Wapare mwaka 1951 walikuwa na maendeleo kuliko sasa (2021)

Wapare mwaka 1951 walikuwa na maendeleo kuliko sasa (2021)

Kinachoweza kuwapa kiburi wenyeji wa kaskazini mpaka leo hii ni namna walivyowezekeza kwenye vizazi vyao vyote kwenye elimu. Hao jamaa wamesomesha na wanasomesha vijana wao kwa hali na mali, upeo na maarifa vinawabeba mnoo katika maisha ya sasa. Ni wepesi wa kuzitafuta fursa, kuzikamata na kuzitumia ipasavyo.

Wengi wa wenyeji wa mkoa wa Kilimanjaro wanaisha maisha yenye standard zenye kueleweka, iwe huku mijini ama kule kwao vijijini. Kila mpare na mchaga leo hii anawaza kuwa na kazi ya uhakika yenye kumpa kipato na kuhakikisha anamiliki nyumba yake.

Jamii nyingine tutaendelea kusubiri sana.
Mtaendelea kulalia ngozi za ngombe hadi YESU arudi
 
nasikia hawa jamaa zamani walikuwa ni wachaga, washirikina na wale wenye funza miguuni wakawa wanatengwa kama adhabu kwa kufukuziwa huko milimani kama wakoma, ndio wakanzisha kizazi huko? ni kweli?
hizo sio taarifa za kweli. Wapare ni mkusanyiko wa watu wa makabila mbalimbali kama Wataita, Wakamba, Wazigua, Wasambaa, Wachaga, Wagweno, ambao walihamia eneo linaloitwa Upare sasa hivi. Ukichunguza majina ya Wapare utayakuta ktk jamii hizo nilizozitaja hapo juu.

maeneo ya tambarare au chini yalikuwa na magonjwa mengi hivyo kulazimisha wapare kuhamia milimani. pia kulikuwa na mashambulizi na uvamizi toka kwa jamii nyingine kwa mfano wazigua, wasambaa, na wakwavi, na hiyo ni sababu nyingine iliyopelekea wapare kupendelea kuishi milimani.

wapare walihamia maeneo ya tambarare baada ya kujifunza kilimo cha mpunga kwa njia ya umwagiliaji. wilaya ya same kwa upande wa mashariki ambalo ni tambarare ni eneo maarufu kwa kulima mpunga. miaka ya 60 na 70 wakati mavuno yalipokuwa mazuri mchele toka Upareni ulikuwa ukiuzwa mpaka Mombasa kwa njia ya magendo.
 
hizo sio taarifa za kweli. Wapare ni mkusanyiko wa watu wa makabila mbalimbali kama Wataita, Wakamba, Wazigua, Wasambaa, Wachaga, Wagweno, ambao walihamia eneo linaloitwa Upare sasa hivi. Ukichunguza majina ya Wapare utayakuta ktk jamii hizo nilizozitaja hapo juu.

maeneo ya tambarare au chini yalikuwa na magonjwa mengi hivyo kulazimisha wapare kuhamia milimani. pia kulikuwa na mashambulizi na uvamizi toka kwa jamii nyingine kwa mfano wazigua, wasambaa, na wakwavi, na hiyo ni sababu nyingine iliyopelekea wapare kupendelea kuishi milimani.

wapare walihamia maeneo ya tambarare baada ya kujifunza kilimo cha mpunga kwa njia ya umwagiliaji. wilaya ya same kwa upande wa mashariki ambalo ni tambarare ni eneo maarufu kwa kulima mpunga. miaka ya 60 na 70 wakati mavuno yalipokuwa mazuri mchele toka Upareni ulikuwa ukiuzwa mpaka Mombasa kwa njia ya magendo.
kama ni mchanganyiko na sio aina moja, ni kwanini sasa asilimia kubwa ni wafupiii na wanafanana visura. pia, mbona hawafanani kabisa na wakamba, labda wasambaa na wazigua kwa mbalii, ila majority ni rejects wa wachaga. sema suu nilete evidence hapa.
 
