Wapare mwaka 1951 walikuwa na maendeleo kuliko sasa (2021)

Wapare mwaka 1951 walikuwa na maendeleo kuliko sasa (2021)

MUTUYAMUNGU

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
1,825
Reaction score
4,374
IMG_20211115_202813_955.JPG
 
Mpare ukimsikia akisema amatundu [emoji383] [emoji383] [emoji383][emoji383][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jua anamaanisha haswaaa hawanaga masihara kwenye jambo hili
 
Mpare ukimsikia akisema amatundu [emoji383] [emoji383] [emoji383][emoji383][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jua anamaanisha haswaaa hawanaga masihara kwenye jambo hili
nasikia hawa jamaa zamani walikuwa ni wachaga, washirikina na wale wenye funza miguuni wakawa wanatengwa kama adhabu kwa kufukuziwa huko milimani kama wakoma, ndio wakanzisha kizazi huko? ni kweli?
 
nasikia hawa jamaa zamani walikuwa ni wachaga, washirikina na wale wenye funza miguuni wakawa wanatengwa kama adhabu kwa kufukuziwa huko milimani kama wakoma, ndio wakanzisha kizazi huko? ni kweli?
Inawezekana me sijui historia yao vzr
 
Inawezekana me sijui historia yao vzr
inasemekana ni reject, kama enzi za ukoma mtu akiugua wanamtenga kwa kumfukuzia eneo maalumu, hawa pia walikuwa wachagga, sasa ikawa inafanyika msako wa wachawi na watu wenye tabia mbaya, wengi wakafukuziwa milimani huko ndio wakaenda kuunda jumuiya yao hadi leo. ila hao na wachaga ni damu moja.
 
inasemekana ni reject, kama enzi za ukoma mtu akiugua wanamtenga kwa kumfukuzia eneo maalumu, hawa pia walikuwa wachagga, sasa ikawa inafanyika msako wa wachawi na watu wenye tabia mbaya, wengi wakafukuziwa milimani huko ndio wakaenda kuunda jumuiya yao hadi leo. ila hao na wachaga ni damu moja.
Ndio maana walienda kujichimbia miliman kwenye mawe hukooo
 
inasemekana ni reject, kama enzi za ukoma mtu akiugua wanamtenga kwa kumfukuzia eneo maalumu, hawa pia walikuwa wachagga, sasa ikawa inafanyika msako wa wachawi na watu wenye tabia mbaya, wengi wakafukuziwa milimani huko ndio wakaenda kuunda jumuiya yao hadi leo. ila hao na wachaga ni damu moja.
Harafu NASIKIA wana asili ya roho mbaya sijui ni kweli?
 
Back
Top Bottom