NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Mtaendelea kulalia ngozi za ngombe hadi YESU arudiKinachoweza kuwapa kiburi wenyeji wa kaskazini mpaka leo hii ni namna walivyowezekeza kwenye vizazi vyao vyote kwenye elimu. Hao jamaa wamesomesha na wanasomesha vijana wao kwa hali na mali, upeo na maarifa vinawabeba mnoo katika maisha ya sasa. Ni wepesi wa kuzitafuta fursa, kuzikamata na kuzitumia ipasavyo.
Wengi wa wenyeji wa mkoa wa Kilimanjaro wanaisha maisha yenye standard zenye kueleweka, iwe huku mijini ama kule kwao vijijini. Kila mpare na mchaga leo hii anawaza kuwa na kazi ya uhakika yenye kumpa kipato na kuhakikisha anamiliki nyumba yake.
Jamii nyingine tutaendelea kusubiri sana.
Kweli kbs na ushirikina juuHarafu NASIKIA wana asili ya roho mbaya sijui ni kweli?
hizo sio taarifa za kweli. Wapare ni mkusanyiko wa watu wa makabila mbalimbali kama Wataita, Wakamba, Wazigua, Wasambaa, Wachaga, Wagweno, ambao walihamia eneo linaloitwa Upare sasa hivi. Ukichunguza majina ya Wapare utayakuta ktk jamii hizo nilizozitaja hapo juu.nasikia hawa jamaa zamani walikuwa ni wachaga, washirikina na wale wenye funza miguuni wakawa wanatengwa kama adhabu kwa kufukuziwa huko milimani kama wakoma, ndio wakanzisha kizazi huko? ni kweli?
kama ni mchanganyiko na sio aina moja, ni kwanini sasa asilimia kubwa ni wafupiii na wanafanana visura. pia, mbona hawafanani kabisa na wakamba, labda wasambaa na wazigua kwa mbalii, ila majority ni rejects wa wachaga. sema suu nilete evidence hapa.hizo sio taarifa za kweli. Wapare ni mkusanyiko wa watu wa makabila mbalimbali kama Wataita, Wakamba, Wazigua, Wasambaa, Wachaga, Wagweno, ambao walihamia eneo linaloitwa Upare sasa hivi. Ukichunguza majina ya Wapare utayakuta ktk jamii hizo nilizozitaja hapo juu.
maeneo ya tambarare au chini yalikuwa na magonjwa mengi hivyo kulazimisha wapare kuhamia milimani. pia kulikuwa na mashambulizi na uvamizi toka kwa jamii nyingine kwa mfano wazigua, wasambaa, na wakwavi, na hiyo ni sababu nyingine iliyopelekea wapare kupendelea kuishi milimani.
wapare walihamia maeneo ya tambarare baada ya kujifunza kilimo cha mpunga kwa njia ya umwagiliaji. wilaya ya same kwa upande wa mashariki ambalo ni tambarare ni eneo maarufu kwa kulima mpunga. miaka ya 60 na 70 wakati mavuno yalipokuwa mazuri mchele toka Upareni ulikuwa ukiuzwa mpaka Mombasa kwa njia ya magendo.
Familia ya mndeme nshapita na binti wao mmoja, wapo vizuri, nusu nioe ila daah,tatizo maharage ya mbeyaNawafahamu wapare wenye nguvu sana kifedha. Kina Msuya, Mndeme, Mgonja,. Watoto wao wanaishi maisha ya kifahari.
Niliwahi enda kule tarakea vijijini kabisaa nilikuta nyumba moja ya hatari sana nikawakubali hao Wananchi..Kinachoweza kuwapa kiburi wenyeji wa kaskazini mpaka leo hii ni namna walivyowezekeza kwenye vizazi vyao vyote kwenye elimu. Hao jamaa wamesomesha na wanasomesha vijana wao kwa hali na mali, upeo na maarifa vinawabeba mnoo katika maisha ya sasa. Ni wepesi wa kuzitafuta fursa, kuzikamata na kuzitumia ipasavyo.
Wengi wa wenyeji wa mkoa wa Kilimanjaro wanaisha maisha yenye standard zenye kueleweka, iwe huku mijini ama kule kwao vijijini. Kila mpare na mchaga leo hii anawaza kuwa na kazi ya uhakika yenye kumpa kipato na kuhakikisha anamiliki nyumba yake.
Jamii nyingine tutaendelea kusubiri sana.
Hiyo ni tabia binafsi mkuu. Haina uhusiano na kabila.Familia ya mndeme nshapita na binti wao mmoja, wapo vizuri, nusu nioe ila daah,tatizo maharage ya mbeya
Chief ni kwanini jamii ya watu wa pwani hawana mwamko sana na elimu?hivi hata huko zanzibar wapo? kiufupi, kwa sasa Tanzania maeneo ambayo hawana muamko wa elimu ni huko kwenu zenji tu, kwa bara mikoa isiyo na mwamko sana ni ukanda wa pwani, na ninajua unajua ni kwanini. ila kuanzia nyanda za juu kusini mbeya huko, iringa, njombe popote pale, watu wanasomesha watoto sana ndio maana siku hizi hata kupata housegirls toka mikoa hiyo hupati, utawapata singidaaa, kondoaaa na maeneo mengine ya mamwinyi ambao wamelala hadi leo.
kisomo pia kwa watoto kinategemea kipato, hivyo maeneo yenye kipato yana wasomi wengi, wasukuma waliuwa nyuma ila wale wote ambao hawapo maporini wanasomesha sana watoto.
Kwa namba ipi?Shakutumia tayari
Sio jackline mndeme huyo😂Familia ya mndeme nshapita na binti wao mmoja, wapo vizuri, nusu nioe ila daah,tatizo maharage ya mbeya
Wapo, kuna wachaga flani wapo mpanda ndogo (majalila) walipelekwa na nyerere maendeleo yao sio saaana japo Wana unafuu mkubwa mno ukilinganisha na jamii ya pale (wabende)Hivi wale wachaga wa mpanda tena wako wengi wanasema walipelekwa na nyerere kule ilikuaje akawatupa kule vijijini
kuna wakamba wana majina sawa na wapare na huo ni uthibitisho kwamba kuna muingiliano. wataita pia wana muingiliano na wapare na lugha zao zinafanana.kama ni mchanganyiko na sio aina moja, ni kwanini sasa asilimia kubwa ni wafupiii na wanafanana visura. pia, mbona hawafanani kabisa na wakamba, labda wasambaa na wazigua kwa mbalii, ila majority ni rejects wa wachaga. sema suu nilete evidence hapa.
mwarabu anaamini dini kuliko elimu, bila kujua kuwa hata kitabu chao kimeandikwa kwa kutumia elimu dunia. sio pwani tu, hata uarabuni yasingekuwepo mafuta, wale jamaa kichwani wanakuwaga maboga kabisa kielimu.Chief ni kwanini jamii ya watu wa pwani hawana mwamko sana na elimu?
Hapana mkuu jina lake linaanzia na sSio jackline mndeme huyo[emoji23]
Atakuwa Salima😅Hapana mkuu jina lake linaanzia na s
[emoji16][emoji16]hapana mkuu, anaishi botswana kwa sasa kama bado yupo.Atakuwa Salima[emoji28]