Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

mleta mada kasema wengi wanasema Upareni yaani Paris sasa wewe umeshamuona mpare anaenda Upareni alafu aseme anaenda Moshi
labda ukuta anaenda Moshi kweli pia Moshi kuna kipi cha ajabu hadi wajipendekeze wewe mama
Moshi Kuna wapare ambao ni nyumbani kabisa, mfano Moshi vijijini Kuna wapare, wakamba, wamasai, na wakahe although wachaga ndo dominant
 
Mimi naenda Usukumani Krismas ya mwaka huu 2022, Upareni nitaenda mwakani 2023
 
Tunaenda upareni, kama hutaki acha.
Hahaaa. Kati ya makabila yenye maendeleo na yenye watu wachapa kazi ni watani wetu Wapare. Nikiwa na mpare mahali najua nipo na jembe sina wasiwasi. Wapare endeleeni kuijenga Same mjini inakuwa kwa kasi na kupendeza ila tu serikali yetu inatuangusha kwa kushindwa kupangilia miji yetu. Siku si nyingi na nyie mtasema, 'naenda Same..."
 

Hahaha, kujipigia promo muhimu, ukisubiri Inna akupigie promo utachelewa sana. Halafu huoni hata mimi nina utani mwingi tu, bila kufurahi maisha hayaendi

Aah sasa kama sio AR ni wapi mzee wa uhamiaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…