Ighombe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 1,181
- 675
Acha uzushi! Kwa hiyo mahakama zote nchi hii zimejengewa wapare.Moshi mahakama zinajazwa kesi za wapare?Wanapenda sana kesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uzushi! Kwa hiyo mahakama zote nchi hii zimejengewa wapare.Moshi mahakama zinajazwa kesi za wapare?Wanapenda sana kesi
Ndo muache sasa kusema mnaenda moshi. Hapawahusu.Hao wachaga wana mini cha ajabu cha kutufanya tujipendekeze kwao?Actual kama kusoma hata sisi tumesoma Wilaya ya Mwanga IPO kwenye Wilaya kumi bora zilizotoa ma Profesa nchi hii!
Hiyo Moshi yenyewe imeshaathiriwa na mabadiliko ya tabia ya nchi hakuna lolote Sikh hizi.Wenyewe wanakimbilia mikoa mingine MF Mwanza,Shinyanga n.k Msituletee hizoo bwana!
Huo ubinafsi mlio nao ni hatari!Ndo muache sasa kusema mnaenda moshi. Hapawahusu.
Nikumbushe vita ya kavambughu na nkhoma ya mkwavi.kabila letu ni Vaathu/ Vaasu, au Vamp'hare; lugha ni Chasu / Chathu. pia kabla ya kuwa jamii iliyounganika kama kabila, Wapare walikuwa jamii ndogondogo zenye asili ya makabila mengi kama Wakamba, Wataita, Wazigua, Wagweno, Wachaga, n.k.
Hakuna jamii / koo ya Wapare ambao waliwahi kupigana vita na Wachaga. In fact kuna koo za Wapare ambao kazi yao ilikuwa kutengeneza silaha zinazotumika katika vita baina ya jamii za Wachaga. Wapare kuishi milimani sababu yake ni kukimbia magonjwa toka maeneo ya tambarare, na kujilinda kutokana na mashambulizi toka kwa jamii nyingine haswa Wamaasai / Wakwavi, na Wazigua.
Duuh! Mshana Jr hii ni kweliYule sio mpare ni mkaguru na jina lake halisi anaitwa Emmanuel ila bosi wake aliemtoa kwao kibaigwa ndie mpare anaitwa kadege ,,,,ila wengi wamezoea kumuita mshana kwasababu ndivyo alivyoandika dukani kwake huyo mzee kadege sasa mzee kadege alipomchukua Emanuel dhumuni amsaidie kazi za shamba baadae akaja kugundua kuwa Emmanuel huwa wakati wa baridi huwa anashikwa sana na pumu sasa kutokana na mzee kadege kumpenda sana Emanuel akaamua amuweke dukani hapo ndipo jina la mshana likaanza kutrend kwasababu wengi walijua mzee kadege ni baba yake......kwasasa Emmanuel ni dalali hapo tandika double cabin na hapo anatambulika kama kalulu japo sijajua hili jina kalipataje ila jamaa ninachomsifu ni muaminifu mno
Natamani kusikia sana kuhusu hizi vitaNikumbushe vita ya kavambughu na nkhoma ya mkwavi.
Hao wachaga wana mini cha ajabu cha kutufanya tujipendekeze kwao?Actual kama kusoma hata sisi tumesoma Wilaya ya Mwanga IPO kwenye Wilaya kumi bora zilizotoa ma Profesa nchi hii!
Hiyo Moshi yenyewe imeshaathiriwa na mabadiliko ya tabia ya nchi hakuna lolote Sikh hizi.Wenyewe wanakimbilia mikoa mingine MF Mwanza,Shinyanga n.k Msituletee hizoo bwana!
mwisho wake atakushinda kesi na utamlipa kuku pamoja na ng'ombe. maana ya huo utani ni kwamba mpare hakubali haki yake ichezewe hata siku moja.Jamaa inasemekana kuwa very complicated and complex!
