Wapare mwaka 1951 walikuwa na maendeleo kuliko sasa (2021)

Wapare ni moja kati ya jamii hapa Tanzania ambayo Waislamu walikuwa na muamko wa elimu kwa kiwango kilekile sawa na Wakristo.
 
Milembe njooni mumchukue mtu wenu
 
Harafu NASIKIA wana asili ya roho mbaya sijui ni kweli?
Kwenye hilo utakuwa umewasingizia wengine tulibahatika kuishi Moshi hasa miaka ya 70 hadi 80 hivyo tunazifahamu hizi jamii mbili.

Ndugu zetu Wachagga ndio Kabila linaloongoza Tanzania na Africa Mashariki Kwa ROHO MBAYA NA UBINAFSI. NI KABILA PEKEE LINALOWEZA HATA KUUA SABABU TU YA MALI. NI KABILA PEKEE MWANAMKE KUKUONDOA SABABU YA MALI ni rahisi sana.

Wapare wana tabia zao lakini angalau wamejaliwa UTU hata kama sio wa kabila lake.
 
Nipo nao hapa wanakunywa dengelua tuu!!! Sijui wana shida gani
 
Haya yalikuwa yakifanywa na wazu ngu. Zoom tu hizo habari, utaona medical doctor jina la kizungu, sijui nani jina la kizungu, hivyo hata wahariri, wachapishaji, si ajabu wakitumia pesa zao kugharamia, sasa baada ya Uhuru, nani ana muda na pesa za mambo ya magazeti, yenye taarifa za kabila fulani huko vijijini?
 
WAPARE wanakuja kujitetea
We kuna jamaa alikutosa au nini[emoji23]. Mtuache jamani, tuna roho nzuri sana na tunapendwa sana. Siku hizi hata sio wabahili tena, ubahili kwa sasa hauna kabila...kama vipi nitumie teni hapo tuone we sio mbahili babyfancy
 
We kuna jamaa alikutosa au nini[emoji23]. Mtuache jamani, tuna roho nzuri sana na tunapendwa sana. Siku hizi hata sio wabahili tena, ubahili kwa sasa hauna kabila...kama vipi nitumie teni hapo tuone we sio mbahili babyfancy
Shakutumia tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…