Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapare ni moja kati ya jamii hapa Tanzania ambayo Waislamu walikuwa na muamko wa elimu kwa kiwango kilekile sawa na Wakristo.Jamii nyingi za kaskazini hususani za wapare, wameru na wachaga na zilikuwa imara na zenye mwamko wa maendeleo kupitia elimu, shughuli za uchumi na ushirikiano kabla ya uhuru. Ujio wa uhuru wa Tanganyika chini ya Tanu na kisha CCM ulikuja kuharibu na kuzifuta juhudi hizo kwa makusudi na nguvu kubwa sana. Hii ndio sababu kubwa kwa wenyeji wa mikoa hiyo kuichukia CCM daima.
Wapare ni jamii ya wataita walitokea kenya na si wachagganasikia hawa jamaa zamani walikuwa ni wachaga, washirikina na wale wenye funza miguuni wakawa wanatengwa kama adhabu kwa kufukuziwa huko milimani kama wakoma, ndio wakanzisha kizazi huko? ni kweli?
Milembe njooni mumchukue mtu wenuinasemekana ni reject, kama enzi za ukoma mtu akiugua wanamtenga kwa kumfukuzia eneo maalumu, hawa pia walikuwa wachagga, sasa ikawa inafanyika msako wa wachawi na watu wenye tabia mbaya, wengi wakafukuziwa milimani huko ndio wakaenda kuunda jumuiya yao hadi leo. ila hao na wachaga ni damu moja.
kihistoriy wote wametokea EthiopiaWapare ni jamii ya wataita walitokea kenya na si wachagga
Acha chuki bibie😅WAPARE GANI hawa hawa wa tutonga na bajet [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inaonekana mpare alikutosa wewe sio kwa bifu hizoHarafu NASIKIA wana asili ya roho mbaya sijui ni kweli?
kila kabila linasingizia lilitokea Ethiopia.kihistoriy wote wametokea Ethiopia
Kwenye hilo utakuwa umewasingizia wengine tulibahatika kuishi Moshi hasa miaka ya 70 hadi 80 hivyo tunazifahamu hizi jamii mbili.Harafu NASIKIA wana asili ya roho mbaya sijui ni kweli?
Nipo nao hapa wanakunywa dengelua tuu!!! Sijui wana shida ganiNa wapare wa mwaka 1945 walikuwa na muamko wa kutetea haki zao kuliko wa sasa hivi. mwaka 1943-44 serikali ya mkoloni ilianzisha utaratibu wa kodi ya kichwa ktk wilaya ya pare. ilipofika januari 1945 wananchi wa upare waliamua kufanya maandamano na kukusanyika ktk makao makuu ya wilaya same mjini. mgomo huo ulidumu kwa miezi kadhaa na serikali ya kikoloni ililazimika kuifuta kodi hiyo. wapare wa 2021 wameshindwa kupinga tozo kandamizi iliyopitishwa na bunge.
Haaahaaahaaa.kila kabila linasingizia lilitokea Ethiopia.
Waethiopia wenyewe walitokea wapi?
[emoji849][emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha chuki bibie[emoji28]
Akuuu [emoji4]Inaonekana mpare alikutosa wewe sio kwa bifu hizo
😃Walipoanza kunywa bia za bei nafuu wakamaliza mtaji
Haya yalikuwa yakifanywa na wazu ngu. Zoom tu hizo habari, utaona medical doctor jina la kizungu, sijui nani jina la kizungu, hivyo hata wahariri, wachapishaji, si ajabu wakitumia pesa zao kugharamia, sasa baada ya Uhuru, nani ana muda na pesa za mambo ya magazeti, yenye taarifa za kabila fulani huko vijijini?
Nilishaopoa hapo mtoto mweupeeeeeNjooo mgagao ule kondoo choma nitafute
Kwahiyo ni watigray?kihistoriy wote wametokea Ethiopia