Wanaweza kuuza ng’ombe kwa kesi ya kuku [emoji38]
Pata picha ni watu wa namna gani?!
wapare wanawapenda sana jirani na watani zao wachaga. mimi wazee wangu walinihusia kwamba mahali ambapo hakuna mpare,mchaga, au msomali, hakuna pesa kwa hiyo niepuke kuishi hapo.🤣Maneno ya wenye husuda kali hayo [emoji3] thibitisha wizi wao ni upi? [emoji2369]
Nasikia zamani wapare waliulizwa na Mwalimu JK kwamba ninyi wananchi hadi sasa hivi kuna kitu gani mmefanya cha maendeleo ili serikali iunge mkono juhudi zenu? Wakajibu eti "TUMEJENGA MAHAKAMA" (kwa lafudhi ya kipare)..
kitu ambacho sijaona wapare wanafanya ni wachungaji wahubiri hawa wanaojiita manabii. lakini wapare wapo ktk kila nyanja, kuanzia wasomi mabingwa, wafanya biashara wakubwa, machinga, polisi, wanajeshi, mpaka kuna magaidi wapare.Wapare na wasambaa ni ndugu, ushirikina ni sehemu ya maisha yao
Wee mpare mbona umekuwa mkali? Uchawi wa asili kwa kaskazini upo upareni na usambaani, hii ndiyo mada yetu, hayo ya kujisifu sisi hatuna, chaggas are really hustlers that's y they are everywhere in this country. Nenda masasi, kasulu, tarime lazima utamkuta shirima anapambana huko. Hii mifano yako ya wachaga wawili watatu waliouziwa uchawi na wapare/wasambaa haina tija. Ni sawa na kumkuta mmasai mmoja au wawili wanakula samaki ukasema wamasai wote ni wala samakiSIKU HIZI WACHAGA WANANUNUA SANA UCHAWI....WALE WA JIRANI NA KENYA WANANUNUA KWA WAKAMBA! KUNA KISA KIMOJA HUKO URU KUNA NYUMBA KUBWA TU WALIKUA WANAIGOMBANIA WANA FAMILIA IKAPIGWA JUJU MZEE! DUUU WAKATI WOTE ASUBUHI,MCHANA,JIONI INAUNGUA MOTO NA KUFUKA MOSHI MBONA WALIIKIMBIA!! (NATURE WACHAGA MWANZONI HAWAKUWA NA UCHAWI WA ASILI ILA WANANUNUA SANA PIA KULE ROMBO KUMILIKI MALI KISHIRIKINA.ACHANA NAO KABISA HAWA WATU.....HALAFU KUPENDA MASIFA KANA KWAMBA WAO HAPA TANZANIA NI BORA KULIKO JAMII NYINGINE ! WAKATI WANAJISIFU JAMII NYINGINE WANAPIGA KAZI WANASONGA MBELE.(HAKUNA MWAFRIKA BORA KULIKO MWINGINE WENGI TUNATOFAUTIANA KIDOGO TU) HASA HAWA WA KUSINI YA JANGWA LA SAHARA BURE KABISA! TUUNGANE TUJENGE TANZANIA YETU MADA ZA UKABILA HUMU TUWEKE PEMBENI!!!
Ubinafsi gani sasa hapo? Kusema facts. Tatizo mijitu mengi inaamini wachaga ni wabaguzi na wabinafsi sumu kali sana mnayo.Huo ubinafsi mlio nao ni hatari!
mwisho wake atakushinda kesi na utamlipa kuku pamoja na ng'ombe. maana ya huo utani ni kwamba mpare hakubali haki yake ichezewe hata siku moja.
Sasa usumbufu wa gharama na muda wa case si bora ungefanya mambo mengine.
Halafu kushinda case huwa Inategemea [emoji3]
Ndio maana sio wote walioko gelezani ni wakosa.
Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi wapate haki zao wawe huru.
Ni maneno ya utani tu kuhusu wapare. uhalisia ni kwamba wapare ni watu wasiokata tamaa ktk kupigania haki zao.
Katika hili unawasingizia bure wapare. Mambo ya kichawi, kishirikina, kutambika au kitamaduni kwa wapare yamebakia mambo binafsi sana ya mtu mmoja mmoja kisiri huku yakipingwa mnoo na jamii za wapare.Huwa wanaenda kutambika kwa Mungu wao yuko huko mlimani.
Pia wanaenda kuongezea uchawi, wapare wote 🤣 ni wachawi eti wawe kama Msuya japo zamani walitaka wawe kama mengi.
Mpare anayebisha aje na mbuzi nimpe ushahidi.