MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi yule andunje tuliyemsoma alitokeaga huku ehee? mbona sioni mrefu. halafu wachagga mna roho mbaya sana, hivi kwanini mliwafukuzia hawa jamaa milimani? plus wameru.
Yabura MwangaWAPARE GANI hawa hawa wa tutonga na bajet [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha haWasahv wengi wakuda
Urewedi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yabura Mwanga
nasikia hawa jamaa zamani walikuwa ni wachaga, washirikina na wale wenye funza miguuni wakawa wanatengwa kama adhabu kwa kufukuziwa huko milimani kama wakoma, ndio wakanzisha kizazi huko? ni kweli?Mpare ukimsikia akisema amatundu [emoji383] [emoji383] [emoji383][emoji383][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jua anamaanisha haswaaa hawanaga masihara kwenye jambo hili
na wasabato, manake ijumaa kila nyumba huwa makande kwa ajili ya kula kesho jmosi ambayo hawatakiwi kupika.Hivi Wapare Waislamu walitokea wapi?
Inawezekana me sijui historia yao vzrnasikia hawa jamaa zamani walikuwa ni wachaga, washirikina na wale wenye funza miguuni wakawa wanatengwa kama adhabu kwa kufukuziwa huko milimani kama wakoma, ndio wakanzisha kizazi huko? ni kweli?
inasemekana ni reject, kama enzi za ukoma mtu akiugua wanamtenga kwa kumfukuzia eneo maalumu, hawa pia walikuwa wachagga, sasa ikawa inafanyika msako wa wachawi na watu wenye tabia mbaya, wengi wakafukuziwa milimani huko ndio wakaenda kuunda jumuiya yao hadi leo. ila hao na wachaga ni damu moja.Inawezekana me sijui historia yao vzr
Ndio maana walienda kujichimbia miliman kwenye mawe hukoooinasemekana ni reject, kama enzi za ukoma mtu akiugua wanamtenga kwa kumfukuzia eneo maalumu, hawa pia walikuwa wachagga, sasa ikawa inafanyika msako wa wachawi na watu wenye tabia mbaya, wengi wakafukuziwa milimani huko ndio wakaenda kuunda jumuiya yao hadi leo. ila hao na wachaga ni damu moja.
Harafu NASIKIA wana asili ya roho mbaya sijui ni kweli?inasemekana ni reject, kama enzi za ukoma mtu akiugua wanamtenga kwa kumfukuzia eneo maalumu, hawa pia walikuwa wachagga, sasa ikawa inafanyika msako wa wachawi na watu wenye tabia mbaya, wengi wakafukuziwa milimani huko ndio wakaenda kuunda jumuiya yao hadi leo. ila hao na wachaga ni damu moja.