Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Lushoto Kuna wapare wengi tu wahamiajiSawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lushoto Kuna wapare wengi tu wahamiajiSawa.
Jamaa alitania tu kwamba aina ile ya matiti yanaitwa hivyo... Ss sikujua tutonge maana yake nn...Tutonge kama sikosei ni “twende”. Kwanini wanyaita hivyo?
Wapare ni wamojaWatu wa makabila mbali mbali walioko mijini ama mbali na nyumbani (sehemu ya asili yao) mara nyingi wakitaka kusema wanarudi kwao watataja jina husika la mji ama sehem anayotoka... Mfano kwa mchaga atasema naenda moshi... Muhaya atasema naenda bukoba, mngoni atasema ashuka zake songea nk.
Ila inanishangaza kwa wapare... Mara nyingi sana utaskia naenda upareni... Au atamuuliza mtu "hivi lini unapandisha upareni" na wakati wana sehem zao km usangi, ugweno, chome, same nk...
Ni mazoea ama kuna sababu maalum? View attachment 2443480
Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
Mchuzi sio jina la mahali
Wapare ni wakarimu na wanapenda kutiana.[emoji2827]Upareni Raha sana,nilishawahi kufika kisiwani,mkomazi,mwanga,ugweno pamoja na lake jipe. Wapare ni wakarimu na wanapenda kutiana. I love wapare for life.
Kwetu Upareni kaka kitovu changu kiko huko mahali panaitwa Store MombasaMshana jr kwao Lushoto sasa upale wapi na wapi !.
Hapana Wapare hawang'oi gearleaverMademu wengi upareni hawana vinga’amuzi (wamekeketwa)
Mji wa pale Usangi,kipindi hiki panachangamka sana.Kwetu Upareni kaka kitovu changu kiko huko mahali panaitwa Store Mombasa
Wanajipendekezaga kwa wachaga, wanasemaga 'naenda moshi'Watu wa makabila mbali mbali walioko mijini ama mbali na nyumbani (sehemu ya asili yao) mara nyingi wakitaka kusema wanarudi kwao watataja jina husika la mji ama sehem anayotoka... Mfano kwa mchaga atasema naenda moshi... Muhaya atasema naenda bukoba, mngoni atasema ashuka zake songea nk.
Ila inanishangaza kwa wapare... Mara nyingi sana utaskia naenda upareni... Au atamuuliza mtu "hivi lini unapandisha upareni" na wakati wana sehem zao km usangi, ugweno, chome, same nk...
Ni mazoea ama kuna sababu maalum? View attachment 2443480
Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
Jina si ndio Hilo "Upareni"Panastahili kuitwa jina gani mkuu?
una shida weweHuwa wanaenda kutambika kwa Mungu wao yuko huko mlimani.
Pia wanaenda kuongezea uchawi, wapare wote 🤣 ni wachawi eti wawe kama Msuya japo zamani walitaka wawe kama mengi.
Mpare anayebisha aje na mbuzi nimpe ushahidi.
mleta mada kasema wengi wanasema Upareni yaani Paris sasa wewe umeshamuona mpare anaenda Upareni alafu aseme anaenda MoshiWanajipendekezaga kwa wachaga, wanasemaga 'naenda moshi'
Wapare na wasambaa ni ndugu, ushirikina ni sehemu ya maisha yaoMshana jr kwao Lushoto sasa upale wapi na wapi !.
Ile milima ya Upareni ni mitamu sana,sitosahau nilikula mirungi fresh na mitamu sijapata kuona maishani kwangu.Eee sisi tunaenda milimani, upareni. Moshi ni kwa wachagga, kwetu ni upareni..milimani.
Mirungi ya kule kama iko tofauti ivi..Ile milima ya Upareni ni mitamu sana,sitosahau nilikula mirungi fresh na mitamu sijapata kuona maishani kwangu.