Wapare mwaka 1951 walikuwa na maendeleo kuliko sasa (2021)

Wapare mwaka 1951 walikuwa na maendeleo kuliko sasa (2021)

Harafu NASIKIA wana asili ya roho mbaya sijui ni kweli?
uchungu ni wachungu, hakuna sehemu hata ofisini ukakaa na mpare usigombane naye, hasa wanawake. wanaume ni kwa ubahili. ila milima iliwanyoosha kwa kuwafanya wafupi though Mungu kawajaalia sana reception, wengi wana sura nzuri mno, hasa wanawake ni baby face balaa kasoro ufupi...(naongea kama mtani wao jamani)
 
inasemekana ni reject, kama enzi za ukoma mtu akiugua wanamtenga kwa kumfukuzia eneo maalumu, hawa pia walikuwa wachagga, sasa ikawa inafanyika msako wa wachawi na watu wenye tabia mbaya, wengi wakafukuziwa milimani huko ndio wakaenda kuunda jumuiya yao hadi leo. ila hao na wachaga ni damu moja.
Dah, hatari sana
 
Jamii nyingi za kaskazini hususani za wapare, wameru na wachaga na zilikuwa imara na zenye mwamko wa maendeleo kupitia elimu, shughuli za uchumi na ushirikiano kabla ya uhuru. Ujio wa uhuru wa Tanganyika chini ya Tanu na kisha CCM ulikuja kuharibu na kuzifuta juhudi hizo kwa makusudi na nguvu kubwa sana. Hii ndio sababu kubwa kwa wenyeji wa mikoa hiyo kuichukia CCM daima.
 
Jamii nyingi za kaskazini hususani za wapare, wameru na wachaga na zilikuwa imara na zenye mwamko wa maendeleo kupitia elimu, shughuli za uchumi na ushirikiano kabla ya uhuru. Ujio wa uhuru wa Tanganyika chini ya Tanu na kisha CCM ulikuja kuharibu na kuzifuta juhudi hizo kwa makusudi na nguvu kubwa sana. Hii ndio sababu kubwa kwa wenyeji wa mikoa hiyo kuichukia CCM daima.
umesema kweli. na kama rais wa kwanza angetoka kilimanjaro sijui kingetokea nini, nadhani tungekuwa mbali sana. ila nyerere aliwakomesha, nilikuwa na rafiki yangu mmoja anamlaani hadi leo, yeye anasema alifaulu kabisa lakini hakuchaguliwa kwasababu kuna panga lilikuwa linapita, ukipasi sawa na mchaga anachukuliwa asiye mchaga, na hata huyo mchaga akichukuliwa hatasoma kilimanjaro ataenda kusoma songea au sumbawanga. mabasi ya uda yapo utafika tu. nadhani aliona wamezidi ukabila akawasawazisha namna hiyo na alifanikiwa.
 
Kinachoweza kuwapa kiburi wenyeji wa kaskazini mpaka leo hii ni namna walivyowezekeza kwenye vizazi vyao vyote kwenye elimu. Hao jamaa wamesomesha na wanasomesha vijana wao kwa hali na mali, upeo na maarifa vinawabeba mnoo katika maisha ya sasa. Ni wepesi wa kuzitafuta fursa, kuzikamata na kuzitumia ipasavyo.

Wengi wa wenyeji wa mkoa wa Kilimanjaro wanaisha maisha yenye standard zenye kueleweka, iwe huku mijini ama kule kwao vijijini. Kila mpare na mchaga leo hii anawaza kuwa na kazi ya uhakika yenye kumpa kipato na kuhakikisha anamiliki nyumba yake.

Jamii nyingine tutaendelea kusubiri sana.
 
Kinachoweza kuwapa kiburi wenyeji wa kaskazini mpaka leo hii ni namna walivyowezekeza kwenye vizazi vyao vyote kwenye elimu. Hao jamaa wamesomesha na wanasomesha vijana wao kwa hali na mali, upeo na maarifa vinawabeba mnoo katika maisha ya sasa. Ni wepesi wa kuzitafuta fursa, kuzikamata na kuzitumia ipasavyo.

