Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

Nasikia Nyerere alienda upare akakuta watu wote wafupi Kama watoto wadogo kumbe ni watu wazima akawauliza nyinyi wazazi wenu wako wapi wakajibu sisi ndio baba zao na sisi ndio mama zao yakimaanisha wao ndio baba na mama yaani watu wazima daaa wapere wafupi sana
 
Watu wa makabila mbali mbali walioko mijini ama mbali na nyumbani (sehemu ya asili yao) mara nyingi wakitaka kusema wanarudi kwao watataja jina husika la mji ama sehem anayotoka... Mfano kwa mchaga atasema naenda moshi... Muhaya atasema naenda bukoba, mngoni atasema ashuka zake songea nk.
Ila inanishangaza kwa wapare... Mara nyingi sana utaskia naenda upareni... Au atamuuliza mtu "hivi lini unapandisha upareni" na wakati wana sehem zao km usangi, ugweno, chome, same nk...

Ni mazoea ama kuna sababu maalum?

View attachment 2443480
Wahuni tu wakati mwingne utawasikia naenda moshi kumbe anaenda same😃
 
Back
Top Bottom