Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Mshana Jr ni Mshirikina sana, siwezi kuishi naye nyumba mojaSisi wapare wa jf tunajivunia Mshana Jr wanyakyusa wanajivunia Bujibuji Simba Nyamaume wahaya wanajivunia GENTAMYCINE na wasukuma wanajivunia Pascal Mayalla.
Ni hayo tu kwa leo.
GENTAMYCIME Mjeuri na muongomuongo
Bujibuji Simba Nyamaume labda
Pascal Mayalla ENDELEENI KUJIVUNIA