooo
 
wewe kumbe ni mshabiki maandazi!!!madai ya hamas au kamasi na hizibollah ni kukalia jerusalem. haya wafanyayo leo na jana ni kulilia jerusalem. Sasa kama kamasi kashinda swali ni nani kakalia jerusalem? msikiti wa Al aqsa utakuwa wazi kwa waislamu duniani kwenda hija? jibu kihalisia usilopoke mshindi ni nani hapo. kamasi atalilia lia usilu kucha mpaka afe lakini jiji la jerusalem halioni ng'oooo
Tupo ghaza sasa hivi:

 
Israel aliisha bonga mwaka 1967 ali[poshinda vita vya siku sita kuwanyamazisha OIC woote. alibonga hivi
nakufa nakufa lakini lakini vilikuwa vita vya kitakatifu nani kaiona Jerusalem? OIC wooote kimyaaaaaaa!
alibonga tena akisema
nani alitaka kuibusu Jerusalem ambapo matunda ya kubusu kwake ni kupoteza shamba la babake(sinai, Golan na west bank) OIC nzima kimyaaaaaa!

leo unaposema hkamasi kashinda basi weka hija pale msikiti wa al al aqsa au nunda palestina kushangilia kuteka tel aviv acha propaganda weweee
 
Vita inaendelea, wamesitisha mapigano tu. Mpaka dakika hii israel kashindwa vibaya sana.
fafanua iwapo kila kukicha mlikuwa mnalilia lia tuu . Gaza sasa hivi ni sawa na kigogo ya 1967 kila kona maiti na harufu ya sox. idadi ya wapalestina waliovaa suti isiyo na malinda(sanda) ni nyingi sana na imeaanzia watoto mpaka wazee
 
Israel aliisha bonga mwaka 1967 ali[poshinda vita vya siku sita kuwanyamazisha OIC woote. alibonga hivi
nakufa nakufa lakini lakini vilikuwa vita vya kitakatifu nani kaiona Jerusalem? OIC wooote kimyaaaaaaa!
alibonga tena akisema
nani alitaka kuibusu Jerusalem ambapo matunda ya kubusu kwake ni kupoteza shamba la babake(sinai, Golan na west bank) OIC nzima kimyaaaaaa!

leo unaposema hkamasi kashinda basi weka hija pale msikiti wa al al aqsa au nunda palestina kushangilia kuteka tel aviv acha propaganda weweee
Myahudu kala za uso mpaka anaona haya, vifaru vilivyogongwa na vijana wa kipalestina ana vitumbukiza baharini kwa aibu vikibak8 ghaza vijana wanavigeuza silaha zao :
 
Sikiliza Majuha wenzio wa Kiislam ati wanasema hii vita itaendelea mpaka waishinde Israel na baada ya hapo America wataingia vitani na Russia vile vile, lakini Waislam watawadhinda wote hao 😄
Yaani nyinyi Waislam mna hadithi za kijuha kweli kweli. Na jinsi mlivyokuwa corrupted na kitabu chenu, kia Taifa hapa Duniani ni wagomvi wenu. Endeleeni hivyo hivyo, maana wamarekani kutokana na kuheshimu hali za binadamu mnawachezea. Mziki mtaupata siku Wachina na Warusi watakapowageuka

View: https://x.com/MEMRIReports/status/1727720411398603224?s=20

Kuna siku niliacha kuwatilia maanani waislam, muislam mmoja aliposema Bunduki zitakuja kugeuka fimbo ndio maana wao wanajifunza Bunduki, hili waje waitawale dunia
 
Kuna siku niliacha kuwatilia maanani waislam, muislam mmoja aliposema Bunduki zitakuja kugeuka fimbo ndio maana wao wanajifunza Bunduki, hili waje waitawale dunia
Sikushngai kwa kuwa nakuhisi uelewa wako uko finyu sana.

Hujaona walivyochapwa mazayuni, tukuoneshe?
 
Hamas kundi teule kuzimu

Hamas ndiyo kwanza wameingiza kikosi chao kingine kinaitwa "the Ghosts" "Saraya Al Quds".

Jana wamepiga mazayuni mpaka wamekiri, kuchezea kichapo na kuwaomba Wamisri na Qatar waingile maongezi ya kusimamisha mapigano yaanze tena.

The Ghosts hao hawana maongezi na mtu, wakishika silaha ni mpaka ushindi.

Umewaona hao? Au nikuoneshe?

Unajuwa kwanini wanaitwa "The Ghosts"? Kwa maana ya mizimu?
 
Ushindi kwa Hamas ni kurudisha ardhi yao. Zaidi hapo hakuna, vita itaendelea.
 
Hamas ndiyo kwanza wameingiza kikosi chao kingine kinaitwa "the Ghosts" "Saraya Al Quds".

Jana wamepiga mazayuni mpaka wamekiri, kuchezea kichapo na kuwaomba Wamisri na Qatar waingile maongezi ya kusimamisha mapigano yaanze tena.

The Ghosts hao hawana maongezi na mtu, wakishika silaha ni mpaka ushindi.

Umewaona hao? Au nikuoneshe?

Unajuwa kwanini wanaitwa "The Ghosts"? Kwa maana ya mizimu?
Hii ndiyo kazi ya Ghosts wa Palestina👇🏾
haraka

Kulingana na uvujaji tuliopokea
*Mawasiliano makali na ya dharura yanafanywa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani na baadhi ya nchi za Kiarabu hususan Misri na Qatar ili kuishinikiza muqawama wa Palestina kukubali mapatano ya haraka kwa kisingizio cha kuleta misaada huko Gaza!!

