Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwao kukiwa lushoto haiondoi asili yake kwani hakuna mhaya ambaye alikozaliwa na kukulia ni morogoroMshana jr kwao Lushoto sasa upare wapi na wapi !.
Uko iringa nn.... Make uko ni nyingi sana..Ooh sio mpenzi wa soda kabisa, Mim napambana na shimha
Hii vita ilipata tokea mwaka gani mkuu, sababu ya vita ilikua nn na walipigana ktika eneo gani hadi kupelekea kufurushwa...Mimi ni mpare og kwa baba na mama na mke wangu ni mpare binafsi naona neno upare kwanza sio lakwetu sisi tunaitwa VAATHU na lugha yetu inaitwa CHATHU na wala sio wapare / kipare nooooo.
Hilo neno lilitokana na vita baina yetu na wachaga ndio likatokea neno mpare yani mpige na hii vita kama sio wachaga kutu outnumber tungewashinda kwasababu waathu ni mahiri katika vita pia. Kama hujui muulize mkuu wa wavaa suti wasasahivi Bwana Diwani.
Unataka kusema wanajirahisi sana kuliko wambulu ama warangi?Hiyo ni kweli, lakini kwa hili ! ! Sijui kama lilo hivyo.
Ninewah kufika sehem inaitwa mbaga... Kuna msitu unaitwa mbepera.... Nikapata habar za jiwe jeupe watoto wakiota meno isivyo kawaida wanawekwa hapo kisha wanaporomoka..Wakiwa nje ya upareni wanasema upareni wakiwa upareni ndio wanataja sehemu zao ugweno nk
Twende upareni Kasie matataTusubirie Mshana Jr atakuja kufafanua hapa....
Kumbe wapate na sio wapare hapo upo sahihiNikidate demu wa 89 acha ubishi na sio mmoja ninekutana nao wapate watatu wote 27-32
Wanajipendekezaga kwa wachaga, wanasemaga 'naenda moshi'
Ni mkoa huo huo haina shida wapare wengi ndiyo waliajazana huko Moshimleta mada kasema wengi wanasema Upareni yaani Paris sasa wewe umeshamuona mpare anaenda Upareni alafu aseme anaenda Moshi
labda ukuta anaenda Moshi kweli pia Moshi kuna kipi cha ajabu hadi wajipendekeze wewe mama
KWENDA SUJI SAME
Mpare kakamilika tafuta historia yao, kenge mtu weweWanajipendekezaga kwa wachaga, wanasemaga 'naenda moshi'
Sababu wachaga nao wote wamehamia darNi mkoa huo huo haina shida wapare wengi ndiyo waliajazana huko Moshi
Thame ya mjini au uko milimani.... Kuna sehem inaitwa mwembeHapana, mimi natokea Thame mzee!
Hakuna mpare aliyepinga mkuu
Huwa hawataki kutaja hasa maeneo waliyotoka, yaani Chome, Mwanga, Ugweno na Usangi.Watu wa makabila mbali mbali walioko mijini ama mbali na nyumbani (sehemu ya asili yao) mara nyingi wakitaka kusema wanarudi kwao watataja jina husika la mji ama sehem anayotoka... Mfano kwa mchaga atasema naenda moshi... Muhaya atasema naenda bukoba, mngoni atasema ashuka zake songea nk.
Ila inanishangaza kwa wapare... Mara nyingi sana utaskia naenda upareni... Au atamuuliza mtu "hivi lini unapandisha upareni" na wakati wana sehem zao km usangi, ugweno, chome, same nk...
Ni mazoea ama kuna sababu maalum?
View attachment 2443480