Wapalestina waneemeka na chakula kingi cha msaada wa kimataifa kilichoibwa na kuhodhiwa godauni la hamas baada ya walinzi kulikimbia jeshi la Israel

Wapalestina waneemeka na chakula kingi cha msaada wa kimataifa kilichoibwa na kuhodhiwa godauni la hamas baada ya walinzi kulikimbia jeshi la Israel

wapalestina wanalia njaa, chakula chote cha misaada kinaenda kwenye magodauni ya Hamas kwajili yao na familia zao, wapalestina wa kawaida huuziwa kwa bei ya juu mno.

Palestina kuna njaa inayosababishwa na Hamas kujichukulia kimabavu misaada halafu wanaanza kuidanganya dunia kwamba ni Israel wanahusika, ni mbinu / propaganda ya kucheza na imani za watu waingiwe huruma ya kuwapa misaada mingi zaidi, misaada ikifika Gaza wanatumia wao na familia zao, huiuza kwa wapalestina ndani ya Gaza na soko la kimataifa kujiingizia mabilioni ya pesa.

Hii ni baada ya walinzi wa godauni kuona jeshi la Israel linawakaribia wakatimua mbio, wapalestina wameingia kujisevia, Gaza ni sherehe.


View attachment 3134488
Hao Hamas huko Gaza na Hezbollah kule Lebanon wanakingiwa kifua na Watumishi wa UN. UN popote walipo ni majanga; Congo UN ndiyo wanaongoza kwa kutorosha madini. Haiti UN walihusishwa na Ubakaji wa wanawake. UN ni majanga ya Dunia ona

View: https://x.com/AsaadHannaa/status/1849811521850712065
 
hapa naona kondoo wanajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe.

Mwanzo wa mwisho wa mazayuni umeshaonekana.
Wewe dada hizo chuki zako kwa wayahudi hazitakufikisha kokote. Wenzio huko Uarabuni wamekuja kugundua kuwa walikuwa wanapandikizwa chuki bure! Na sasa baada ya kujielimisha wamekuja kugundua kuwa wayahudi ni watu wema sana tofauti na walivyofundishwa. Angalia mahojiano ya huyu dada Mmisri tena muislamu haswa anayevaa hijabu na ikampendeza anachosema

View: https://www.youtube.com/live/X-8PSfi1ShM?si=HqtkfHm35Ek6tuiE
 
baada ya Hamas kuchochea hiki kinachoendelea , je wamefany nn kuwalinda wapalestina wa kawaida wasio na madaraka hapo Gaza ? wenzao wanatoa mpk alarm kuwahasa raia wao waingie kweny maandaki , je pamoja na Idf kuwa wanatoa taarifa watakapo shambulia sehem , Hamas huwa wanafany nn kuwalinda wananchi dhidi ya athari za mapigano yao na idf
 

Attachments

  • IMG_5311.png
    IMG_5311.png
    1 MB · Views: 4
wapalestina wanalia njaa, chakula chote cha misaada kinaenda kwenye magodauni ya Hamas kwajili yao na familia zao, wapalestina wa kawaida huuziwa kwa bei ya juu mno.

Palestina kuna njaa inayosababishwa na Hamas kujichukulia kimabavu misaada halafu wanaanza kuidanganya dunia kwamba ni Israel wanahusika, ni mbinu / propaganda ya kucheza na imani za watu waingiwe huruma ya kuwapa misaada mingi zaidi, misaada ikifika Gaza wanatumia wao na familia zao, huiuza kwa wapalestina ndani ya Gaza na soko la kimataifa kujiingizia mabilioni ya pesa.

Hii ni baada ya walinzi wa godauni kuona jeshi la Israel linawakaribia wakatimua mbio, wapalestina wameingia kujisevia, Gaza ni sherehe.


View attachment 3134488
Mkuu uongo haukusaidii kitu na story zenu za kutunga...
Hii video ni ya mwaka jana kipindi wapalestina wamevamia kituo cha kugawa chakula cha UNRWA, au hata UNRWA huelewi nianze kukuelewesha, makao yake makuu yapo USA, UNRWA walisema hakuna chakula na maghala yao yapo empty.... Ndipo raia wa Palestina wakavamia na kuchukua chakula kama uonavyo..