Ukweli ni kwamba mapatano haya yaliombwa kwa dharura na Israel kutoka Marekani ili iweze kuwaondoa wanajeshi na magari yake kutoka kwenye kinamasi kilichoangukia leo katika mitaa ya Gaza, ambapo walipata hasara kubwa katika magari na maisha. Makumi ya magari na mamia ya wanajeshi wa Kizayuni walizingirwa ndani ya barabara za Gaza na hawawezi kurudi nyuma. Mbele ya upinzani huvizia!!

Idhaa za Kiebrania zimeanza kutangaza habari kuhusu kuanguka kwa idadi kubwa ya maafisa na wanajeshi wa Israel katika mashambulizi kadhaa yaliyowekwa kwa ajili yao na upinzani leo!!
Na ni jihadi ya ushindi au kufa kishahidi!!

"Israeli ilitamka
Pumzi yake ya mwisho

………………………………..
Tafadhali sambaza makala kwa upana iwezekanavyo
IMG-20231214-WA0060.jpg

urgent

According to the leaks we received
* Intense and urgent contacts are being made by the US State Department with some Arab countries, especially Egypt and Qatar, to pressure the Palestinian resistance to accept a quick truce under the pretext of bringing aid into Gaza!!

The truth is that this truce was urgently requested by Israel from the United States so that it could withdraw its soldiers and vehicles from the quagmire they fell into today in the streets of Gaza, where they suffered heavy losses in vehicles and lives. Dozens of vehicles and hundreds of Zionist soldiers were besieged inside the streets of Gaza and they cannot retreat. In front of the resistance ambushes!!

Hebrew channels have begun broadcasting news about the fall of a large number of Israeli officers and soldiers in several ambushes set up for them by the resistance today!!
And it is a jihad of victory or martyrdom!!

"Israel pronounced
Her last breath

……………………………..
Please spread the article as widely as possible
 
Haijaeleweka nini kimesababisha jamaa abadilishe msimamo ghafla......

In shift, a top Hamas official floats Israel recognition​

In an interview with Al-Monitor, senior Hamas official Mousa Abu Marzouk suggested the militant group would adhere to the Palestine Liberation Organization’s stance on Israel.
Mousa Abu Marzouk is seen during a Nov. 7 interview with the BBC.

Mousa Abu Marzouk is seen during a Nov. 7 interview with the BBC. - BBC

DOHA, Qatar — A senior Hamas official suggested the Gaza-based militant group would recognize Israel as a step toward ending the long-running divisions between the Palestinian factions.
Speaking to Al-Monitor in his Doha office on Monday, Mousa Abu Marzouk struck a careful tone on Israel some two months after his group carried out the deadliest day for Jews since the Holocaust.
“You should follow the official stance,” Abu Marzouk said. “The official stance is that the [Palestine Liberation Organization] has recognized the state of Israel.”
The internationally recognized umbrella grouping of most Palestinian factions, excluding Hamas and Islamic Jihad, formally recognized Israel's right to exist and renounced terrorism in 1993. In exchange, Israel accepted the PLO as the representative of the Palestinian people.



Read more: In shift, a top Hamas official floats Israel recognition
Read more: In shift, a top Hamas official floats Israel recognition
Wewe wacha uongo. Mambo mapya ya leo hayo hapo juu, tazama post ya juu yako hapo.
 
Wewe wacha uongo. Mambo mapya ya leo hayo hapo juu, tazama post ya juu yako hapo.
Yaani nyinyi waislam watu waajabu sana. Mnacho nukuu nyinyi wala hamuonyeshi source na bado mnatumia nguvu nyingi kuwaaminisha waislam wenzenu kuwa ni ukweli. On the other end kile kinachoandikwa na Non-muslims hata watoe uthibitisho wa source, bado mtabishia hiyo source
Mko kama Baba yenu Shetani ambaye moja ya majina yake linamaanisha the best deceiver
IMG_2619.png
 
Yaani nyinyi waislam watu waajabu sana. Mnacho nukuu nyinyi wala hamuonyeshi source na bado mnatumia nguvu nyingi kuwaaminisha waislam wenzenu kuwa ni ukweli. On the other end kile kinachoandikwa na Non-muslims hata watoe uthibitisho wa source, bado mtabishia hiyo source
Mko kama Baba yenu Shetani amba



Kama huzioni source siyo tatizo letu.

Unajuwa kuwa Mazayuni kuanzia jana wanajiondowa Ghaza kimya kimya baada ya kucheze kichapo?

Source hiyo, kutokea jikoni kabisa:


View: https://youtu.be/UsQNFYUIYOo?si=7uFWF6vxHXNldz1s
 
Unafahahamu kuwa mji mmoja cha mazayuni kimehamishwa kabisa huko Kaskazini?

Vitu hivyo vya jana mchana na usiku kutokea Hezbollah:+


 
Mazayuni wamsalimu amri, wanaondowa majeshi yao Ghaza kimya kimya.


Hivimkubwa wa majasusi wao kaenda kukutana mkiubwa wa majasusi wa Qatar huko Ulaya.

Ushindi mkubwa huo kwa Hamas.

Hizbollah wanaendelea kipigo kutokea Kaskazini.

Hamas wanaendeleza kipoigi uso kwa uso.

Wayemeni wanaendeleza kichapo baharini.
 
Back
Top Bottom