Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

Mimi ni mpare og kwa baba na mama na mke wangu ni mpare binafsi naona neno upare kwanza sio lakwetu sisi tunaitwa VAATHU na lugha yetu inaitwa CHATHU na wala sio wapare / kipare nooooo.

Hilo neno lilitokana na vita baina yetu na wachaga ndio likatokea neno mpare yani mpige na hii vita kama sio wachaga kutu outnumber tungewashinda kwasababu waathu ni mahiri katika vita pia. Kama hujui muulize mkuu wa wavaa suti wasasahivi Bwana Diwani.
Hii vita ilipata tokea mwaka gani mkuu, sababu ya vita ilikua nn na walipigana ktika eneo gani hadi kupelekea kufurushwa...
Huenda ikanisaidia maana kuna story nataka niichore...

Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
 
Wanajipendekezaga kwa wachaga, wanasemaga 'naenda moshi'

mleta mada kasema wengi wanasema Upareni yaani Paris sasa wewe umeshamuona mpare anaenda Upareni alafu aseme anaenda Moshi
labda ukuta anaenda Moshi kweli pia Moshi kuna kipi cha ajabu hadi wajipendekeze wewe mama
Ni mkoa huo huo haina shida wapare wengi ndiyo waliajazana huko Moshi
 
Watu wa makabila mbali mbali walioko mijini ama mbali na nyumbani (sehemu ya asili yao) mara nyingi wakitaka kusema wanarudi kwao watataja jina husika la mji ama sehem anayotoka... Mfano kwa mchaga atasema naenda moshi... Muhaya atasema naenda bukoba, mngoni atasema ashuka zake songea nk.
Ila inanishangaza kwa wapare... Mara nyingi sana utaskia naenda upareni... Au atamuuliza mtu "hivi lini unapandisha upareni" na wakati wana sehem zao km usangi, ugweno, chome, same nk...

Ni mazoea ama kuna sababu maalum?

View attachment 2443480
Huwa hawataki kutaja hasa maeneo waliyotoka, yaani Chome, Mwanga, Ugweno na Usangi.

Ukiwauliza wanasema kwao Moshi [emoji23]
 
Back
Top Bottom