Wengi wa wenyeji wa mkoa wa Kilimanjaro wanaisha maisha yenye standard zenye kueleweka, iwe huku mijini ama kule kwao vijijini. Kila mpare na mchaga leo hii anawaza kuwa na kazi ya uhakika yenye kumpa kipato na kuhakikisha anamiliki nyumba yake.

Jamii nyingine tutaendelea kusubiri sana.
hivi hata huko zanzibar wapo? kiufupi, kwa sasa Tanzania maeneo ambayo hawana muamko wa elimu ni huko kwenu zenji tu, kwa bara mikoa isiyo na mwamko sana ni ukanda wa pwani, na ninajua unajua ni kwanini. ila kuanzia nyanda za juu kusini mbeya huko, iringa, njombe popote pale, watu wanasomesha watoto sana ndio maana siku hizi hata kupata housegirls toka mikoa hiyo hupati, utawapata singidaaa, kondoaaa na maeneo mengine ya mamwinyi ambao wamelala hadi leo.

kisomo pia kwa watoto kinategemea kipato, hivyo maeneo yenye kipato yana wasomi wengi, wasukuma waliuwa nyuma ila wale wote ambao hawapo maporini wanasomesha sana watoto.
 
inasemekana ni reject, kama enzi za ukoma mtu akiugua wanamtenga kwa kumfukuzia eneo maalumu, hawa pia walikuwa wachagga, sasa ikawa inafanyika msako wa wachawi na watu wenye tabia mbaya, wengi wakafukuziwa milimani huko ndio wakaenda kuunda jumuiya yao hadi leo. ila hao na wachaga ni damu moja.
Wangweno wanafanana lugha na wachaga!!! Sijui kwann machifu was kichaga hakuichukua ugweno !!! Walipaswa kuwatimua wangheno waende kukooo handen kisha walitwae hilo eneo
 
uchungu ni wachungu, hakuna sehemu hata ofisini ukakaa na mpare usigombane naye, hasa wanawake. wanaume ni kwa ubahili. ila milima iliwanyoosha kwa kuwafanya wafupi though Mungu kawajaalia sana reception, wengi wana sura nzuri mno, hasa wanawake ni baby face balaa kasoro ufupi...(naongea kama mtani wao jamani)
Ukitaka demu wa bei chee njoo huku utafurahi aisee
 
Jamii nyingi za kaskazini hususani za wapare, wameru na wachaga na zilikuwa imara na zenye mwamko wa maendeleo kupitia elimu, shughuli za uchumi na ushirikiano kabla ya uhuru. Ujio wa uhuru wa Tanganyika chini ya Tanu na kisha CCM ulikuja kuharibu na kuzifuta juhudi hizo kwa makusudi na nguvu kubwa sana. Hii ndio sababu kubwa kwa wenyeji wa mikoa hiyo kuichukia CCM daima.
Ccm = poverty
 
Umenikumbusha jinsi miaka hiyo wapare walivyosumbuliwa na ugonjwa wa tauni, ugonjwa huu hutokana na kuumwa na viroboto.
Bei ya gazeti senti 20 ni kubwa sana, ni sawa na ndoo 20 za maji kwa wakati huo ambapo ndoo moja iliuzwa kwa senti moja.
Hawa wana Vuga Press iliyoanzishwa miaka mingi sana.
 
Ushahidi huo hapo.
Na wapare wa mwaka 1945 walikuwa na muamko wa kutetea haki zao kuliko wa sasa hivi. mwaka 1943-44 serikali ya mkoloni ilianzisha utaratibu wa kodi ya kichwa ktk wilaya ya pare. ilipofika januari 1945 wananchi wa upare waliamua kufanya maandamano na kukusanyika ktk makao makuu ya wilaya same mjini. mgomo huo ulidumu kwa miezi kadhaa na serikali ya kikoloni ililazimika kuifuta kodi hiyo. wapare wa 2021 wameshindwa kupinga tozo kandamizi iliyopitishwa na bunge.
 
Back
Top Bottom