Wapare, Wahaya, Wajita: Kabila gani wanapenda sifa sana?

Wapare, Wahaya, Wajita: Kabila gani wanapenda sifa sana?

Kolabo ya Wahaya na Wajita lazima tu itakupa Kizazi cha Wabaguzi na Wabinafsi WALIOTUKUKA.
mpumbav mpumbav tu ww umekall utani wa nyerere wahaya wana ubinafsi gani na ubaguz au huyajuh makabila ya tz xma una chuki binafs
 
Wahaya ni species nyingine asee,hivi si walisha wahi kuja na thread humu JF et hawataki kuchanganya posts zao na watu wanaotumia tecno na itel kisa wao wanatumia iPhones na Samsung galaxy!!!?????????
Ha ha ha ha
 
uzi uliojaa ukabila huu anyway !
swali lingekuwa hivi;
Ni kabila gani ambalo ni wanyenyekevu sana?
majibu...
1.?
2.?....
 
Ila nimesoma na wahaya aisee ni noumer [emoji23][emoji23] halaf wengi makwao choka tu ila mashauzi vurugu..wajaluo nao wamo hahaha hasa kenya wajaluo ndio mataita na wanaringa knoma noma jaribu kuchek baadhi ya clip za EKOTHEE wa kenya utakoma nae kwa mbwembwe..[emoji849]
Wachaga hawa watani wangu huwa wanaona hakuna mtu ana hustle zaidi yao na wanakatabia flan kama unaenda kuoa kwao halafu sio kabila lao na familia ya bidada wako vzr hahahaa utawajua aisee watapiga send off ya maana halafu utapondwaje kwenye sherehe yako kama hutajipanga..[emoji12]..wanyakyusa a.k.a wanyaki hawa wanajiskia na ubinafsi japo hawana makuu khvyo...WAKORA WAITUU
 
Wapare
Hupenda kujiona bora kuliko wengine.
Ni wabinafsi sana.
Wana dharau sana.


Wahaya.
Ni wabaguzi mno
Wabinafsi
Hujisikia mno
Hupenda kujisifia kuliko kawaida.




Wajita........
Mmmmh
 
Nshomile mpaka form four...hawa kwa maringo ni dunia!

Hata Rwanda ukifka ukasema wewe ni Mganda wote wanakaa kimya na kujiandaa kuondoka maana wanajua wanaenda kusikiliza majigambo na sifa zisizowahusu. Nikafanya connection na ndugu zangu wa pale Kashozi nikaconclude wanashare a lot of things in common na Waganda...no wonder Iddi amini alikuwa anawataka ndugu zake ila bahati mbaya nyerere akawapenda zaidi.
 
Wasukuma No' 2 jamani
Acha kuwasingizia wazee wa "ng'ombe jhane" hawanaga makuu kabisa hawa very humble and humane!

Nilishwahi kusoma Kinango pale Magu..hawa jamaa walitutunza saana ila Juju tu ndo walikuwa wanatupiga piga tushtuke na tuyajeu maisha na tukomae kiume.
 
Wasukuma No' 2 jamani
Acha kuwasingizia wazee wa "ng'ombe jhane" hawanaga makuu kabisa hawa very humble and humane!

Nilishwahi kusoma Kinango pale Magu..hawa jamaa walitutunza saana ila Juju tu ndo walikuwa wanatupiga piga tushtuke na tuyajeu maisha na tukomae kiume.
 
Back
Top Bottom