Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Moshi Kuna wapare ambao ni nyumbani kabisa, mfano Moshi vijijini Kuna wapare, wakamba, wamasai, na wakahe although wachaga ndo dominantmleta mada kasema wengi wanasema Upareni yaani Paris sasa wewe umeshamuona mpare anaenda Upareni alafu aseme anaenda Moshi
labda ukuta anaenda Moshi kweli pia Moshi kuna kipi cha ajabu hadi wajipendekeze wewe mama
Sio siri mkuu,Havae sikujua kuwa me tukiendelea kukua tunavutia nyuki zaidi, hii imekaaje?🤣🤣🤣
Yeah, arusha chini yote, msitu wa tembo, kahe, nyumba ya mungu..kote huko ni wapare, hata ukienda kwa sadala kumejaa wahamiaji sana.Moshi Kuna wapare ambao ni nyumbani kabisa, mfano Moshi vijijini Kuna wapare, wakamba, wamasai, na wakahe although wachaga ndo dominant
Pare ya kaskazin hapa unaitafuta Lambo, kikweni watu wa usangi wanachepuka kulia, ugweno kushoto
Hivi mkuu kwenu ni Ar, wazee wa jani kwa sana😁😁Naam
Na uchira pia Kuna wapare ndo kwao kabisaYeah, arusha chini yote, msitu wa tembo, kahe, nyumba ya mungu..kote huko ni wapare, hata ukienda kwa sadala kumejaa wahamiaji sana.
Noma sana!Wapare ni wakarimu na wanapenda kutiana.[emoji2827]
Naam tuna mauzoefu wa mengi na hatupaparikii ile kitu sana.Sio siri mkuu,
Kadri umri unavyosogea tunakuwa zaidi ya asali, kama ukikosa utulivu unakuwa kicheche. Nahisi mabinti wakizazi hiki wanaamini tumeshatulia na tunaweza "kuwalea"
Mimi naenda Usukumani Krismas ya mwaka huu 2022, Upareni nitaenda mwakani 2023Watu wa makabila mbali mbali walioko mijini ama mbali na nyumbani (sehemu ya asili yao) mara nyingi wakitaka kusema wanarudi kwao watataja jina husika la mji ama sehem anayotoka... Mfano kwa mchaga atasema naenda moshi... Muhaya atasema naenda bukoba, mngoni atasema ashuka zake songea nk.
Ila inanishangaza kwa wapare... Mara nyingi sana utaskia naenda upareni... Au atamuuliza mtu "hivi lini unapandisha upareni" na wakati wana sehem zao km usangi, ugweno, chome, same nk...
Ni mazoea ama kuna sababu maalum?
View attachment 2443480
tushaacha😂😂😂Mapele thi kindu, Kindu ni Mshombeh
Wakarimu ila washirikina sana wakisiri Siri anacheka nawewe kumbe anamekulogaUpareni Raha sana,nilishawahi kufika kisiwani,mkomazi,mwanga,ugweno pamoja na lake jipe. Wapare ni wakarimu. I love wapare for life.
Mkuu niko Arusha but ni mhamiaji tu.Hivi mkuu kwenu ni Ar, wazee wa jani kwa sana😁😁
Hahaaa. Kati ya makabila yenye maendeleo na yenye watu wachapa kazi ni watani wetu Wapare. Nikiwa na mpare mahali najua nipo na jembe sina wasiwasi. Wapare endeleeni kuijenga Same mjini inakuwa kwa kasi na kupendeza ila tu serikali yetu inatuangusha kwa kushindwa kupangilia miji yetu. Siku si nyingi na nyie mtasema, 'naenda Same..."Tunaenda upareni, kama hutaki acha.
Mkuu niko Arusha but ni mhamiaji tu.
So sina vimelea vya Arusha na sitokuwa navyo.
Napenda utani sana lkn mimi siwezi kuua hata sisimizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usitishwe na fujo zangu...maisha halisi mimi ni mtu na nusu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Nimejipigia debe kidogo
Inna
Mloezi tu ninakotokea tutabonga pembeni mkuu hapa itaniletea vumbi😂Hahaha, kujipigia promo muhimu, ukisubiri Inna akupigie promo utachelewa sana. Halafu huoni hata mimi nina utani mwingi tu, bila kufurahi maisha hayaendi
Aah sasa kama sio AR ni wapi mzee wa uhamiaji?