moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
hahahaa nimekuonaUmewahi kuniona nikiwa na Pateìnce?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaa nimekuonaUmewahi kuniona nikiwa na Pateìnce?
Mmmh urongo huo.hahahaa nimekuona
khaaa ngoja nikafukue mafile yakoMmmh urongo huo.
Huyo kiumbe mara ya mwisho kupost hapa ni miaka 5 iliyopita
Sikiliza mrembo.khaaa ngoja nikafukue mafile yako
Hajanihonga huyo, napenda rafiki yangu awe shemeji. Hem fanya chap basi umkubalie dadangu!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaa,amekuhonga nini mbona umeanza kumpigia pande tena
My dada, usiangalie ya jana, angalia leo na kuendelea. Kubali nipate shemeji mimi🤣khaaa ngoja nikafukue mafile yako
Asante mkuu.Hajanihonga huyo, napenda rafiki yangu awe shemeji. Hem fanya chap basi umkubalie dadangu!!
😂😂Haya sawa ya elfu mbili tu inatosha
Aisee nilifika kisiwani pale nikakamata paja la mbuzi kwa elfu tano tu.Upareni Raha sana,nilishawahi kufika kisiwani,mkomazi,mwanga,ugweno pamoja na lake jipe. Wapare ni wakarimu. I love wapare for life.
Mjomba kwani nini kinaendelea hapa?Asante mkuu.
Nakuahidi kukusaidia kuamua ule ugomvi kati ya Cillah na Unique Flower kwa mafanikio.
Nitaongea vizuri na dogo langu Unique Flower atanielewa na mambo yatakaa sawa😂😂😂
Kwani Kuna Nini Tena??Asante mkuu.
Nakuahidi kukusaidia kuamua ule ugomvi kati ya Cillah na Unique Flower kwa mafanikio.
Nitaongea vizuri na dogo langu Unique Flower atanielewa na mambo yatakaa sawa😂😂😂
Mbona Moshi mjini kwenyewe wapare wapo kibao pia, so hata wakisema wanaenda moshi ni sahihi pia.Wanajipendekezaga kwa wachaga, wanasemaga 'naenda moshi'
Sio kwao. Nawaheshimu wanaosema wanaenda upareni. Ukishataja moshi, direct watu wanawaza uchagga.Mbona Moshi mjini kwenyewe wapare wapo kibao pia, so hata wakisema wanaenda moshi ni sahihi pia.
Wahuni tu wakati mwingne utawasikia naenda moshi kumbe anaenda same😃Watu wa makabila mbali mbali walioko mijini ama mbali na nyumbani (sehemu ya asili yao) mara nyingi wakitaka kusema wanarudi kwao watataja jina husika la mji ama sehem anayotoka... Mfano kwa mchaga atasema naenda moshi... Muhaya atasema naenda bukoba, mngoni atasema ashuka zake songea nk.
Ila inanishangaza kwa wapare... Mara nyingi sana utaskia naenda upareni... Au atamuuliza mtu "hivi lini unapandisha upareni" na wakati wana sehem zao km usangi, ugweno, chome, same nk...
Ni mazoea ama kuna sababu maalum?
View attachment 2443480
Nikidate demu wa 89 acha ubishi na sio mmoja ninekutana nao wapate watatu wote 27-32Utakuwa umekutana na dem lakini kwa umri ni dada yako mkubwa sana au bibi yako.Mambo ya kukeketwa yalikuwa makabila mengi sana ila Upareni haya rasmi yali stop mwaka 1972