Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unataka kujua hujui Wajitta nitakupa mfano Profesa Muhongo, Lawrence Mafuru, Magesa Mulongo,Wahaya wakerewe wanyantuzu hii list naielewa sana ila kwa wajita sidhani.
Hivi ukiwa maskini inakufunga na vitu vingine. Wangapi wanapesa mingi hawapendi misifa na wengine hupenda. Suala la sifa sio pesa no tabia hiyo.Wajita nyie sio mchezo,nimewahi kuishi kwa ukaribu na wajita wa3 ktk maisha yng wawili walikuwa rafiki zangu wa karibu ni maskini wa kutupwa lkn kwenye majigambo na kuringaa hawafanani na mtu
Umechanganya madesa ila Idd Amin hakuwa Mganda.Nshomile mpaka form four...hawa kwa maringo ni dunia!
Hata Rwanda ukifka ukasema wewe ni Mganda wote wanakaa kimya na kujiandaa kuondoka maana wanajua wanaenda kusikiliza majigambo na sifa zisizowahusu. Nikafanya connection na ndugu zangu wa pale Kashozi nikaconclude wanashare a lot of things in common na Waganda...no wonder Iddi amini alikuwa anawataka ndugu zake ila bahati mbaya nyerere akawapenda zaidi.
Huyu jamaa mbona namfahamu vizuri anaishi wichitta, Kansas, USA hasa kumweka huku ndo nini wala hana sifa kama mnavyofikiria
Wajita wanapenda sifa alafu hawana kitu akinunua hat kikombe mtajutaWajita hatuna hizo swagger
Mhaya hata km ana zero km ya daud bashite basi hupenda kujikuza saana na dharau mingiMuhaya ni mwisho, hasa awe msomire utachoka.
Mkuu nielezee inakuaje ukikutana naeUsiombe mhaya aokoke halafu ukakutana nae
wasukumaKamjadala kamezuka hapa... Eti kati ya hawa watajwa ninani anapenda sifa zaidi?