Nimekuwekea na source haapo chini, next time acha uongo uongo na story za kutunga...
Screenshot 2024-10-26 021558.png


Hapa chini nie translate kwa english...
english unrwa.png


Tazama ulivyoaibika kwa kujikuta unafahamu mambo kumbe mweupe tu, Gaza ya sasa haifanani na hayo mazingira ya kwenye video, pili Israel wamezuia misaada kuingia ya dawa na chakula...
tatu Hamas sio wapumbavu kiasi hiko kuweka ghala la chakula sehemu open space kama hio ambapo kwa intel za Israel wangevamia zamani au kurusha akombora, hamas wapo zao kwenye mahandaki na vyakula vyao....
 
misaada ya chakula ya kuisaidia Gaza inaishia kwa Hamas na familia zao, pesa zinatumika kununulia wake zao pochi za milioni 87

View attachment 3134490
Hakuna kitu ni porojo na uongo wa kutunga, dukani kuna bidhaa fake nyingi tu za gucci, LV, Nike n.k, na wanawake wanavaa sana...
Misaada ya chakula yenyewe unyosema hamas wanatumia kuwanunulia mikoba wake zao kumbe ni story za kutunga...🚮
 
Jama liongo kweli, video ya 2023 Palestinians walipovamia kituo cha UNRWA cha kugawa chakula...
Gaza ya sasa haijapendeza hivyo...

source...

Hiyo ya 2023 pia haijapendeza kama ya 1947.

Kafanye homework yako urudi na picha za 1948 kurudi nyuma uliganishe na hiyo ya 2023.
 
Mkuu uongo haukusaidii kitu na story zenu za kutunga...
Hii video ni ya mwaka jana kipindi wapalestina wamevamia kituo cha kugawa chakula cha UNRWA, au hata UNRWA huelewi nianze kukuelewesha, makao yake makuu yapo USA, UNRWA walisema hakuna chakula na maghala yao yapo empty.... Ndipo raia wa Palestina wakavamia na kuchukua chakula kama uonavyo..

Nimekuwekea na source haapo chini, next time acha uongo uongo na story za kutunga...
View attachment 3135391

Hapa chini nie translate kwa english...
View attachment 3135392

Tazama ulivyoaibika kwa kujikuta unafahamu mambo kumbe mweupe tu, Gaza ya sasa haifanani na hayo mazingira ya kwenye video, pili Israel wamezuia misaada kuingia ya dawa na chakula...
tatu Hamas sio wapumbavu kiasi hiko kuweka ghala la chakula sehemu open space kama hio ambapo kwa intel za Israel wangevamia zamani au kurusha akombora, hamas wapo zao kwenye mahandaki na vyakula vyao....
  • Palestina imeshikiliwa kimabavu na Hamas
  • Misaada ya Unwra inaishia kwa Hamas
  • Hilo godown ni la Hamas
  • Chakula kinakuwa kwajili ya Hamas na familia zao
  • Video nyingine hii hapa, Kwenye handaki la Yahya kulikutwa misaada ya Unwra pamoja na mabilioni ya fedha za misaada
 
Hakuna kitu ni porojo na uongo wa kutunga, dukani kuna bidhaa fake nyingi tu za gucci, LV, Nike n.k, na wanawake wanavaa sana...
Misaada ya chakula yenyewe unyosema hamas wanatumia kuwanunulia mikoba wake zao kumbe ni story za kutunga...🚮
  • Palestina imeshikiliwa kimabavu na Hamas
  • Misaada ya Unwra inaishia kwa Hamas
  • Hilo godown ni la Hamas
  • Chakula kinakuwa kwajili ya Hamas na familia zao
  • Video nyingine hii hapa, Kwenye handaki la Yahya kulikutwa misaada ya Unwra pamoja na mabilioni ya fedha za misaada

 
  • Palestina imeshikiliwa kimabavu na Hamas
  • Misaada ya Unwra inaishia kwa Hamas
  • Hilo godown ni la Hamas
  • Chakula kinakuwa kwajili ya Hamas na familia zao
  • Video nyingine hii hapa, Kwenye handaki la Yahya kulikutwa misaada ya Unwra pamoja na mabilioni ya fedha za misaada

View attachment 3135413
Wewe ni muongo hio video ya kwanza umeweka ni ya 2023, halafu ukaja na story ya kutunga eti hamas wamekimbia askari wa IDF wananchi wakavamia...

Siwezi kutizama story za uongo mkuu...
Kwanini utunge story?
 
Wewe ni muongo hio video ya kwanza umeweka ni ya 2023, halafu ukaja na story ya kutunga eti hamas wamekimbia askari wa IDF wananchi wakavamia...

Siwezi kutizama story za uongo mkuu...
Kwanini utunge story?
Yahya alipata wapi pesa za kumnunulia mke wake pochi ya milioni 87 kama sio za misaada ?
1729902974746.png
 
Back
Top Bottom