Hao Hamas huko Gaza na Hezbollah kule Lebanon wanakingiwa kifua na Watumishi wa UN. UN popote walipo ni majanga; Congo UN ndiyo wanaongoza kwa kutorosha madini. Haiti UN walihusishwa na Ubakaji wa wanawake. UN ni majanga ya Dunia onawapalestina wanalia njaa, chakula chote cha misaada kinaenda kwenye magodauni ya Hamas kwajili yao na familia zao, wapalestina wa kawaida huuziwa kwa bei ya juu mno.
Palestina kuna njaa inayosababishwa na Hamas kujichukulia kimabavu misaada halafu wanaanza kuidanganya dunia kwamba ni Israel wanahusika, ni mbinu / propaganda ya kucheza na imani za watu waingiwe huruma ya kuwapa misaada mingi zaidi, misaada ikifika Gaza wanatumia wao na familia zao, huiuza kwa wapalestina ndani ya Gaza na soko la kimataifa kujiingizia mabilioni ya pesa.
Hii ni baada ya walinzi wa godauni kuona jeshi la Israel linawakaribia wakatimua mbio, wapalestina wameingia kujisevia, Gaza ni sherehe.
View attachment 3134488
View: https://x.com/AsaadHannaa/status/1849811521850712065