Wachaga kiboko mwaka jana nilikutana na Bibi mmoja maeneo ya Arusha soko la ndizi pale Tengeru nae kaenda kufata ndizi anadai ya mjukuu wake zawadi maana yupo njiani anakuja ana GPA nzuri huko muhimbiri chuo cha udaktari wakati kwetu mzee kama yule hajui mambo ya GPA anajua tuu ukifika chuo unamaliza kazi..hawa jamaa wapo serious na shule kweli
 
Kinachoweza kuwapa kiburi wenyeji wa kaskazini mpaka leo hii ni namna walivyowezekeza kwenye vizazi vyao vyote kwenye elimu. Hao jamaa wamesomesha na wanasomesha vijana wao kwa hali na mali, upeo na maarifa vinawabeba mnoo katika maisha ya sasa. Ni wepesi wa kuzitafuta fursa, kuzikamata na kuzitumia ipasavyo.

Wengi wa wenyeji wa mkoa wa Kilimanjaro wanaisha maisha yenye standard zenye kueleweka, iwe huku mijini ama kule kwao vijijini. Kila mpare na mchaga leo hii anawaza kuwa na kazi ya uhakika yenye kumpa kipato na kuhakikisha anamiliki nyumba yake.

Jamii nyingine tutaendelea kusubiri sana.
Niliwahi enda kule tarakea vijijini kabisaa nilikuta nyumba moja ya hatari sana nikawakubali hao Wananchi..
 
hivi hata huko zanzibar wapo? kiufupi, kwa sasa Tanzania maeneo ambayo hawana muamko wa elimu ni huko kwenu zenji tu, kwa bara mikoa isiyo na mwamko sana ni ukanda wa pwani, na ninajua unajua ni kwanini. ila kuanzia nyanda za juu kusini mbeya huko, iringa, njombe popote pale, watu wanasomesha watoto sana ndio maana siku hizi hata kupata housegirls toka mikoa hiyo hupati, utawapata singidaaa, kondoaaa na maeneo mengine ya mamwinyi ambao wamelala hadi leo.

kisomo pia kwa watoto kinategemea kipato, hivyo maeneo yenye kipato yana wasomi wengi, wasukuma waliuwa nyuma ila wale wote ambao hawapo maporini wanasomesha sana watoto.
Chief ni kwanini jamii ya watu wa pwani hawana mwamko sana na elimu?
 
Ukitaka umuweke mpare katika wakati mgumu muombe mkopo wakati wewe unajua na yeye anajua kwamba unajua pesa anazo.
Au pale mpare anapooa kabila jingine halafu akute huyo mwanamke Hali makande, dagaa, maharage na perege.
 
Hivi wale wachaga wa mpanda tena wako wengi wanasema walipelekwa na nyerere kule ilikuaje akawatupa kule vijijini
 
Hivi wale wachaga wa mpanda tena wako wengi wanasema walipelekwa na nyerere kule ilikuaje akawatupa kule vijijini
Wapo, kuna wachaga flani wapo mpanda ndogo (majalila) walipelekwa na nyerere maendeleo yao sio saaana japo Wana unafuu mkubwa mno ukilinganisha na jamii ya pale (wabende)
 
kama ni mchanganyiko na sio aina moja, ni kwanini sasa asilimia kubwa ni wafupiii na wanafanana visura. pia, mbona hawafanani kabisa na wakamba, labda wasambaa na wazigua kwa mbalii, ila majority ni rejects wa wachaga. sema suu nilete evidence hapa.
kuna wakamba wana majina sawa na wapare na huo ni uthibitisho kwamba kuna muingiliano. wataita pia wana muingiliano na wapare na lugha zao zinafanana.

kama kuna mchanganyiko kati ya wapare na wachaga basi ni kwa kiwango kidogo sana. je, unafahamu kama kuna muingiliano wowote ule wa lugha kati ya wapare na jamii za wachaga? wagweno ndio wanaweza kuwa na mahusiano na wachaga kwasababu hata mtawala wa wagweno aliitwa mangi, wakati watawala wa wapare waliitwa mfumwa.
 
Chief ni kwanini jamii ya watu wa pwani hawana mwamko sana na elimu?
mwarabu anaamini dini kuliko elimu, bila kujua kuwa hata kitabu chao kimeandikwa kwa kutumia elimu dunia. sio pwani tu, hata uarabuni yasingekuwepo mafuta, wale jamaa kichwani wanakuwaga maboga kabisa kielimu.
 
Back
Top Bottom