Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Ooh sio mpenzi wa soda kabisa, Mim napambana na shimhaMarahaba? Coke or Pepsi?what's you fav soda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh sio mpenzi wa soda kabisa, Mim napambana na shimhaMarahaba? Coke or Pepsi?what's you fav soda?
Shimha ndio Nini?Ooh sio mpenzi wa soda kabisa, Mim napambana na shimha
Pombe ya bukuShimha ndio Nini?
😂😂 You fakin crazy 🤣Pombe ya buku
No am not😂😂😂 You fakin crazy 🤣
Okay you too,siku tu hangout tunywe hayo mavitu ya buku.No am not😂
Haya gudnyt naona nazima muda si mrefu niweke pia sim charge
Hiyo ni kweli, lakini kwa hili ! ! Sijui kama lilo hivyo.Acha makasiriko. Wapare ni wife material. Sio kwasababu wanapenda sex ndio iwe sababu ya umalaya. Mtu anaweza penda ngono Kwa mtu wake mmoja tu.
1.Unamkumbuka yule Mangi alikuwa anatoa habari za siri za watawala wenzake kwa Wajerumani ili watawaliwe yeye apewe silaha 2.Unamkumbuka yule Mangi namuhifadhi alikuwa nia yake Moshi ijitawale iwe nchi ya pekee kama ilivyo Lesotho ndani ya Africa Kusini? Na hata karibia kupata uhuru kulikuwa na bendera ya Wachaga na wimbo wao wa taifa Nyerere akasema hawezi dai uhuru kwa Tanganyika nzima hadi hiyo bendera ishuke.Yule Mangi akaingizwa TANU na Nyerere nguvu zikamuishia hapo.Maneno ya wenye husuda kali hayo [emoji3] thibitisha wizi wao ni upi? [emoji2369]
Kwa KiandikoManeno matupuView attachment 2444841
Utakuwa umekutana na dem lakini kwa umri ni dada yako mkubwa sana au bibi yako.Mambo ya kukeketwa yalikuwa makabila mengi sana ila Upareni haya rasmi yali stop mwaka 1972Niliwahi kuwa na demu mpare aliekeketwa
BiasedWatu wa makabila mbali mbali walioko mijini ama mbali na nyumbani (sehemu ya asili yao) mara nyingi wakitaka kusema wanarudi kwao watataja jina husika la mji ama sehem anayotoka... Mfano kwa mchaga atasema naenda moshi... Muhaya atasema naenda bukoba, mngoni atasema ashuka zake songea nk.
Ila inanishangaza kwa wapare... Mara nyingi sana utaskia naenda upareni... Au atamuuliza mtu "hivi lini unapandisha upareni" na wakati wana sehem zao km usangi, ugweno, chome, same nk...
Ni mazoea ama kuna sababu maalum?
View attachment 2443480
We unaweza kunywa hayo mandude.Okay you too,siku tu hangout tunywe hayo mavitu ya buku.
Nah! Mi ntakua ntakunywa Kwa harufu huku wewe ukiwa unakunywa. Inawezekana nkawa wa kwanza kulewa kuliko wewe.We unaweza kunywa hayo mandude.
Havache avae...Upareni Raha sana,nilishawahi kufika kisiwani,mkomazi,mwanga,ugweno pamoja na lake jipe. Wapare ni wakarimu. I love wapare for life.
Store Mombasa, Vuthangi...Kwetu Upareni kaka kitovu changu kiko huko mahali panaitwa Store Mombasa
Haya sawa ya elfu mbili tu inatoshaNah! Mi ntakua ntakunywa Kwa harufu huku wewe ukiwa unakunywa. Inawezekana nkawa wa kwanza kulewa kuliko wewe.